Wakati wa awamu ya nne tuliona kampeni kubwa za kugawa tenda za ujenzi kwa makandarasi wazawa. Tuliona kampuni ya Mayanga Construction ilivyomwagiwa tenda mpaka ikashindwa na kuishia ku-subcontract kwa makampuni ya nje! Leo tunajua Mayanga Construction ilimilikiwa na nani.
Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?
Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?