Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Teeh teeh binti mbona una shobo sana.

Yani ujaombwa ushauri unajifanya unatoa ushauri!

Huu ni usomi wa wapi?

Jifunze ku deal na yanayokuhusu.

Nyie mbona mnafakamia nyama za nguruwe na zina madhara kemkem lakini amuachi licha ya kuelezwa ukweli.

Jifunze kudeal na yanayokuhusu.

Ukiwa huna la kufanya kakikumbatie hata kile kisanamu chenu mnachokiabudu uji keep busy.

Sawa binti?



Siyo wote wanakula nyama ya nguruwe!

Wengine hupokea ushauri na kuzitafakari kisha kuona Mbona Kuna vitoweo mbadala vya aina mbali mbali kwanini nilazimike kula nguruwe ambao hata madaktari wa sua wamesema zina minyoo hatari?!

Ingawa wanaokula wengine wana sababu zao pia!

Lakini watakwambia wachina wanakula nguruwe na wachina hufanya tafiti za kisayansi kwanza.

Sema wachina anakula nguruwe halafu anakula mitishwmba ya ku-regulate isimzuru mwili.

Sisi waelewa hata ulete challenge za vipi huwa tunazipokea, tunachukua muda kutafakali na kuona kama kuna mantiki au tuachane nazo bila kumhukumu yule anayezileta hizo challenges au ushauri.

Na hiyo Ndiyo huitwa maturity in psychology [emoji108][emoji108]

Wewe lete ushauri juu ya jambo lolote lile kuhusiana na mada itakayokuwepo, challenge it kadiri uwezavyo, wenye mtazamo chanya tutaisoma, tutatafakali, tutapima kuona kama inafaa kama haifai tunaachana nayo bila kumshambulia mtu yule aloleta binafsi.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Kwani kufunga ni kufanyaje Mwinjilisti?
 
Ni namna bora kwa tafiti za kiafya.

Mimi sipingani na mafundisho ya imani yoyote.
"Namna Bora kwa tafiti za kifya" how?

Kujinyima kula siku Saba? ,kukusaidia elimu ya afya mwili hauitaji kukalishwa na njaa kipindi kirefu hili upate afya ,kama unataka afya kula vizuri na ufanya mazoezi .

Ok! labda ndio maana na dhumuni lenu la kufunga ,kama ni hivyo sisi hatuna shida tunaheshimu utaratibu wa dini yenu .
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Sio jioni tu ni usiku hadi kucha
 
Mpaka ramadhani ifike tamati tutaona nyuzi nyingi hapa jukwaan,kila mtu abaki na imani yake
 
Angalia Kamusi ya Kiswahili Sanifu.
Screenshot_20220406-162316_1.jpg
 
Mbona Kwaresma zinapita Bila kukashifiana ila funga za wenzenu Spana mkononi
Hakuna Muislam anehoji ufungaji wa kwaresma, au watu kupigana viboko makanisani, Tunajua imani zenu zinawaelekeza hivyo.
Shida ni pale anapofanya la kwake mitandao kila siku mada mpya.
 
Regarded by whom? Kwani usiporegard ugali kuwa chakula kunaufanya ugali usiwe chakula?
It's a matter of different perspectives and perceptions.
Binadamu anaishi kwa hivyo vitu viwili ili kupata maana nzima ya maisha.

No one knows kuhusu kulala njaa usiku ni "kufunga." hakuna makubaliano hayo na hakuna makubaliano ya mtu mmoja.
No one knows about it so that's up to you.
 
Back
Top Bottom