inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ukiw Kama Nani ewe mpagani!!?Nimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiw Kama Nani ewe mpagani!!?Nimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
We umetokea ukoo wa makafiri ndio maana umekuwa kafiri. Ukoo wangu hauna kafiri.Kafiri ni wewe na ukoo wako. Kawaulize Zenji bhanaa
wanajidanganya sanaNdio maana mimi nashangaa mtu akisema ati amefunga wakati kila usiku anakula.
Nimesoma post hii yote na comment zako ulizokua unawajibu watu nimegundua kuwa wewe huna elimu ya maana ya funga kwa waislamu.Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Nimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
Sasa tofauti ya wanaofunga usiku na wanaofunga mchana ni ipi? Mbona hawa wa mchsna mbwembwe nyingi?!It's a matter of different perspectives and perceptions.
Binadamu anaishi kwa hivyo vitu viwili ili kupata maana nzima ya maisha.
No one knows kuhusu kulala njaa usiku ni "kufunga." hakuna makubaliano hayo na hakuna makubaliano ya mtu mmoja.
No one knows about it so that's up to you.
Wewe ndio kafiri na ukoo wakoWe umetokea ukoo wa makafiri ndio maana umekuwa kafiri. Ukoo wangu hauna kafiri.
Itoshe tu kusema hujui maana ya kufungaNimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
Ukiona hivyo ujue kuna shida pahala..kama ile ripoti ya profesa mayele..na swaga zake za mavi na mikojo ya ng'ombe.Wakifunga waislam tabu kweli walivyoanza wengine kwaresma nyuzi kama hizi hazikuepo
Kama haujagundua mtoa mada kawalenga watu gani basi either una mtetea mtoa mada na unakubaliana nae.Sijaona mahali mtoa mada kataja dini yoyote ila nashangaa kuna watu wamepanik utadhani ni wao peke yao ndio wanaofanya hicho kitendo hapa duniani.Mtoa mada katoa mawazo yake kwasababu ukweli ni kwamba watu wote wanaofanya icho kitendo mchana usiku huwa wanakula kwahiyo inakua haina tofauti na jinsi ambavyo kikawaida huwa tunakula mchana alafu usiku hatuli.ndo maana anaona nisawa na kubadilisha tu ratiba ya kula.Kwa hali hiyo hata ukikiweka hicho kitendo kwa minajili ya aidha afya au dini bado unaona kuna kitu hakijakaa sawa kwasababu mambo bado yanabaki kua vile vile ni muda tu ndio unaobadilika.
Mada kama hizi zinakuja kila Ramadan ikiingia ,kama haujagundua kawalenga nani nikupe pole ubongo wako una hitilafu ya kutafsiri taarifaNaona umekurupuka acha kujishtukia kama umetiwa doko. Tupo kwenye mifungo miwili muda huu na mleta mada hajataja mfungo upi. Mnajishtukia na kukasirika bure.
Sijataja pia dini ya mtu hapo
Ila ukisikia yalaaa limekupata
Kinyelo chako
Alisoma kwa nani ?Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo
Mada kama hizi zinakuja kila Ramadan ikiingia ,kama haujagundua kawalenga nani nikupe pole ubongo wako una hitilafu ya kutafsiri taarifa
Hawa ni wasanii tu, masheikh kibao huko mitaani wanafakamia nguruwe, chakula kitakatifu.Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Simple sababu wanaofunga mchana ndio wanaojulikana kwamba wao wanafunga.Sasa tofauti ya wanaofunga usiku na wanaofunga mchana ni ipi? Mbona hawa wa mchsna mbwembwe nyingi?!
Hawa wanaofunga mchana wana matatizo sana. Wanakula daku alfajiri halafu ikifika saa tisa mchana wanataka tena huku maofisini watoke eti wakaandae futariSimple sababu wanaofunga mchana ndio wanaojulikana kwamba wao wanafunga.
Hivyo ndivyo inavyojulikana globally, ukikataa na kupinga means unajua lakini unafanya on purpose.
Kisa huujui ugali kama ni chakula inafanya ugali usiwe chakula? Kufunga ni utaratibu wa maisha, na kiasili binadamu wengi tu hufunga kila siku, shida ni pale ratiba ya kufunga inapopinduliwa miguu juu nankichwa chini tena kwa mbwembwe, hiyo ni mbaya sana kiafya, maana usiku mtu hupaswi kula sana maana unaenda kulala. Tujali afya zetu.Simple sababu wanaofunga mchana ndio wanaojulikana kwamba wao wanafunga.
Hivyo ndivyo inavyojulikana globally, ukikataa na kupinga means unajua lakini unafanya on purpose.
Unajua maana ya jina hilo???!🙄🙄🙄 google ujifunze kuandika kiazi wewe, nikuambie tu mimi ni basha mzuri sana kwa watu kama wewe nikimaliza yangu nafunga na kijiti kabisaaaMtu unajiita choko.
Teeh teeh ushoga nje nje.
Kaa kwakutulia matako wewe tafuta maana ya jina hilo 🖕🖕🖕Wewe inakuhusu nini choko.
Basha unajiita choko.Unajua maana ya jina hilo???!🙄🙄🙄 google ujifunze kuandika kiazi wewe, nikuambie tu mimi ni basha mzuri sana kwa watu kama wewe nikimaliza yangu nafunga na kijiti kabisaaa