Unapomjari mtu, mara nyingi huwa mtu ni Vigumu kuona unatenda sahibi.


porojo
yaan umuwazie kumjengea ndo utume buku 5
Hiyo siku niliompa Buku 5. Nilikua nimefanya matumizi ya Nyumbani na kwenye Biashara, pia nashukuru Mungu bila ile Buku 5 nisingejua Rangi za yule Demu kila kitu, Mungu upanga namshukuru Mungu kwa kile kilichotokea, ...Buku 5 Tu ndo chanzo kilianza Hapo.
 
Yaani kabla ya mechi tayari umeshapigwa goli tatu ...na Bado dakika ya 10 tu umecheza tafu penati .... Duuuh..... La nne na Bado tu unakaza fuvu ..... Kumbe ule msemo washamba hawaishi mjini kumbe kweli....
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Amini baba hicho kimama kikimfata na kumuambia nisamehe, niliteleza, ulimi na blah blah, anapewa K pengine na utumbo achanganye na ndizi jamaa ataingia box upya.

Hawa watu wenye tabu za spellings kama R na L huwa kuna fuse inapiga piga cheche kwa mbali.
 
Jeuri kujiona yeye mzuri sana anamajibu ya Nyodo...nkaina hii Red Card.
Ofcourse lazima ajione mzuri sana. Kama una mfata na ana 3childs we huna hata mmoja atakuona tu we ni Poyoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…