Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Tunabadili muda wa kula...umeridhika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuwa offended kwasababu ya your own prejudices. Hii sio mada ya kidini.Najaribu kutafuta point ya hii thread lakini sijaipata. zaidi naona watu wanakuwa offended.
Means bila shaka kuna kitu hakipo sawa.
Maono nin,i je Waislamu wanaamini kwenye maono.Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?
Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.
Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi
Dada, mimi kejeli hazinitwezi utu wangu. Niite vyovyote utakavyo kama ndio unaona inakupa relief.
Okay, sawa nakubali unachosema you're 100% right.Unakuwa offended kwasababu ya your own prejudices. Hii sio mada ya kidini.
Najaribu kutafuta point ya hii thread lakini sijaipata. zaidi naona watu wanakuwa offended.
Means bila shaka kuna kitu hakipo sawa.
Mada haihusiani na dini. Hongera kwa kulitambua hilo.Tunabadili muda wa kula...umeridhika?
Teeh teeh.Shosti jamani usilie ndo ukubwa huo vumilia hio mimba
Point ya mada ni kuwa kiafya ukifunga kuanzia siku saba inausafisha mwili na kuboresha afya yako. Sumu zote zinatolewa mwilini.Okay, sawa nakubali unachosema you're 100% right.
Kwahiyo point yako ni nini?
Teeh teeh.
Umri unakwenda binti acha kuwa mchafu wa akili na mwili upate mume utulie.
Uislamu hautakuwa na uwezo wa kuufanya chochote zaidi ya kuandika upumbavu wako humu jamii forum.
Badilika binti na uwe na akili timamu.
Boss sidhani kama umewahi kufanya utafiti juu ya imani yako. Unajua Khadija alikuwa roman? Yule binamu yake anayeitwa Waraqua ndiye alikuwa mtu wa kwanza kumwambia Muhammad kwamba aliyoyaona ni maono. Unafahamu kwamba huyu naye alikuwa roman??Maono nin,i je Waislamu wanaamini kwenye maono.
Wewe tatizo unachanganya mambo, maono ya kwa wakristo husani walokole, kupitia maono, kibwetele aliawaambia waumini wake wakifa kwa kujinguza kwa moto kanisani, wote wanauona ufalme wa mbinguni, Mungu kampa maono.
You've got a point, Nakuelewa.Mie mwenyewe nimeshangaa kwanini wamekasirika maana mleta mada kapiga mifungo yote miwili inayoendelea ndani ya mwezi huu. Kufunga kwa kunywa maji tu ngumu sana ni wachache mno wanafunga hivyo napo ni kwa utashi wao
Chuki kwa kitu kisichowahusuWanaweza kubuni lolote zuri. Mfano: mabadiliko ya ratiba ya kula.
Makafiri bhana kwa unafiki.Mada haihusiani na dini. Hongera kwa kulitambua hilo.
Hii mada sio ya kidini. Umeitafsiri vibaya.Makafiri bhana unafiki ni moja ya ibada kwenu.
Mada ya kidini hata mtoto mdogo anaielewa unaikwepesha.
Sisi tutakupiga nyundo hivyohivyo hata ukijifanya kuleta unafki wako.
Sawa kubwa la makafiri?
Hili lilikuwa pendekezo tu.Chuki kwa kitu kisichowahusu
Well, are you happy now?Pole shosti ulijitia ujuaji now unaanza kulia lia cheeeeiiii