Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Dah....kasome Kuran sura ya 109(Makafiri) Mstari 1 - 6 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shosti mbona kama unawashwa flani hivi,kuna sehemu nimetaja dini ya mtu au ndo wataka kusema kwaresma ni mali yenu?

Kumbe umepigwa mimba kitulize ujifungue salama mkuu
Binti kwani kuna shida gani watu wakifunga kwa mujibu wa imani yao?

Au una chuki na waislamu.

Kama kuna shababi wa kiislamu akikupiga mimba akakutelekeza sema tukusaidie uache kuchukia waislamu na uislamu.
 
Kilichokuwasha kuniquote nini nami natumia bundle langu. Punguza genye pasipokuhusu,unakurupuka kuita makafiri wakati bado umeng'ang'ania kwenye ubunifu wao. Tafuta jukwaa la wasio makafiri utoe povu
Kama waliobuni ni makafiri wataendelea kuwa makafiri. This is not yours na wala si wewe. Kama na wewe ni kafiri......yes endelea kuwa kafiri. The choice is yours.
Usinipangie wa kumquote. Natumia bundle langu.
 
Ni risk sana kuamini manipulations walizofanya Waroma na wenzao kwa kuchukua injili ya Yesu na kuongezea vya kwao na kusema hivi ndio sahihi. Biblia si katika injili halisi ya Yesu. Yesu hakufundisha utatu popote. Alihubiri ibada ya Mungu 1 pekee asiye na mshirika. Ukafanyika upotoshaji mkubwa sana na leo watu wanaamini na wanafata. Mmoja wapo ni wewe.
Tusitoke nje ya mada hadi ukaja kufahamu kwamba Vatican ndio original manuscript za uislamu zilipo maana ilikuwa ni mradi waliyoianzisha ili kuua ukristo lakini haukufanikiwa.

Nenda mtandaoni utajisomea.

Mada yetu haihusu dini hivyo tuache haya mengine tujikite kwenye mada.
 
Wazo la makafiri then what?
We unatumia bundle lako nami natumia langu. Au unadhani wewe kuna faida unapata zaidi hapa?
Apate faida wapi kabinti kachafu ka mwili mpaka akili.

Asikusumbue huyo ana chuki sana na waislamu.

Nna uhakika kuna shababi wa kiislamu alikapiga mimba aka kabinti then akakatelekeza.

Hasira zake anakuja kumalizia kwa uislamu na waislamu.
 
Waislamu,Wana kitabu chao,kinaitwa Qur'an,ndio muongozo wao,ndio wanaoufuata,na maelekezo kutoka kwa Mtume Muhammad,ambaye ndiye Mtume na Nabii wao.Na sio kwa maneno matupu,ni maandiko.
 
Pole shostie usilie sana ndo maisha hayo vumilia hio mimba itakomaa ujifungue salama na bundle lako
Kama waliobuni ni makafiri wataendelea kuwa makafiri. This is not yours na wala si wewe. Kama na wewe ni kafiri......yes endelea kuwa kafiri. The choice is yours.
Usinipangie wa kumquote. Natumia bundle langu.
 
Daah kumbe mna mimba ,wamama acheni hasira kuleni ndimu zinapunguza kichefuchefu
Apate faida wapi kabinti kachafu ka mwili mpaka akili.

Asikusumbue huyo ana chuki sana na waislamu.

Nna uhakika kuna shababi wa kiislamu alikapiga mimba aka kabinti then akakatelekeza.

Hasira zake anakuja kumalizia kwa uislamu na waislamu.
 
Tusitoke nje ya mada hadi ukaja kufahamu kwamba Vatican ndio original manuscript za uislamu zilipo maana ilikuwa ni mradi waliyoianzisha ili kuua ukristo lakini haukufanikiwa.

Nenda mtandaoni utajisomea.

Mada yetu haihusu dini hivyo tuache haya mengine tujikite kwenye mada.
Vatican wauwe ukristo wakati ndipo makao makuu ya ukafiri mkuu (Roman Church) ilipo. Hizo ni myths kwamba Uislam uliundwa Vatican. Nazijua.
 
