Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Mkuu Mshana Jr ni kipindi kirefu sasa napoteza ela ktk mazingira ya ajabu, elf 5, 10, 20 mpaka 50 kama nna ela nyingi mfukoni, yaani naweza kuweka ela mfukoni leo kesho au jion nahesabu imepungua hadi nimeshaona kawaida, inawezekana nguvu za giza au ni nini?
 
Umepanga vizuri , ndio ulimwengu wa roho kuamkia leo wamenichana sare saba nimeamka nimechoka sana na huenda nilitolewa nje. Mkuu unajua kadawa ka kuwakomesha? Au niwaone life! Ni kwa nini wasiingie benki na kuchukua pesa??
 
things work in oposite the way unavyojua wewe...unachotegemea kiwe ndo mana hakitokei kwa sababu unachotegemea kitokee ni illusion na kwa sababu unakuwa umeshakalili iwe hivyo but reality haiko hivo...the way how reality work is quite different from what you expect.....mtu kujua how to use laws zinazogovern life haimanishi aanze kuzitumia bila specific purpose....every knowledge is used to serve a specific purpose ....kuna baadhi ya juzi zinakulimit sehemu flani...sio kila kitu utakuwa unakifanya ..tena ukizidi kipimo ulimwengu uliokuruhusu unakupoteza katika dimension nyingine kabsaaa...lazima ufahamu kuwa in there are so many dimensions ambazo zinashikilia uhai wa viumbe wote ulimwenguni..ukimwengu unaoonekana upo level flani ya dimension reality...sisi tunaonan kwa sababu tunaoccupy the same dimension ..occular alteration ipo katika dimension...ukiwa mchawi manake umejua ujuzi wa kuingia katika dimension mbili au tatu tofauti depending na level ya uchawi ulionao..kwa hiyo the more unavyojua how to cross the boundaries katika reality ndivyo unakuwa na uwezo wa kusynchronize with the other world pia...kuna world nying ndani ya universe moja but with different level of dimension...the forces that open up the gate way ya kuingia other world ina mipaka yake make ukikosea tu mashart ya kutumia nguvu hizo basi inakupeleka into other dimension of other form of reality mpaka pale watakapokurudisha wajuzi wa mambo....kuna mzee mmoja alikuwa mchawi sana kijijin kwetu ila aliwahi kupotea mazingira ya kutatanisha yani alikuja kuonekkana badae sana ..me nahis kuna kikomo cha kujua hayo mambo ila ukitaka kujua zaidi sharti ujifunze kwanza how to control your awaken power before you start using them,usikurupuke kujua namna ya kutumia nguvu zilizojificha ambazo chimbuko lake ni from the hidden dimension in this universe bila kujua how to control those powers...the more unavyozid kuassend into power ndivyo unavopaswa kujua limitations za power hizo ila wapo watu waliofanikiwa kujua limitations na misingi ya kucontrol ujuzi huo na most of white people know much how to use the unseen forces lakini wanatublackmind sisi waafrica tuache hiyo mambo but they are the ones who know more how to play with entangled issues za kila nguvu na hao ndo wenye dunia hii,sisi wengine tupo tu kusubiri jua litachomoza asubuh na kuzama jion ila wapo wanaojua namna mambo yote yanavyotekea before,after and within the midst of the action ya kila kitu....ifahamike kwamba kujua uchawi sio dhambi ila ni kujua namna ya kuutumia,we avoid to know that thing kwa sababu hatuna hekima ya kujua faida yake...laiti tungelitambua how important it is ,we couldnt be proclaiming to God kwamba atusaidie ,everything is clear in this universe,science and technology are ones of the manipulation of unseen forces that work in the hidden form but now are put into physical reality but also in the hidden world things work under supersonic speed with maximum efficiency than in scientific way....hata quantum technology inalitambua hilo...kuna watu wanarisk maisha kugeuza hidden forces kuoperate in physical reality..every inversion ya technology unayoishuhudia nyuma yake kuna watu wamerisk maisha kuchange mode ya operation.....sometimes the truth of realitt is synchronized with the risk,so nothing is simple as you think....
Salute, mkuu nimekusoma, ni kweli kila kitu tunachokiona kuna siri kubwa nyuma ya pazia!!
 
Umepanga vizuri , ndio ulimwengu wa roho kuamkia leo wamenichana sare saba nimeamka nimechoka sana na huenda nilitolewa nje. Mkuu unajua kadawa ka kuwakomesha? Au niwaone life! Ni kwa nini wasiingie benki na kuchukua pesa??
Hata wakienda kuiba bank hutajua... Nikikupa dawa ya kuwaona utaishia kuitwa ama kuwa chizi kabisa
 
Sasa mkuu mshana nauliza tena kwamba inawezekana mtu akawa analindwa na mizimu ya babu zake bila yeye kujua? Yaani anafika wakati shida zinamsonga ila zinayeyuka zenyeye bila yeye kutegemea?

Na inawezekana mtu akaishi au kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya kichawi bila kugundua kwamba baba mama au bibi na babu ni wachawi??

Nini alama ya mtu mchawi na tutamtambuaje?
 
Sasa mkuu mshana nauliza tena kwamba inawezekana mtu akawa analindwa na mizimu ya babu zake bila yeye kujua? Yaani anafika wakati shida zinamsonga ila zinayeyuka zenyeye bila yeye kutegemea? Na inawezekana mtu akaishi au kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya kichawi bila kugundua kwamba baba mama au bibi na babu ni wachawi??

Nini alama ya mtu mchawi na tutamtambuaje?
Yote yanawezekena pia ila katika hatua za udogoni ukiwa mkubwa utaona vitu vinafanyika nyumbani ama vinafanywa na mzazi ambavyo havina majibu
 
Back
Top Bottom