Unapoona juhudi za kuwapiga chapuo makandarasi wa ndani zimeshika kasi ujue kuna mtu amefungua kampuni lake la ujenzi

Unapoona juhudi za kuwapiga chapuo makandarasi wa ndani zimeshika kasi ujue kuna mtu amefungua kampuni lake la ujenzi

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Wakati wa awamu ya nne tuliona kampeni kubwa za kugawa tenda za ujenzi kwa makandarasi wazawa. Tuliona kampuni ya Mayanga Construction ilivyomwagiwa tenda mpaka ikashindwa na kuishia ku-subcontract kwa makampuni ya nje! Leo tunajua Mayanga Construction ilimilikiwa na nani.

Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?
 
Wakati wa awamu ya nne tuliona kampeni kubwa za kugawa tenda za ujenzi kwa makandarasi wazawa. Tuliona kampuni ya Mayanga Construction ilivyomwagiwa tenda mpaka ikashindwa na kuishia ku-subcontract kwa makampuni ya nje! Leo tunajua Mayanga Construction ilimilikiwa na nani.

Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?
Acha akili za kimasikini
 
Wakati wa awamu ya nne tuliona kampeni kubwa za kugawa tenda za ujenzi kwa makandarasi wazawa. Tuliona kampuni ya Mayanga Construction ilivyomwagiwa tenda mpaka ikashindwa na kuishia ku-subcontract kwa makampuni ya nje! Leo tunajua Mayanga Construction ilimilikiwa na nani.

Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?
Upo sahihi kabisa
 
Wakati wa awamu ya nne tuliona kampeni kubwa za kugawa tenda za ujenzi kwa makandarasi wazawa. Tuliona kampuni ya Mayanga Construction ilivyomwagiwa tenda mpaka ikashindwa na kuishia ku-subcontract kwa makampuni ya nje! Leo tunajua Mayanga Construction ilimilikiwa na nani.

Kampeni za kunyanyua wakandarasi wa ndani sio mbaya ila tu isiwe ni kichaka cha viongozi kutaka kujitajirisha. Tutegemee Abdul Construction safari hii?
Mtu mwenye cheo kufungua kampuni yake ya ujenzi Wala haihitaji debe Ili kupata kazi.Cheo tuu kinatosha kuwa guarantee ya kazi mfano mzuri ni Robert Gabriel licha ya kuwa RC wa Zamani lakini kapata kazi ya Bil.5 sembuse aliyeko kwenye cheo?.

Pili kwani Kuna ubaya mtu wa hivyo kufungua kampuni na kufanya kazi? Kipi Cha ajabu? Sheria zipi zinazuia?

Kwa hiyo usiwe mpumbavu,Wazawa wanatakiwa kushika uchumi wa Nchi hii ukiwepo wewe ,Makelele hayatakusaidia kuondokana na umaskini.
 
Mtu mwenye cheo kufungua kampuni yake ya ujenzi Wala haihitaji debe Ili kupata kazi.Cheo tuu kinatosha kuwa guarantee ya kazi mfano mzuri ni Robert Gabriel licha ya kuwa RC wa Zamani lakini kapata kazi ya Bil.5 sembuse aliyeko kwenye cheo?.

Pili kwani Kuna ubaya mtu wa hivyo kufungua kampuni na kufanya kazi? Kipi Cha ajabu? Sheria zipi zinazuia?

Kwa hiyo usiwe mpumbavu,Wazawa wanatakiwa kushika uchumi wa Nchi hii ukiwepo wewe ,Makelele hayatakusaidia kuondokana na umaskini.
Sio mbaya ila usitegemee fair play linapokuja suala la ugawaji wa tenda, ref, Mayanga Construction.
 
Sio mbaya ila usitegemee fair play linapokuja suala la ugawaji wa tenda, ref, Mayanga Construction.
Tenda haigawiwi Bali unaomba na Ukiwa na vigezo unapata.

Hata hivyo Kwa Sasa Serikali inachwza fair play Kwa sababu Huwa Kuna Tenda ziko restricted Kwa wakandarasi wa ndani ya Mkoa husika au Wakandarasi wadogo Ili kuleta fairness
 
Back
Top Bottom