usijali shangazi tutawaagiza wahuni wa CCM wakaitazame upya huko kwenye vilinge vyaoSasa mchezo wa 1,000 si hata gharama za kuendesha kesi zinazidi kosa. Hii sheria iangaliwe upya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usijali shangazi tutawaagiza wahuni wa CCM wakaitazame upya huko kwenye vilinge vyaoSasa mchezo wa 1,000 si hata gharama za kuendesha kesi zinazidi kosa. Hii sheria iangaliwe upya.
Tumeweka rules kwenye group yetu, anaechelewa kufikisha anakuwa exposed kwenye group na anamlipa mpokeaji double. Maximum tarehe 30 mpokeaji anatakiwa awe amepokea pesa yake.
Na nyama robo ni kwaajili ya baba, asijue yanayoendelea mchana.Ndugu yangu kacheza mchezo huo kanunua alphard inamsaidia biashara yake ya kupika chakula.
Mama Ikram yeye anachezesha buku kila siku, matokeo yake baba Ikram anaacha hela ya kilo ya nyama watoto mchana na usiku, mama ikram mchana anapika dagaa na tembele gumu, usiku ananunua nyama robo.
Hela yote anapeleka kwenye kibati.
Yaani cha muhimu pesa ikipatikana ifanye cha maana. Tatizo Sasa linakuja wakina hazintoshi wakipokea wanaenda kutunza zote kwenye shughulii a.k.a kigodoro 🤣🤣Ndugu yangu kacheza mchezo huo kanunua alphard inamsaidia biashara yake ya kupika chakula.
Ila tukumbuke uu mchezo ndo chachu ya watoto kulishwa matembele magumu makavu na madagaa ya hovyo ili mama apeleke pesa kwa kijumbe, usiku sababu baba yupo ananunua nyama robo.
Katika rules tulizoweka, haya matatizo jaribu kuyamaliza mwenyewe kwani kila mtu ana matatizo. Ikitokea umekosa kutoa mwezi unalipa double kama penalty.Ni mchezo mzuri kwa kuaminiana tu lakini
Kuna jamaa 20 nchi moja huku walikuwa wanatoa kila mmoja 3m ya Tz kwa mwezi
Baadae jamaa mmoja akatoa wazo kwa wenzake na kusema kama mtu ameweza kuweka £1000 kwa mwezi na kuvumilia miezi 19 kwanini tusiweke Bank na baada ya miaka kadhaa tufungue kiwanda?
Hayawi hayawi sasa wana kiwanda cha magodoro nchi moja Africa na waliopo kwingine ni sleeping partners tu wao wanapata hela kila mwezi kwa faida inayopatikana
Ila inataka moyo na dedication haswa na uaminifu sana
Sio unatoa hela baada ya miezi kadhaa unaanza ooh kuna tatizo kubwa limetokea home nahitaji hela zangu hapo ndio mgogoro unaanza
Ila ni mchezo mzuri unaosaidia wengi kutatua matatizo makubwa na madogo
Katika rules tulizoweka, haya matatizo jaribu kuyamaliza mwenyewe kwani kila mtu ana matatizo. Ikitokea umekosa kutoa mwezi unalipa double kama penalty.
Ni nzuri mkuu,
Najua watu fulani UK huu mchezo uliwasaidia kulipa ada ya chuo, na wote walimaliza......wamama wengi wanacheza huu mchezo, wababa naona hawaaminiani....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Wakenya niliwafahamu, wanachanga £1,500 kila mwezi. Hapa ni mshahara wa mama wote na baba ana top up.Tunaaminiana sana ila tuna mengi ya kupanga hata hizo za kina mama ni mchango wetu mkubwa tunasaidia pia, na wengine hawajui ila wanasaidia in a different way
Kuna Wakenya niliwafahamu, wanachanga £1,500 kila mwezi. Hapa ni mshahara wa mama wote na baba ana top up.
Weekends inabidi wapige kazi za ziada ili bills zilipwe lakkni ikiwafikia wanapata zaidi ya £20,000
Naomba unipe maelekezo na taratibu za kuiendesha kwenye magroupu ya watsap ........maana kwenye huu uchumi wa Kati tukikosa fursa za kuhujumu basi tusikose hata na mengine ya kujidaia na kupunguza makaliMnarushiana M-pesa siku ya kupokea na kila mtu ana screenshot message ya kutuma pesa kwenye WhatsApp group.
1 uamnifu na mjuane vizuriNaomba unipe maelekezo na taratibu za kuiendesha kwenye magroupu ya watsap ........maana kwenye huu uchumi wa Kati tukikosa fursa za kuhujumu basi tusikose hata na mengine ya kujidaia na kupunguza makali