Hakuna sehemu kataja dini ya mtu. Ukiangalia kwaresma hawafungi anavyosema au kushauri mleta mada ila wale wanaoishi kwa kujishtukia wamepanic.

Kumbuka wanaofunga kwaresma jumapili hawafungi kula ni full misosi
Najaribu kutafuta point ya hii thread lakini sijaipata. zaidi naona watu wanakuwa offended.
Means bila shaka kuna kitu hakipo sawa.
 
Pole shostie usilie sana ndo maisha hayo vumilia hio mimba itakomaa ujifungue salama na bundle lako
Dada, mimi kejeli hazinitwezi utu wangu. Niite vyovyote utakavyo kama ndio unaona inakupa relief.
 
Yesu alisema tumfuate yeye hivyo tunafuata alivyoishi.
Mbona alikuwa akivyaa kanzu,na kufuga ndevu,hamufuati.Na alikuwa akisujudu mpaka chini ya ardhi,na kiweka paja lake la uso.Na alizikwa na sanda(shuka),hakuvalishwa suti,mbona mwavalishana suti,kama mwamfuata yeye.Na hakuzikwa na sanduku,nyinyi mwazikana na masanduku.
 
Hii mada haihusiani na mambo ya kidini.
Hii hapa isome vizuri. Uelewe. Kafiri mkubwa wewe

Screenshot_20220405-214954~2.png
 
Mleta mada kaweka funga ya walokole na sio funga ya wakristo baadhi ya madhehebu wala waislamu ila sababu kaleta uzi muda huu ndo maana anasomeka kadhihaki dini fulani
Waislamu,Wana kitabu chao,kinaitwa Qur'an,ndio muongozo wao,ndio wanaoufuata,na maelekezo kutoka kwa Mtume Muhammad,ambaye ndiye Mtume na Nabii wao.Na sio kwa maneno matupu,ni maandiko.
 
Shosti mbona kama unawashwa flani hivi,kuna sehemu nimetaja dini ya mtu au ndo wataka kusema kwaresma ni mali yenu?

Kumbe umepigwa mimba kitulize ujifungue salama mkuu
Teeh teeh kabinti kachafu ka akili mpaka mwili kama wewe naona mpaka kinyaa nkisoma uchafu wako unaoandika.

Hauna tofauti na ule unakutokaga kila mwezi uko chini.

Mabinti wenzio wasafi wa akili na mwili sa hizi wamekumbatia waume zao wanaburudika we mwanzo mwisho kudandia mada za uislamu na waislamu.

Binti tafuta liwazo hata kama muislamu alikukimbia baada ya kukupiga mimba usifuge chuki kwa waislmu wote sawa kabinti kachafuchafu?
 
Vatican wauwe ukristo wakati ndipo makao makuu ya ukafiri mkuu (Roman Church) ilipo. Hizo ni myths kwamba Uislam uliundwa Vatican. Nazijua.
Ufahamu wako kuhusu ukristo ni mdogo sana. Tafuta maandiko ya historia ya kanisa utaona kuwa Vatican haikuwa na ukristo wowote kwa mujibu wa biblia. Walikuwa na imani yao. Unajua papa katika miaka ya nyuma aliua sana wakristo?
 
Shosti jamani usilie ndo ukubwa huo vumilia hio mimba
Teeh teeh kabinti kachafu ka akili mpaka mwili kama wewe naona mpaka kinyaa nkisoma uchafu wako unaoandika.

Hauna tofauti na ule unakutokaga kila mwezi uko chini.

Mabinti wenzio wasafi wa akili na mwili sa hizi wamekumbatia waume zao wanaburudika we mwanzo mwisho kudandia mada za uislamu na waislamu.

Binti tafuta liwazo hata kama muislamu alikukimbia baada ya kukupiga mimba usifuge chuki kwa waislmu wote sawa kabinti kachafuchafu?
 
Back
Top Bottom