Bado Nasisitiza wewe ni mrongo.Uko sahihi.
Nilimpenda, na nilikua naelewa ana 3 Kids, lakini nikaona kawaida naweza kuwamudu kuwa hudumia
Jambo la kwanza nikaona nimtoe kwenye swala la Kodi ndomana nikanunua uwanja na kuanza ujenzi Ili akae na Watoto( Tunaepukana na kulipa Kodi, kama Kodi itakua kulipia Frem ambayo atakua anafanyia Biashara)
Lengo langu la pili ilikua ni kumpa mtaji wa Biashara.
nilitaka nim saport kwa kile anachofanya( Kuna pesa nilitenga Ili nimpe aongezee kwenye harakati zake.
Mleta Mada chuma kishaingia laini Mtongozo kauwelewa.Duu watu wanabahati hawabahatiki
Single Maza wapewe mauwa yao. Tunawananga lakini kila siku tunaangukia humo humo.Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Hii stori imekaa kimchongo flani hivi.Mwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Atakuwa ni msukuma alikutana na Single maza mweupe sana kutoka Kondoa au Manyoni.Mleta uzi utakuwa ni kijana mfupi sana...kiurefu na kiakili
Huna confidence halafu umekolea kwa mshangazi....pole sana, ..umeshanasa, huna namna, umeshapigwa na limbwata la kuteketeza....kuchomoka hapo you need a divine intervention not otherwise.
Bon voyage.
HahahaWajinga hawajawahi kuisha.
Mkuu embu angazia tena hiyo 'matofari' kama ni mistake kweli.Yaani hili ndio limekunyima usingizi...๐ค
Ngoja waje wakuambie:-
Kumjariโ
Nilikubariana naeโ
Matofariโ
Kwaajiriโ
Nimemjariโ
Doctor mzima unaoa single maza mwenye 3kidsHaaaaa. Hakuna nilichopoteza ndugu, nilikua nafanya kwa mapenzi yangu... Ila na Tahadhali.
Hao watoto kila mmoja na baba yakeMwanaume utakiwi kuteseka kutafuta hela ili uje kuwa mkombozi wa mwanamke malaya na mpumbavu aliye tumia ujana wake vibaya.
Yaani mtu ana miaka 26 tiyari ana watoto 3 na hajawahi kuolewa huoni kuwa huyo ni malaya aliye kubuhu?
Unaoa mke kwasababu una mhurumia na kwamba una uwezo wa kumsaidia๐ฒMwaka huu 2024 mwezi wa nne.
Mwenge Dar es salaam. Nilikuta na Dada mmoja 26 Miaka.
Nilitokea kumpenda nikamuomba namba tukandelea kuwasiliana.
Baada ya mda tukaanzisha mahusiano. Kila siku nilikua na mtumia pesa ya matumizi.
Huyo dada alinieleza kua ana Watoto 3.
Kwa kua nilimpenda nilikuabariana nae,kua ntampenda yeye na Watoto wake
Baada mda kusogea Kodi inatakiwa kulipwa. Mi nikaamua Kutafuta pesa nikanunua Kiwanja mwanzo niliwaza niandike Jina la yule mwanamkea maana nilinunua Kiwanja Ili nijenge huyo mwanamke apate Sehemu ya Kuishi yeye na Watoto.
Kwa kua nilitoa pesa kununua kiawanja na pesa ingine nikanunua matofari ya ujenzi huduma kidogo ilipungua kwa yule mwanamke.
Alibadilika na kua kauli mbovu na maneno ya dharau, unanitumia 5000/=, ya kula. Hiyo pesa ni ndogo sana mi nataka mwanaume ane ni huduma kwa kila kitu.
Nilimueleza pesa nyingi nimetia ktk nyumba mtakayo ishi wewe na Watoto pia kuepuka nyumba za kupanga.
Bado mwanamke alikua mkali na hata mawasiliano au ukimpgigia simu haupokei.
Kiwanja nimenunua kwa ajiri yake hilo sikumueleza, na hata Jina la hati ya pale nilioandika Jina lake, ila sikumueleza chochote kua nyumba nimeijenga kwa jina lake.
nilichoamua nilikaa kimya nikaamua kutulia, maana nimemjari mtu Asie na Future na Mimi.
Big point.Unaoa mke kwasababu una mhurumia na kwamba una uwezo wa kumsaidia๐ฒ
Vipi akivuka kiwango cha msaada wako? Utamwacha akasaidiwe na msaada wa mwanaume wa juu ya uwezo wako?
Ungeweza kumpa msaada pekee na kumwacha lakini sio kuchanganya huruma na ndoa. UTAJUTA
OA MKE mwenye sifa ya mke, toa msaada kwa anestahili kupewa msaada. USICHANGANYE MAMBO
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Huwa mara nyingi nina kifua na sisemi hivi lakini leo acha niseme in Kanjibai voice ๐คฃ
"KUBWA JINGA SANA VEVE SHABANI"
Nimeachana nae.Pls tell us umemuacha tayari, au bado unawaza kwanza? Dah mzee alikupa nn huyo shumileta??