Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
- Thread starter
- #61
Mleta uzi utakuwa ni kijana mfupi sana...kiurefu na kiakili
Huna confidence halafu umekolea kwa mshangazi....pole sana, ..umeshanasa, huna namna, umeshapigwa na limbwata la kuteketeza....kuchomoka hapo you need a divine intervention not otherwise.
Bon voyage.
Hiyo siku niliompa Buku 5. Nilikua nimefanya matumizi ya Nyumbani na kwenye Biashara, pia nashukuru Mungu bila ile Buku 5 nisingejua Rangi za yule Demu kila kitu, Mungu upanga namshukuru Mungu kwa kile kilichotokea, ...Buku 5 Tu ndo chanzo kilianza Hapo.porojo
yaan umuwazie kumjengea ndo utume buku 5