Unapoongoza elewa kuwa wewe ni kiongozi tu! Tabia za kufokeana Kama watoto peleka Kwa watoto wako nyumbani

Unapoongoza elewa kuwa wewe ni kiongozi tu! Tabia za kufokeana Kama watoto peleka Kwa watoto wako nyumbani

Kwema Wakuu!

Kuna viongozi wakipewa dhamana wanarukwa sijui na akili, wanafoka foka, kufokeana watu wazima ni kudhalilishana tuu.
Hakuna aliyekulazimisha uteua mtu, Kama mtu kaboronga fukuza kazi, sheria zingine zifuate.
Sio kupewa tuu uongozi unajifanya mkoloni ndani ya nchi, na kuwabagaza wasaidizi wako kama vile Wake zako.

Usilete mambo ya kijeshi kwenye uongozi hasa Kwa kizazi hiki.
Ukitaka ubabe na kufokeana nenda kaombe Cheo jeshini huko, ndipo kuna ubabe ubabe na kufuata amri. Tena nadhani haa jeshini kunataratibu zake.

Unakakuta kakijana kadogo tuu kanafokea watu wazima waliokazidi umri kisa kana uongozi.

Nyie Wazee wapumbavu, wajinga,
Sijui ninyi ni majizi, mafisadi, utadhani Yeye ndiye Jaji au hakimu aliyethibitisha hatia ya Msaidizi wake.

Tuheshimiane.
Huwezi mfokea mtu hadharani ili upate sifa Kwa watu, uonekane Mchapakazi na mwema.

Vijana wadogo, mnaoingia kwenye Siasa jihadharini na mambo ya kufokea watu ilhali mnatumikia Umma!

Ukitaka kufokea watu anzisha Kampuni yako, fokea Wafanyakazi wako,
OA na zaa watoto wafokee hao ndio halali yako.
Hata mke anayejielewa huwezi mfokea kipuuzi puuzo akakuvumilia.

Taratibu zipo, andika barua au sema sina kazi, Kama ni mwizi kesi ipelekwe mahakamani.

Lakini sio watu tutoe Kodi zetu ili utufanye Kama watoto wako, hiyo hapana! Umezoea kufoka kafoke huko kwenu!

Hii ni nchi, hili ni taifa! Sio jamii au kikundi Fulani cha watu! Au kitaasisi Fulani! Lazima viongozi wajue hilo.
Lazima wajue nchi hii inamakabila zaidi ya 120 na watu wa kila namna. Hivyo heshima kitu cha Bure!

Unapewa uongozi unataka kuleta mambo ya kwenu huko kwenye nchi,

Ukiongoza uwe na adabu na heshima ili uheshimiwe!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mbona kama umechefukwa? Usilie ndugu yangu
 
Daah yaani inaelekea hujawahi kuwa kiongozi hata wa kichwa chako ( sijatukana wakuu tunaeleweshana) kuna wakati unafanya makosa mwenyewe mpaka unatamani ujifoke. Sasa uko kwenye kazi ufanye makosa halafu mimi kiongozi wako nikulee lee tu hapana nitakufokea ila pia kufokea ina taratibu zake siwezi kukufokea mbele za watu au wafanyakazi wenzio nitakuita chemba na kukufokea hata kama una mwili kama mh Wassira nitakufokea tu. Uongozi ni mgumu sana ndugu.
 
Daah yaani inaelekea hujawahi kuwa kiongozi hata wa kichwa chako ( sijatukana wakuu tunaeleweshana) kuna wakati unafanya makosa mwenyewe mpaka unatamani ujifoke. Sasa uko kwenye kazi ufanye makosa halafu mimi kiongozi wako nikulee lee tu hapana nitakufokea ila pia kufokea ina taratibu zake siwezi kukufokea mbele za watu au wafanyakazi wenzio nitakuita chemba na kukufokea hata kama una mwili kama mh Wassira nitakufokea tu. Uongozi ni mgumu sana ndugu.

Na Hilo ndilo ninalolisema!

Upo sahihi!

Nimeandika ujumbe huu Kwa watu wenye tabia hiyo, utakaowaumiza ndio wenye tabia ya kufokea watu bila adabu mbele za watu
 
Haka ka utamaduni ka kufokeana si kazuri, kalianza rasmi 2016 - Wote ni watumishi wa umma sasa kunifokea fokea kisa wewe eti ni bosi ni USHAMBA tu...hata mkeo pale home ukimfokea fokea ujue hizo siku mbili unyumba kwa jirani...
 
