Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

Wachawi hufanya mambo kinyume
.. Huingia uchi
.. Huingia kinyumenyume
.. Huingilia kwenye pembe za nyumba hasa kushoto
Mchawi hapatani na vitu vyenye ugwadu na harufu kali kwahiyo ukiwa na ndimu kitunguu saumu na chumvi ni kinga tosha kabisa.... Kwa wale waamini na waaminio kinga na tumaini lao kubwa pamoja na hayo mengine yote ni Yesu Kristo kupitia damu yake takatifu
safi mkuu ila kwa kukazia tu watu waelewe kwamba si kuiamini tu damu ya Yesu Kristo kwa kuikiri vinywani mwao bali ni lazima waiishi; wawe wasafi wa kiroho na kimwii hii ni muhimu sana, Pamoja na kuzishika amri kumi za Mungu, wamtumikie yeye peke yake tu.

Vinginevyo nguvu ya uchawi haiwezi kukuacha salama.
 
usikurupuke kujua namna ya kutumia nguvu zilizojificha ambazo chimbuko lake ni from the hidden dimension in this universe bila kujua how to control those powers...the more unavyozid kuassend into power ndivyo unavopaswa kujua limitations za power hizo ila wapo watu waliofanikiwa kujua limitations na misingi ya kucontrol ujuzi huo na most of white people know much how to use the unseen forces lakini wanatublackmind sisi waafrica tuache hiyo mambo but they are the ones who know more how to play with entangled issues za kila nguvu na hao ndo wenye dunia hii,sisi wengine tupo tu kusubiri jua litachomoza asubuh na kuzama jion ila wapo wanaojua namna mambo yote yanavyotekea before,after and within the midst of the action ya kila kitu....ifahamike kwamba kujua uchawi sio dhambi ila ni kujua namna ya kuutumia,we avoid to know that thing kwa sababu hatuna hekima ya kujua faida yake...laiti tungelitambua how important it is ,we couldnt be proclaiming to God kwamba atusaidie ,everything is clear in this universe,science and technology are ones of the manipulation of unseen forces that work in the hidden form but now are put into physical reality but also in the hidden world things work under supersonic speed with maximum efficiency than in scientific way....hata quantum technology inalitambua hilo.
SALUTE,
Kaka you are Inteligent and Knowlegdeable, wachache sana wanajua haya, BIG UP.
 
NNE Mchawi hahitaji kwenda NECTA kuiba majibu... Kama akihitaji mwanae afaulu atamletea majibu kwa njia ya Bluetooth ya kilozi au ata insert majibu automatically kwenye medula yake
Mshana nisaidie hapa, how come nilivyokuwa Secondary nilikuwa naona maswali ya mitihani na nayakuta kweli kwenye mtihani wakati Baba yangu hakuwa mchawi( Alikuwa mlevi kama John Walker).
 
Mshana nisaidie hapa, how come nilivyokuwa Secondary nilikuwa naona maswali ya mitihani na nayakuta kweli kwenye mtihani wakati Baba yangu hakuwa mchawi( Alikuwa mlevi kama John Walker).

Kuna ile mada ya telekinesis na mada nyingine ya machale pia mada ya mind reading, nimesahau title zake zinajibu maswali yote
Ila huu ni uwezo na kipawa cha asili cha kujua yajayo
 
Sasa faida ya moja kwa moja ya uchawi ni nini? Je mtu anaweza akatumia uchawi katika kuhamasisha watu wamrudie Mungu?
Na je mtu anaweza akawa mchawi bila kutoa kafara, kuwanga au bila kula nyama ya binadamu mwenzie?
 
Sasa faida ya moja kwa moja ya uchawi ni nini? Je mtu anaweza akatumia uchawi katika kuhamasisha watu wamrudie Mungu?
Na je mtu anaweza akawa mchawi bila kutoa kafara, kuwanga au bila kula nyama ya binadamu mwenzie?
Huwezi kuifanya gari ipae kama ndege au meli itembee barabarani japo vyote ni vyombo vya moto lakini mechanism zao hazifanani.....
Uchawi ni kinyume cha nuru ndio maana tuna urefer kama ulimwengu wa giza lakini huko gizani si kila kilichomo ni kibaya
 
