Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Ni namna bora kwa tafiti za kiafya.

Mimi sipingani na mafundisho ya imani yoyote.
Sijawahi kumsikia Daktari yeyote, akihimiza watu kuishi na njaa wiki au zaidi ya wiki eti ni sehemu tiba, au watu wa mazoezi wakise ukika Siku 90 unakunywa maji kidogo tena usiku unakua na afya acha uwongo.
 
Mada haikuwa imetaja dini yoyote. Naona waislamu wengi mmekuwa wakali hapa ingawa hata baadhi ya madhehebu ya kikristo yapo kwaresma na hawajalalamikia mada.

Unadhani ni kwanini waislamu ndio wamekuwa wakali?

Ulikua na jambo lako ila umebadili gia angani
 
Kejeli umeanza wewe kwa kuhoji kwanini mtu aseme anafunga wakati anakula jioni?
Kwahiyo kwa kuwa wewe hujafunga unaruhusiwa kukejeli wenzio?
Mimi langu lilikuwa swali na sioni ni kwa namna gani unaweza kusema ni kejeli. Soma comment zangu zote, hakuna sehemu nimedharau imani ya mtu.
 
Sijawahi kumsikia Daktari yeyote, akihimiza watu kuishi na njaa wiki au zaidi ya wiki eti ni sehemu tiba, au watu wa mazoezi wakise ukika Siku 90 unakunywa maji kidogo tena usiku unakua na afya acha uwongo.
Tafuta maarifa zaidi katika mitandao na taasisi za utafiti. Asilimia kubwa za kansa zinatokana na masalia ya vyakula kwenye miili ya watu. Vyakula hivi havikumeng'enywa hivyo vinashikamana na seli za kuta za utumbo na kitengeneza injury.

Jiongezee maarifa. Unapofunga muda mrefu inaipa fursa acid inayozalishwa tumboni kuunguza kila mabaki na ndio maana unatakiwa kunywa maji ili hayo mabaki yatoke mwilini. Ukifanya hivi angalau mara moja kwa miezi mitatu upo salama sana kiafya.
 
Mimi langu lilikuwa swali na sioni ni kwa namna gani unaweza kusema ni kejeli. Soma comment zangu zote, hakuna sehemu nimedharau imani ya mtu.
Binti achana na waislamu.

Mda huu kafiri kama wewe ulitakiwa uwe umemkumbatia mumeo unamkatia mauno.

Kuja kusumbua waislamu humu kwa chuki zako hakuwezi kukusaidia lolote katika kuijenga ndoa yako.

Sawa binti?
 
Naona umekurupuka acha kujishtukia kama umetiwa doko. Tupo kwenye mifungo miwili muda huu na mleta mada hajataja mfungo upi. Mnajishtukia na kukasirika bure.

Sijataja pia dini ya mtu hapo

Ila ukisikia yalaaa limekupata

Kinyelo chako
Ndivyo funga ya Muislam ilivyo. Usile mchana kutwa. Nyie mlitaka iweje ndo iwafurahishe?
Sisi hatupo kuwafurahisha nyie makafiri.
Nanyi si huwa mnafunga? Mbona hatuwaoni mkikaa hizo 40 kavu bila kula? Pumbavu
 
Binti achana na waislamu.

Mda huu kafiri kama wewe ulitakiwa uwe umemkumbatia mumeo unamkatia mauno.

Kuja kusumbua waislamu humu kwa chuki zako hakuwezi kukusaidia lolote katika kuijenga ndoa yako.

Sawa binti?
Kwakweli kama na wewe unafanya hicho kinachoitwa kufunga basi hakika unapoteza muda wako tu. Kauli zako zinaonesha hujabadilika na kumtafuta Mungu.
 
Tulia basi dawa ikuingie. Makafiri huwa mada zenu mkiona Ramadhan imeingia ndo mnazileta. Well, kila mtu ana imani yake. Na kila mtu afanye ajuavyo.
Naona umekurupuka acha kujishtukia kama umetiwa doko. Tupo kwenye mifungo miwili muda huu na mleta mada hajataja mfungo upi. Mnajishtukia na kukasirika bure.

Sijataja pia dini ya mtu hapo

Ila ukisikia yalaaa limekupata

Kinyelo chako
 
Kwani hakuna maswali ya kejeli?
Mimi nikikuuliza WEWE UNAJIELEWA?
Hiyo sio kejeli?
Narudi tena FICHA UPUMBAVU WAKO
Natamani ufanye funga hii ya kiafya. Utapata utulivu na utapata hekima hata haya maandishi unayoandika hapa utatamani uyafute.
 
Kwakweli kama na wewe unafanya hicho kinachoitwa kufunga basi hakika unapoteza muda wako tu. Kauli zako zinaonesha hujabadilika na kumtafuta Mungu.
Muda wangu unakuhusu nini wewe kafiri mjaalana.

Kutwa kuabudu sanamu la yule jamaa alovaa kichupi msalabani huko kama si kupoteza muda ni nini?

Narudia tena achana na mambo ya waislamu wewe binti wa kigalatia mda huu ni bora ukamkumbatia mumeo uijenge ndoa yako kuliko kuleta maswali ya kijinga humu.

Sawa binti?
 
Natamani ufanye funga hii ya kiafya. Utapata utulivu na utapata hekima hata haya maandishi unayoandika hapa utatamani uyafute.
Funga ya kiafya si uifunge wewe kwani umekatazwa we binti vipi.

Unalazimisha watu waifuate funga yako as if watu imani zinafanana.

Waislamu wana funga yao na nyie waabudu sanamu mna funga yenu shobo za nini?
 
Muda wangu unakuhusu nini wewe kafiri mjaalana.

Kutwa kuabudu sanamu la yule jamaa alovaa kichupi msalabani huko kama si kupoteza muda ni nini?

Narudia tena achana na mambo ya waislamu wewe binti wa kigalatia mda huu ni bora ukamkumbatia mumeo uijenge ndoa yako kuliko kuleta maswali ya kijinga humu.

Sawa binti?
Leo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?

Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.

Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi
 
Natamani ufanye funga hii ya kiafya. Utapata utulivu na utapata hekima hata haya maandishi unayoandika hapa utatamani uyafute.
Haya sitayafuta. Nakushauri, mimi sitamani, uwe Muislam na huu uzi wote utaomba mods wakusaidie kuufuta.

Kuna kitu unamiss. Religious tolerance. Mimi nikiamua nadeal na watu wa style yako kwa namna ambayo nimedeal na wewe leo.
 
Back
Top Bottom