Siku zote mshindi hutokea mwishoni!

Hiyo ndio Kauli nakuachia,
Wewe endelea kufokafoka siku ukutane na wanaume tutakunyoosha ili ujifunze kuwa na heshima.

Fokea mtoto na Mkeo nyumbani, na kwenye Kampuni zako lakini usilete ushamba wako kwenye nchi hasa Zama hizi
Nakwambia hivi, una bahati!
 
Haka ka utamaduni ka kufokeana si kazuri, kalianza rasmi 2016 - Wote ni watumishi wa umma sasa kunifokea fokea kisa wewe eti ni bosi ni USHAMBA tu...hata mkeo pale home ukimfokea fokea ujue hizo siku mbili unyumba kwa jirani...

😀😀😀

Mfokea mtu Kwa adabu.
Kwenye vikao, au chemba.

Lakini kufoka na kubagaza watu mbele ya halaiki Kwa kweli Hilo haliwezekaniki.

Hata Baba mwenye hekima hawezi mfokea mtoto wake mbele za watu ati ili apate sifa Kwa majirani.

Au mke umfokee mbele ya watoto au majirani alafu Kama anajielewa akuchekee bila kurejesha mapigo.
 
Hapana!

Embu fikiria Taikon napewa kacheo Fulani alafu nakuja kumfokea Baba yako au mtu aliyelingana na Baba yako ambaye kanizidi Hadi Mimi umri.

Huko ndio kuvurugwa

Ila Makonda alikuudhi sana.
 
TRA inabidi wachapwe viboko kabisa.
 
TRA inabidi wachapwe viboko kabisa.
hahaaa kuna bosi wao mmoja wa zamani ila katumbuliwa sasa hivi anafoka huyo hahaaaaa tena bila staha , ooh mimi nina Phd ya kwiyooooo mxiuuuuuuuuuuu
 
Kwema Wakuu!

Kuna viongozi wakipewa dhamana wanarukwa sijui na akili, wanafoka foka, kufokeana watu wazima ni kudhalilishana tuu.
Hakuna aliyekulazimisha uteua mtu, Kama mtu kaboronga fukuza kazi, sheria zingine zifuate.
Sio kupewa tuu uongozi unajifanya mkoloni ndani ya nchi, na kuwabagaza wasaidizi wako kama vile Wake zako.

Usilete mambo ya kijeshi kwenye uongozi hasa Kwa kizazi hiki.
Ukitaka ubabe na kufokeana nenda kaombe Cheo jeshini huko, ndipo kuna ubabe ubabe na kufuata amri. Tena nadhani haa jeshini kunataratibu zake.

Unakakuta kakijana kadogo tuu kanafokea watu wazima waliokazidi umri kisa kana uongozi.

Nyie Wazee wapumbavu, wajinga,
Sijui ninyi ni majizi, mafisadi, utadhani Yeye ndiye Jaji au hakimu aliyethibitisha hatia ya Msaidizi wake.

Tuheshimiane.
Huwezi mfokea mtu hadharani ili upate sifa Kwa watu, uonekane Mchapakazi na mwema.

Vijana wadogo, mnaoingia kwenye Siasa jihadharini na mambo ya kufokea watu ilhali mnatumikia Umma!

Ukitaka kufokea watu anzisha Kampuni yako, fokea Wafanyakazi wako,
OA na zaa watoto wafokee hao ndio halali yako.
Hata mke anayejielewa huwezi mfokea kipuuzi puuzo akakuvumilia.

Taratibu zipo, andika barua au sema sina kazi, Kama ni mwizi kesi ipelekwe mahakamani.

Lakini sio watu tutoe Kodi zetu ili utufanye Kama watoto wako, hiyo hapana! Umezoea kufoka kafoke huko kwenu!

Hii ni nchi, hili ni taifa! Sio jamii au kikundi Fulani cha watu! Au kitaasisi Fulani! Lazima viongozi wajue hilo.
Lazima wajue nchi hii inamakabila zaidi ya 120 na watu wa kila namna. Hivyo heshima kitu cha Bure!

Unapewa uongozi unataka kuleta mambo ya kwenu huko kwenye nchi,

Ukiongoza uwe na adabu na heshima ili uheshimiwe!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hongera wewe umestarabika.

Wenzako hadi wapigw eza vichwa ndio waelewe.
 
