Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
-
- #221
Maoni yako yanaheshimiwa maana ni mali yako.Mtu anasema watafute neno jingine , utadhani hio funga walijatafutia
Naona unajibu watu kuwa hawaelewi maana ya Funga , bila kuelewa ya kwamba wewe ndiye huelewi
Binti mimba ya uzeeni alipigwa mama ako ukazaliwa wewe takataka unayejiita numbisa.Kumbe ndo mimba ya uzeeni pole uliringa sana ujanani now upo macho unavizia daku kwa wenye waume zao daah inasikitisha sana
Hahahaha.....okay my love. Be happy then.Ufahamu wako kuhusu ukristo ni mdogo sana. Tafuta maandiko ya historia ya kanisa utaona kuwa Vatican haikuwa na ukristo wowote kwa mujibu wa biblia. Walikuwa na imani yao. Unajua papa katika miaka ya nyuma aliua sana wakristo?
Hizi lugha sio za staha na zinaharibu mada yetu. Hii ndio sababu mimi naona kidini hii kukaa njaa mchana halafu ule usiku haina manufaa.Well, are you happy now?
Hebu mwambie mmeo akutie kimoko ulale kwanza. Ironically unaonesha umemiss kutiwa. Tell your bf by your side to do you a favor. It's not bad.
Kufunga ni jambo la dini au sio la dini?Hii mada sio ya kidini. Umeitafsiri vibaya.
Naelewa hilo na ni jambo ambalo lipo kiafya na kisayansi zaidi.Point ya mada ni kuwa kiafya ukifunga kuanzia siku saba inausafisha mwili na kuboresha afya yako. Sumu zote zinatolewa mwilini.
Watu wa dini mbalimbali wanafanya kufunga kwa aina mbalimbali na hiyo haifanyi kufunga kuwe jambo la kiimani pekee. Kuna sababu nyingi za kufunga na aina mbalimbali za mifungo. Kiafya siku saba ni bora.Kufunga ni jambo la dini au sio la dini?
Tukiwaambia makafiri akli zenu ziko matakoni mnakataa.
Sasa huu unaoleta hapa kama sio uzumbukuku ni nini?
Staha unaijua we takataka ya kigalatia mla nyama chafu ya nguruwe.Hizi lugha sio za staha na zinaharibu mada yetu. Hii ndio sababu mimi naona kidini hii kukaa njaa mchana halafu ule usiku haina manufaa.
Ukija hovyo nakurudia hovyo. Wewe uzi wako mbona wa kejeli? Kama unaona sio staha kafie huko kafiri wewe. I didn't tell you anyway.Hizi lugha sio za staha na zinaharibu mada yetu. Hii ndio sababu mimi naona kidini hii kukaa njaa mchana halafu ule usiku haina manufaa.
Binti mimba ya uzeeni alipigwa mama ako ukazaliwa wewe takataka unayejiita numbisa.
Dalili ni kukosa akili.
Si unajua watoto wanaozaliwa uzeeni wengi hawana akili kama wewe.
Wengi wanakuwa na mawazo machafumachafu kama yako.
Wanaofanya kwa namna mbalimbali hasa wale wanaoshinda mchana na njaa halafu wanakula usiku wanakosea sana kiafya. Usiku mtu hapaswi kula chakula kingi hasa kuanzia saa moja jioni.Naelewa hilo na ni jambo ambalo lipo kiafya na kisayansi zaidi.
Kwahiyo point yako unamaanisha wanaofanya tofauti na hapo wanakosea?
How do you know waliofunga ndio wanavyofanya? Are you sure mimi nafunga? I'll deal with you perpendicularly....wewe ikikuuma kashitaki kwa mods. Ban kwangu haijawahi kuwa adhabu na siogopi.Watu wa dini mbalimbali wanafanya kufunga kwa aina mbalimbali na hiyo haifanyi kufunga kuwe jambo la kiimani pekee. Kuna sababu nyingi za kufunga na aina mbalimbali za mifungo. Kiafya siku saba ni bora.
Halafu hivi hauwezi kabisa kuchangia bila kutumia ligha zisizo na staha? Hivi ndio watu waliofunga wanavyofanya?
Well, are you happy now?
Hebu mwambie mmeo akutie kimoko ulale kwanza. Ironically unaonesha umemiss kutiwa. Tell your bf by your side to do you a favor. It's not bad.
Teeh teeh.Watu wa dini mbalimbali wanafanya kufunga kwa aina mbalimbali na hiyo haifanyi kufunga kuwe jambo la kiimani pekee. Kuna sababu nyingi za kufunga na aina mbalimbali za mifungo. Kiafya siku saba ni bora.
Halafu hivi hauwezi kabisa kuchangia bila kutumia ligha zisizo na staha? Hivi ndio watu waliofunga wanavyofanya?
Nalielewa vyema tatizo lako. Fanya ufunge siku saba. Utapata utulivu na hekima.Staha unaijua we takataka ya kigalatia mla nyama chafu ya nguruwe.
Ungekuwa na staha wala usingeleta mada yako ya kuchokoza imani za watu wasiokuhusu.
Unataka usipangiwe cha kuandika lakini uwapangie watu kitu cha kula?Teeh teeh.
We mgalatia na staha wapi na wapi!
Unaanza kunipangia kipi cha kuandika na kipi sio.
Huna mamlaka hayo.
Mimi ntaendelea kukupiga nyundo mpaka akili ikukae sawa we mla nyama chafu ya nguruwe.
Umejishibia nyama yako chafu ukaona uje uchokoze waislamu.
Sisi tutakupiga nyundo hivyohivyo.
Teeh teeh binti kilichonipata ni kukushugulikia mmwagika damu chafu kila mwezi kama wewe na kukukata kidomodomo chako kinachotema uchafu.Maskini pole shosti naona unahadithia yaliyokupata
Ni kupindua tu ratiba ya kula, juu chini, chini juu.Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Maovu muda wowote unatakiwa uache, ila ukifanya uovu mwezi wa Ramadhani ubaya wake unakuwa mkubwa sana na ukifanya wema unalipwa maradufu. Huu ndiyo utaratibu alio uweka Allah kwa waja wake.Uovu kwa nini uache tu pale unapofunga?
Sasa kwanini mnawaonea wivu wanaokula mchana hadi mnapiga marufuku migahawa?Humu kuna wajinga wengi sana huwa nawapuuzia sana hasa Wasio Waislamu hutubeza ya kuwa tunabadilisha muda wa kula.
Sasa nakuuliza maana ya kufunga ni kujizuia kula pekee ? Huu ujinga amewaambia nani ?
Kwetu sisi Waislamu kufunga ni kujizuia kula, kufanya uovu, batili kuanzia alfajiri ya kweli mpaka jua linapo zama. Hii ndiyo maana ya funga kwetu sisi Waislamu.
Sasa unapotushangaa sisi na sisi tunakushangaa wewe kuhusu maana yako batili ya kufunga.