Mi sio mtu wa kukurupuka, nilipo mpenda huyo, Binti. Nilijua kua ana Watoto watatu. Na mwanzo nilikua na muhudumia kadri ya uwezo wangu, nilipoanza ujenzi tu hali ilibadilika anaona anapewa pesa mdogo, na pia mi nilikua naanda Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto wake.Wajinga hawajawahi kuisha.
Uko sahihi.Linapokuja suala la kuchagua mwanamke vijana tunafeli sana. Miaka 26 with 3 kids hauoni kama iyo ni red flag kweli.!..
Mbona wanawake wenye rekodi safi wapo, kwanini mnafanya gamble kwa wanawake wa ajabu ajabu?
ukipata muda nenda kapime MALARIAMwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Somo la JANDO na UNYAGO sijui lilipotelea wapi.......Linapokuja suala la kuchagua mwanamke vijana tunafeli sana. Miaka 26 with 3 kids hauoni kama iyo ni red flag kweli.!..
Mbona wanawake wenye rekodi safi wapo, kwanini mnafanya gamble kwa wanawake wa ajabu ajabu?
Mwanaume utakiwi kuteseka kutafuta hela ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke malaya na mpumbavu aliye tumia ujana wake vibaya.Uko sahihi.
Nilimpenda, na nilikua naelewa ana 3 Kids, lakini nikaona kawaida naweza kuwamudu kuwa hudumia
Jambo la kwanza nikaona nimtoe kwenye swala la Kodi ndomana nikanunua uwanja na kuanza ujenzi Ili akae na Watoto( Tunaepukana na kulipa Kodi, kama Kodi itakua kulipia Frem ambayo atakua anafanyia Biashara)
Lengo langu la pili ilikua ni kumpa mtaji wa Biashara.
nilitaka nim saport kwa kile anachofanya( Kuna pesa nilitenga Ili nimpe aongezee kwenye harakati zake.
Una uhakika una akili timamu?Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Wanawake sio watu wa kuwaendekeza hata kidogo mluu. Ni afadhali kumfadhili kenge kuliko mwanamkeMwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Dah mkubwa Ila wahenga wanasema "hakuna tuzo ya roho nzuri" tafuta mtaa wowote mtu yule ambaye anaish kikatili na mke wake au mpenz ndo huwa a naenjoy maisha Ila sisi tunaojifanya wa pole tu naumia mkuu"Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Duu watu wanabahati hawabahatikiHapana nilifanya kwa Upendo maana hata Mimi niliwai saidiwa Maisha nilipokua mdogo...
Niko timamu na najua kua ana Watoto 3.
Hana shukraninilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Thanks my sister,. Ni kweli usemacho kumeluelewa Mwanamke anahitaji nini ajuae shetani.Ila dah, miamba mna moyo. Honestly speaking naona ulikurupuka kufanya hio decision braza. Yaani muda huwa unatoa majibu sahihi, atleast ungejipa muda kufanya haya maamuzi ya viwanja sijui nyumba. Sawa pesa ni zako BUT beware everytime unadecide kuinvest mahali. Wrong choices zimedrive wengi sana mahali pa machozi na kujifunza kwa masomo magumu sana. I am a woman but take this from me, no matter the desire, emotions, smiles or good will and character...tuchunguze kwanza. Tunajijua wenyewe sisi.
Kila siku nawaambia vijana wasipuuze past ya mwanamke ila sasa ndio hawataki kunielewa, angalao comments yako imetoka kwa mwanamke.Ila dah, miamba mna moyo. Honestly speaking naona ulikurupuka kufanya hio decision braza. Yaani muda huwa unatoa majibu sahihi, atleast ungejipa muda kufanya haya maamuzi ya viwanja sijui nyumba. Sawa pesa ni zako BUT beware everytime unadecide kuinvest mahali. Wrong choices zimedrive wengi sana mahali pa machozi na kujifunza kwa masomo magumu sana. I am a woman but take this from me, no matter the desire, emotions, smiles or good will and character...tuchunguze kwanza. Tunajijua wenyewe sisi.
Huyu jamaa ni mrongo.Mi sio mtu wa kukurupuka, nilipo mpenda huyo, Binti. Nilijua kua ana Watoto watatu. Na mwanzo nilikua na muhudumia kadri ya uwezo wangu, nilipoanza ujenzi tu hali ilibadilika anaona anapewa pesa mdogo, na pia mi nilikua naanda Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto wake.
Ila baada ya kugundua hizo sarakasi.
Jeuri kujiona yeye mzuri sana anamajibu ya Nyodo...nkaina hii Red Card.