Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Funga ya kiafya si uifunge wewe kwani umekatazwa we binti vipi.

Unalazimisha watu waifuate funga yako as if watu imani zinafanana.

Waislamu wana funga yao na nyie waabudu sanamu mna funga yenu shobo za nini?
Wapi imani yako imetajwa?
 
Mods Active hii thread ina contain Religious discrimination.
Inaenda kinyume na sheria za JamiiForums.
 
Maskini shosti pole unatamani kulia. Kumbuka JF ni wazo la unaowaita makafiri kama hautaki kuziona hizi mada shinda kwenye mahubiri ya dini yako
Tulia basi dawa ikuingie. Makafiri huwa mada zenu mkiona Ramadhan imeingia ndo mnazileta. Well, kila mtu ana imani yake. Na kila mtu afanye ajuavyo.
 
Haya sitayafuta. Nakushauri, mimi sitamani, uwe Muislam na huu uzi wote utaomba mods wakusaidie kuufuta.

Kuna kitu unamiss. Religious tolerance. Mimi nikiamua nadeal na watu wa style yako kwa namna ambayo nimedeal na wewe leo.
Uvumilivu wangu ni mkubwa sana na ninaheshimu imani za wengine.

Ninaamini umepata vitu vya kujifunza leo.
 
Duka lenyewe mtu anafungua asubuhi na jioni anafunga, hivi haya mambo mafogo kiasi hiki yanakushinda nini kuelewa?

Lengo la kufunga si kuutesa mwili bali kupata afya na mambo mengine ya kiroho.
 
Humu kuna wajinga wengi sana huwa nawapuuzia sana hasa Wasio Waislamu hutubeza ya kuwa tunabadilisha muda wa kula.

Sasa nakuuliza maana ya kufunga ni kujizuia kula pekee ? Huu ujinga amewaambia nani ?

Kwetu sisi Waislamu kufunga ni kujizuia kula, kufanya uovu, batili kuanzia alfajiri ya kweli mpaka jua linapo zama. Hii ndiyo maana ya funga kwetu sisi Waislamu.

Sasa unapotushangaa sisi na sisi tunakushangaa wewe kuhusu maana yako batilo ya kufunga.
Umemaliza mjadala.Umemueleza ukweli mtupu.Amekuelewa,japo atajifanya hajakuelewa.
 
Hakuna sehemu kataja dini ya mtu. Ukiangalia kwaresma hawafungi anavyosema au kushauri mleta mada ila wale wanaoishi kwa kujishtukia wamepanic.

Kumbuka wanaofunga kwaresma jumapili hawafungi kula ni full misosi
Mods Active hii thread ina contain Religious discrimination.
Inaenda kinyume na sheria za JamiiForums.
 
Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?

Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.

Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi
Teeh teeh we binti bhana

Sasa mimi na akili zangu timamu naanzaje kumuamini yesu kama mungu.

Huo utakuwa zaidi ya upumbavu.

Jitu watu wamelifilimba juu ya msalaba na kumuacha na kichupi huku akilia kama zezeta leo ndo unataka tumuanini kama mungu!

Hivi nyie makafiri akili za kufikiria huwa mnazipekeka wapi?

Au nyama chafu za nguruwe mnazokula ndo sababu ya kuwatoa akili.
 
Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?

Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.

Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi
Ni risk sana kuamini manipulations walizofanya Waroma na wenzao kwa kuchukua injili ya Yesu na kuongezea vya kwao na kusema hivi ndio sahihi. Biblia si katika injili halisi ya Yesu. Yesu hakufundisha utatu popote. Alihubiri ibada ya Mungu 1 pekee asiye na mshirika. Ukafanyika upotoshaji mkubwa sana na leo watu wanaamini na wanafata. Mmoja wapo ni wewe.
 
Duka lenyewe mtu anafungua asubuhi na jioni anafunga, hivi haya mambo mafogo kiasi hiki yanakushinda nini kuelewa?

Lengo la kufunga si kuutesa mwili bali kupata afya na mambo mengine ya kiroho.
Funga ya kiafya ni ile ya kuanzia siku saba.
 
Maji ya Nini brother...?? Me nawajua watu wanafunga 40 kavu bila kula kitu we unasema maji... Bado hujui kufunga na wewe tafuta neno jingine...
Huko kufunga kwa siku 40,umeamrishwa na kitabu gani cha dini yako,kuwa funga siku 40 bila kula?Wenzako Wana kitabu chao,kilichowaelekeza wafunge na kufunguwa mda gani,na kwa siku ngapi.
 
Hakuna sehemu kataja dini ya mtu. Ukiangalia kwaresma hawafungi anavyosema au kushauri mleta mada ila wale wanaoishi kwa kujishtukia wamepanic.

Kumbuka wanaofunga kwaresma jumapili hawafungi kula ni full misosi
Binti kwani kuna shida gani watu wakifunga kwa mujibu wa imani yao?

Au una chuki na waislamu.

Kama kuna shababi wa kiislamu akikupiga mimba akakutelekeza sema tukusaidie uache kuchukia waislamu na uislamu.
 
Maskini shosti pole unatamani kulia. Kumbuka JF ni wazo la unaowaita makafiri kama hautaki kuziona hizi mada shinda kwenye mahubiri ya dini yako
Wazo la makafiri then what?
We unatumia bundle lako nami natumia langu. Au unadhani wewe kuna faida unapata zaidi hapa?
 
Huko kufunga kwa siku 40,umeamrishwa na kitabu gani cha dini yako,kuwa funga siku 40 bila kula?Wenzako Wana kitabu chao,kilichowaelekeza wafunge na kufunguwa mda gani,na kwa siku ngapi.
Nadhani itakuwa ni Yesu, Musa na Eliya. Hawa wote walifunga siku 40.
 
Kilichokuwasha kuniquote nini nami natumia bundle langu. Punguza genye pasipokuhusu,unakurupuka kuita makafiri wakati bado umeng'ang'ania kwenye ubunifu wao. Tafuta jukwaa la wasio makafiri utoe povu
Wazo la makafiri then what?
We unatumia bundle lako nami natumia langu. Au unadhani wewe kuna faida unapata zaidi hapa?
 
Uvumilivu wangu ni mkubwa sana na ninaheshimu imani za wengine.

Ninaamini umepata vitu vya kujifunza leo.
Unapotaka kufundisha watu weka mbali hisia zako za kidini pembeni. Kwa sababu unachokiamini wewe sivyo anavyoamini huyo unayataka kumfunza
 
Back
Top Bottom