Unapomjari mtu, mara nyingi huwa mtu ni Vigumu kuona unatenda sahibi.

Unapomjari mtu, mara nyingi huwa mtu ni Vigumu kuona unatenda sahibi.

Uko sahihi.
Nilimpenda, na nilikua naelewa ana 3 Kids, lakini nikaona kawaida naweza kuwamudu kuwa hudumia
Jambo la kwanza nikaona nimtoe kwenye swala la Kodi ndomana nikanunua uwanja na kuanza ujenzi Ili akae na Watoto( Tunaepukana na kulipa Kodi, kama Kodi itakua kulipia Frem ambayo atakua anafanyia Biashara)
Lengo langu la pili ilikua ni kumpa mtaji wa Biashara.
nilitaka nim saport kwa kile anachofanya( Kuna pesa nilitenga Ili nimpe aongezee kwenye harakati zake.
Bado Nasisitiza wewe ni mrongo.
 
porojo
yaan umuwazie kumjengea ndo utume buku 5
 
we jamaa hauko serious miaka 26 ana watoto watatu umekomaa naye na anakuamrisha cha kufanya kah! na hao watoto watatu sio wa Baba mmoja, jitahidi kuhudhuria kwenye vikao, wako mabinti wa miaka hiyo hawana watoto fanya mchakato achana na upofu wa mapenzi, watoto watatu ni wengi bwashee shituka
 
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Single Maza wapewe mauwa yao. Tunawananga lakini kila siku tunaangukia humo humo.
 
Mleta uzi utakuwa ni kijana mfupi sana...kiurefu na kiakili
Huna confidence halafu umekolea kwa mshangazi....pole sana, ..umeshanasa, huna namna, umeshapigwa na limbwata la kuteketeza....kuchomoka hapo you need a divine intervention not otherwise.
Bon voyage.
 
Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.

Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.

Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.

Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.

Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.

Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.

Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.

nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Hii stori imekaa kimchongo flani hivi.
 
Mleta uzi utakuwa ni kijana mfupi sana...kiurefu na kiakili
Huna confidence halafu umekolea kwa mshangazi....pole sana, ..umeshanasa, huna namna, umeshapigwa na limbwata la kuteketeza....kuchomoka hapo you need a divine intervention not otherwise.
Bon voyage.
Atakuwa ni msukuma alikutana na Single maza mweupe sana kutoka Kondoa au Manyoni.
 
Yaani hili ndio limekunyima usingizi...🤔
Ngoja waje wakuambie:-
Kumjari❌
Nilikubariana nae❌
Matofari❌
Kwaajiri❌
Nimemjari❌
Mkuu embu angazia tena hiyo 'matofari' kama ni mistake kweli.

Au nami ukurya wangu unanikerembesha?
 
Mwanaume utakiwi kuteseka kutafuta hela ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke malaya na mpumbavu aliye tumia ujana wake vibaya.
Yaani mtu ana miaka 26 tiyari ana watoto 3 na hajawahi kuolewa huoni kuwa huyo ni malaya aliye kubuhu?
Hao watoto kila mmoja na baba yake
 
Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.

Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.

Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.

Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.

Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.

Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.

Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.

nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Unaoa mke kwasababu una mhurumia na kwamba una uwezo wa kumsaidia😲

Vipi akivuka kiwango cha msaada wako? Utamwacha akasaidiwe na msaada wa mwanaume wa juu ya uwezo wako?

Ungeweza kumpa msaada pekee na kumwacha lakini sio kuchanganya huruma na ndoa. UTAJUTA

OA MKE mwenye sifa ya mke, toa msaada kwa anestahili kupewa msaada. USICHANGANYE MAMBO
 
Unaoa mke kwasababu una mhurumia na kwamba una uwezo wa kumsaidia😲

Vipi akivuka kiwango cha msaada wako? Utamwacha akasaidiwe na msaada wa mwanaume wa juu ya uwezo wako?

Ungeweza kumpa msaada pekee na kumwacha lakini sio kuchanganya huruma na ndoa. UTAJUTA

OA MKE mwenye sifa ya mke, toa msaada kwa anestahili kupewa msaada. USICHANGANYE MAMBO
Big point.
 
Pls tell us umemuacha tayari, au bado unawaza kwanza? Dah mzee alikupa nn huyo shumileta??
 
Umetafuta matatizo mwenyewe hapo wanawake walionyooka wapo kibao unatafuta aliepinda..
 
Pls tell us umemuacha tayari, au bado unawaza kwanza? Dah mzee alikupa nn huyo shumileta??
Nimeachana nae.
Niliona Taa Nyekundu mapema nilikua na mchora kwa mbali.
One Day
Akalopoka "nilikua nakuchukulia kumbe Fala mjanja"
Siku mjibu kitu nilicheka tu.
Ninapotoa kitu kwa mwanamke kiasi kidogo sana ya kipato changu yaani hata sitoi kwa kujimaliza, kama wanavyotoa watu sadaka kwa mwamposa, mpaka wanakosa nauli ya kurudi nyumbani kwao.
 
Back
Top Bottom