Punguza unene
Usiku usile hata kuvimbiwa. Tupia kidogo.
Punguza na pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reply nzuri ila ID mmh....
We unaweza kurudia ndoto yako uliyoota usiku!?Hahaaaa...tatizo hapa jamaa aisingeamini kama alipotezwa salama. Shida kubwa ya haya mambo ya roho hayathibitiki, hayaaminiki na hayajirudii. Mchawi akiua, ukimuambia arudie namna alivyofanya akaua hawezi.
Mchawi hajawai kufanya uchawi wenye faida kwa jamii, yeye ni mambo ya fitna, roho mbaya nkNaomba kujua kwann hawa wataalamu asilia wenye ujuzi hata kuliko sayansi wanashindwa kuingia benki na kuchukua fedha za kutosha halafu wakatoweka? Au kwann wanashindwa kufanya watoto wao kuwa TANZANIA ONE kwa kuamisha mitihani kutoka necta na kuwakabidhi wasolve kabla ya paper??
Bado nawaza kuna nn katikati!!
Tufumbuane macho kuhusu security systems za hizi tahasisi!!
Ndivyo mlivyo danganywa na wazungu....Mchawi hajawai kufanya uchawi wenye faida kwa jamii, yeye ni mambo ya fitna, roho mbaya nk
Habar kk,nitawezaje kumbaini na kumdhibiti mtu anayetumia chuma ulete ili asiweze kuniibia?Mwaga chumvi na maji ya ndimu eneo analokujaga
Anhaa ok,unajikingaje?Huhitaji kumbaini inatakiwa tu kujikinga naye
sasa kwanini hawakumpa " go ahead" daaahh miafrica sisi wajinga sanaMkuu, kama unakumbuka mwaka 1997 Dr. Matunge aliita wandishi wa habari na baadhi ya viongozi wa serikali na kuutangazia Umma kuwa anataka kuanzisha huduma ya Usafiri wa Anga kwa kutumia Ungo/sayansi ya asili. Akasema ataanza na ruti ya DAR-MWANZA etc. Kama sijakosea, waziri wa sayansi na technology alikuwa Dr. Pius Ngw'andu. Ilileta hisia tofauti kwa wananchi...
Inawezekana ukaenda na ukabaki hukohuko na maisha yakaendelea?Tunasafiri sana mbona!?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] huwa mnakaaga wapi sasa mana siti si zinakuwa zimejaa?Tunasafiri sana mbona!?
Matunge alikuwa msaniiMkuu, kama unakumbuka mwaka 1997 Dr. Matunge aliita wandishi wa habari na baadhi ya viongozi wa serikali na kuutangazia Umma kuwa anataka kuanzisha huduma ya Usafiri wa Anga kwa kutumia Ungo/sayansi ya asili. Akasema ataanza na ruti ya DAR-MWANZA etc. Kama sijakosea, waziri wa sayansi na technology alikuwa Dr. Pius Ngw'andu. Ilileta hisia tofauti kwa wananchi...
Duh hapa nimegain kitu aseeeNakubaliana na wewe mkuu,
"sayansi inapoishia ndipo uchawi unapoanzia"
1. Hii ya mtu kutumia macho kumdhuru mtu mwingine kwa kutumia mionzi isiyoonekana ushahidi wake mzuri ni bluetooth jinsi inavyofanya kazi, mtu ili apone ni lazima adisconect na hio mionzi, manabii wanaijua vizuri hii mechanism pia waganga na wataalam ndio maana kupona kwake ni kwa ghafla tu na kuumwa kwake ni sekunde chache tu.
2. Sayansi ina wachukulia watu wenye majini kama wagonjwa wa akili, ni kweli kwa sababu dalili zote ni kama za wagonjwa wa akili, (mwisho wa sayansi)
Lakini inasemekana kuwa ili uweze kutabiri yajayo, kuona vitu visivyokuwepo, kumfahamu nje ndani mtu usiyemjua ni lazima upitie ktk hali ya ugonjwa wa akili ndio utaweza kufanya hayo yote,
Ushahidi mzuri ni mtu au mganga akipandisha mapepo huweza kuona kile unachokifikiria ktk akili yako kwa kufanya connection kama jinsi ambavyo bluetooth inavyo connect, hapo anakuwa kadukua mawasiliano ya fikra zako, kisha anaanza kukusoma na kukueleza A to Z na kuchomekea maneno kadhaa ya uongo ili umuamini na apige mpunga, hii connection hufanyika kupitia kiganja cha mkononi au paji lako la uso,
Sayansi inapoishia uchawi ndipo unapoanzia