Unapomuona mke wako hana furaha na hana amani inasumbua sana

Wewe nawe ni mwanamke
Mimi sio mwanamke ila sasahivi imekuwa too much, ndio mwanamke ana makosa ila kumbuka makosa yote ya wanawake yanasababishwa na wanaume.

Sisi ndo source ya matatizo yao karibia yote licha ya kwamba baadhi ya matatizo hayo wanayasababisha wao wenyewe ila most of the time sisi ndo initiators.

Hili ni kwasababu wanaume hawataki kuwa wanaume, tumeanza kuiga tabia za wanawake za kutoa malalamiko sana, kuongea sana, ile level ya masculinity imepungua sana, unamkalisha mwanamke chini unamuuliza tatizo, hataki kusema unamuacha, unamnyima attention, atakuja kusema.

Tuwe alpha males.
 
huyo mwanamke aseme sasa kosa liko wapi atanuna mpaka lini?
Dawa ya kununa kama mwanamke haongei chochote ukimuuliza na wewe mnyime attention, asubuhi toka kama mbuzi nenda kazini, rudi kula, jifanye huna time naye, atashtuka, ataanza kufunguka.

Mi nilishawahi nuniwa long time ago na ex, nikapull out attention trigger, nilitafutwa na kuombwa msamaha kwa kosa nisilolijua. Sipendagi ujinga kabisa.
 
Kesho mnunulie gauni zuri tu au kitenge kile cha Kigoma mkuu. Kama bajeti haisomi wewe kopa tu ili umnunulie kitu kizuri hasa VAZI.

Tuishi nao kwa akili tu mkuu.
 
Kuna muda mood inakuwa off tuu, wanawake hasa mama wanapitia mengi, majukumu ya nyumbani plus malezi yanachosha sana kiasi kwamba hata mtu akikuuliza shida nini huwezi hata kuelezea.
 
Pole shikolobooo wanawake shikamoo πŸ˜†πŸ₯ΊπŸ’ͺ
 
Kuna muda mood inakuwa off tuu, wanawake hasa mama wanapitia mengi, majukumu ya nyumbani plus malezi yanachosha sana kiasi kwamba hata mtu akikuuliza shida nini huwezi hata kuelezea.
Nimemgeuza geuza hapa aniambie whats up...kasema kesho...
 
Big up mkuu
 
Nimemgeuza geuza hapa aniambie whats up...kasema kesho...
Sawa mkuu mpe muda na kesho msikilize kwa mapenzi yote, funny enough unaweza kuta wewe upo worried kama hivi kumbe kagombana na mama Aslay kwenye vicoba huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unawezaje kufanya tendo kwa kususiwa nawe, unakua unainjoi sanamu ,huoni kama unakua kama unabaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…