Daah yaani inaelekea hujawahi kuwa kiongozi hata wa kichwa chako ( sijatukana wakuu tunaeleweshana) kuna wakati unafanya makosa mwenyewe mpaka unatamani ujifoke. Sasa uko kwenye kazi ufanye makosa halafu mimi kiongozi wako nikulee lee tu hapana nitakufokea ila pia kufokea ina taratibu zake siwezi kukufokea mbele za watu au wafanyakazi wenzio nitakuita chemba na kukufokea hata kama una mwili kama mh Wassira nitakufokea tu. Uongozi ni mgumu sana ndugu.
Watoto wa kigitali wanachekesha sana, anafokewa Baba/Mama Mzazi ije kuwa ndezi wa Mchambawima ulete ujinga ujinga eti kisa hutaki kufokewa?

Kuna hasara zingine hupotea kizembe sana ikiwa mfanyakazi atakuona jinsi gani wewe Bosi ulivyo bwenyenye kwa kila kitu kukiendesha kipoa poa (leissezafair leadership styles).
 
Watoto wa kigitali wanachekesha sana, anafokewa Baba/Mama Mzazi ije kuwa ndezi wa Mchambawima ulete ujinga ujinga eti kisa hutaki kufokewa?

Kuna hasara zingine hupotea kizembe sana ikiwa mfanyakazi atakuona jinsi gani wewe Bosi ulivyo bwenyenye kwa kila kitu kukiendesha kipoa poa (leissezafair leadership styles).

Ndio uanzishe hiyo Kampuni yako ili ufanye hayo hakuna atakayekuingilia lakini sio kujifanya unajua kufoka kwenye mambo ya Kisiasa huku ukijua wote ni wamiliki WA nchi hii.

Upo utaratibu wa kumfokea mtu na sio mbele za watu kwenye mambo ya kitaifa.

Hakuna atakayekuzuia kumfokea Baba au Mama yako, au Mkeo au watoto au Wafanyakazi wa taasisi au Kampuni yako lakini kwenye ishu za kinchi ujipange
 
Kwema Wakuu!

Kuna viongozi wakipewa dhamana wanarukwa sijui na akili, wanafoka foka, kufokeana watu wazima ni kudhalilishana tuu.
Hakuna aliyekulazimisha uteua mtu, Kama mtu kaboronga fukuza kazi, sheria zingine zifuate.
Sio kupewa tuu uongozi unajifanya mkoloni ndani ya nchi, na kuwabagaza wasaidizi wako kama vile Wake zako.

Usilete mambo ya kijeshi kwenye uongozi hasa Kwa kizazi hiki.
Ukitaka ubabe na kufokeana nenda kaombe Cheo jeshini huko, ndipo kuna ubabe ubabe na kufuata amri. Tena nadhani haa jeshini kunataratibu zake.

Unakakuta kakijana kadogo tuu kanafokea watu wazima waliokazidi umri kisa kana uongozi.

Nyie Wazee wapumbavu, wajinga,
Sijui ninyi ni majizi, mafisadi, utadhani Yeye ndiye Jaji au hakimu aliyethibitisha hatia ya Msaidizi wake.

Tuheshimiane.
Huwezi mfokea mtu hadharani ili upate sifa Kwa watu, uonekane Mchapakazi na mwema.

Vijana wadogo, mnaoingia kwenye Siasa jihadharini na mambo ya kufokea watu ilhali mnatumikia Umma!

Ukitaka kufokea watu anzisha Kampuni yako, fokea Wafanyakazi wako,
OA na zaa watoto wafokee hao ndio halali yako.
Hata mke anayejielewa huwezi mfokea kipuuzi puuzo akakuvumilia.

Taratibu zipo, andika barua au sema sina kazi, Kama ni mwizi kesi ipelekwe mahakamani.

Lakini sio watu tutoe Kodi zetu ili utufanye Kama watoto wako, hiyo hapana! Umezoea kufoka kafoke huko kwenu!

Hii ni nchi, hili ni taifa! Sio jamii au kikundi Fulani cha watu! Au kitaasisi Fulani! Lazima viongozi wajue hilo.
Lazima wajue nchi hii inamakabila zaidi ya 120 na watu wa kila namna. Hivyo heshima kitu cha Bure!

Unapewa uongozi unataka kuleta mambo ya kwenu huko kwenye nchi,

Ukiongoza uwe na adabu na heshima ili uheshimiwe!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
We jamaa ulikuwa na duka kihonda Moro?
 
Maada Nzuri sana.
Ila mbona andiko lako umeliandika kwa Kufoka na wewe pia Mkuu?
 
Back
Top Bottom