Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
- #161
Wapi imani yako imetajwa?Funga ya kiafya si uifunge wewe kwani umekatazwa we binti vipi.
Unalazimisha watu waifuate funga yako as if watu imani zinafanana.
Waislamu wana funga yao na nyie waabudu sanamu mna funga yenu shobo za nini?