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless communications... Nusu saa kubwa utaanza kuumwa tumbo na kuharisha sana! Tiba yake ni nini? Unga fulani imekaa kama magadi unaitwa MAKATA... ukishakunywa hiyo dakika kumi nyingi umeshapona! SAYANSI hapa ingefanya nini? Ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza bacteria wenye virus wa ugonjwa wa kuhara... Ingetafutwa njia na kumwambukiza mtu hao virus kisha aanze kuumwa... N baada ya hapo ungeanza mchakato wa matibabu.... Uchawi hauna longolongo zote hizo ni hit n run... Finish.... Na infant wireless transmission theory ni copy n paste toka kwenye uchawi

Mfano wa pili kupaa angani ama kusafiri..
Mchawi ana njia tatu rahisi sana
1.kwa kutumia kifaa kama ungo, fimbo ama ungo. Usafiri wa angani
2. Kutumia mnyama kama fisi nk.. Usafiri wa nchi kavu.
3. Kutumia wireless transmission.. Unajiandaa kisha unafumba macho... Sekunde kadhaa ukifungua umeshafika.. Hii inaitwa serve all purpose.. Mwendokasi wake ni zaidi ya supersonic speed... Kwa usafiri huo kama ni sayansi ingetumia mlolongo mrefu wa kutengeneza ndege magari na vyombo vya majini.. Na ingechukua muda na taratibu nyingi...

Mfano wa tatu.... Kuingia ndani kwa mtu... Kupitia pembe ya nyumba ama chumba chako... Mchawi ana uwezo wa kuingia na kukufanya chochote atakacho na akaondoka salama ukiwa wala hujui ulichifanyiwa.. Utastuka akishaondoka... (Usiwaze popobawa) sayansi haina uwezo huo... Wamejaribu wameshindwa..

Mfano wa NNE fumanizi la kunasiana... Ama kunasishwa mziho au kitu ulichoiba... Hii magnetism theory bado sana sayansi kufika huku....
Sayansi ina limitations nyingi kuliko uchawi.. Sayansi ni ubunifu wa kibinadamu kukopi nguvu asili zisizoonekana lakini zinafanya kazi na matokeo yanaonekana... Inapoishia sayansi ndipo uchawi unapoanzia.. Na kwakuwa sayansi ndio inaiga na kuhawilisha hivyo kamwe haiwezi kutenda kama halisi.....

Tofauti kubwa iliyopo kati ya SAYANSI na UCHAWI ni ITHIBATI... sayansi ina ithibati japo si kwa aslimia miamoja... Uchawi hauna ITHIBATI lakini matokeo yake ni asilimia mia moja.... Sababu ni moja tu... Uchawi una asili ya ulimwengu wa roho... Na ulimwengu wa roho ndio ulianza kabla ya ulimwengu wa macho ulimwengu wa sayansi....
Kiumbaji binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa hivyo hata awe mjuzi na mbunifu Kiasi gani hataweza kufanya kitu kwa mafanikio ya asilimia mia moja bila kugusa ulimwengu wa roho... Ukisoma The mason doctrine utanielewa vema....

Asubuhi njema!
KuNa hii njia ya kujichinja roho inatoka ndani ya mwili then mwili unaanza kuifukuzia kwa nyuma nmewahi kuijaribu nilitumia sekunde 5 toka Dar hadi visiwa vya comoro kwenye kikao
 
Huwezi kuifanya gari ipae kama ndege au meli itembee barabarani japo vyote ni vyombo vya moto lakini mechanism zao hazifanani.....
Uchawi ni kinyume cha nuru ndio maana tuna urefer kama ulimwengu wa giza lakini huko gizani si kila kilichomo ni kibaya
Sawa. Ngoja niishie hapa maana nasikia kuna roho ndani inaanza kunisukuma niwe mchawi.
 
Mi naomba unisaidie
Tanzania ina mengi hasa kwenye biashara hapa nina majnga ya kutosha faida sioni zaidi ya pesa kuisha nifanyaje nipate faida kwenye biashara yangu
 
Mkuu mshana Jr Kuna demu nataka unitenganishe nae yani tuwe mbalimbali kama mafuta na maji
 
Mbona Mimi sirogi popote na wala sijawahi kuona wala kugusa tunguli?
Uchawi sio lazima ubebe tunguli.... Tena hasa uchawi huu wa kisasa unaochanganywa na imani za kishetani na ibada za kuzimu
FB_IMG_1533125439663.jpg
 
Back
Top Bottom