Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

Kwani nani kakwambia watu wanavimbiwa?
unajua mafundisho ya Uislamu au umekazia iyo point yko tuu?

Kwaresma mnafunga mchana au usiku?
Mnageuza usiku kuwa mchana na mchana kuwa usiku
Embu jiulize mnafunga alafu ndio mnaongezeka uzito na unene kipindi hichi, kuna watu mpaka wanaenda kukopa pesa ili wale vizuri,

ivi kipindi ichi Mutah inaruhusiwa au na yenyewe mnafunga kuifanya?
 
Kwani nani kakwambia watu wanavimbiwa?
unajua mafundisho ya Uislamu au umekazia iyo point yko tuu?

Kwaresma mnafunga mchana au usiku?
Mimi nafunga kila siku usiku, mchana ndio nakula. sina dini. Mwili wa binadamu kiasili umetengenezwa kufunga usiku, sasa mnapopindua ratiba ya kufunga mkaanza kufunga mchana badala ya usiku kama binadamu wengine wote wafanyavyo means unaupa mwili chakula wakati mwili upo inactive, hii ina madhara sana kiafya, hata kama huvimbiwi
 
Mimi nafunga kila siku usiku, mchana ndio nakula. sina dini. Mwili wa binadamu kiasili umetengenezwa kufunga usiku, sasa mnapopindua ratiba ya kufunga mkaanza kufunga mchana badala ya usiku kama binadamu wengine wote wafanyavyo means unaupa mwili chakula wakati mwili upo inactive, hii ina madhara sana kiafya, hata kama huvimbiwi
usiseme huna dini ayo maisha unoishi ndo dini yako

basi wacha sisi tufuate kile ambacho Muumba wa mbingu na Ardhi alichotuamrisha sio ww unaefuata matamanio yako
 
Mimi nafunga kila siku usiku, mchana ndio nakula. sina dini. Mwili wa binadamu kiasili umetengenezwa kufunga usiku, sasa mnapopindua ratiba ya kufunga mkaanza kufunga mchana badala ya usiku kama binadamu wengine wote wafanyavyo means unaupa mwili chakula wakati mwili upo inactive, hii ina madhara sana kiafya, hata kama huvimbiwi
Madhara hayo wangeypta toka mababu zetu walokua wakifunga

kwani Ramadhani imeanza leo?
 
usiseme huna dini ayo maisha unoishi ndo dini yako

basi wacha sisi tufuate kile ambacho Muumba wa mbingu na Ardhi alichotuamrisha sio ww unaefuata matamanio yako
Mimi sijasema kwamba hamjaamrishwa, maana aliyewaamrisha nyie ndie mnamjua, ila ninachosema ni kwamba, kupindua ratiba ya asili ya kufunga na mkaanza kufunga mchana badala ya usiku kama ilivyo ada ni hatari kwa afya. Ni kama mtu kuingiliwa kinyume, inakuwa ni kinyume na uumbaji wa asili wa maumbile ya mtu, ndio maana inakuwa na madhara.
 
Nenda kajifunze maana ya maneno kwanza. Wivu siyo husda.

Na wewe unae kula unatakiwa uheshimu jambo la mwenzako. Hapa kuna vitu mnachanganya na mnakuja kuongelea mambo kihisia.

Mathalani nchi kama Zanzibar ni sahihi kufanya maamuzi yale sababu wao kule zaidi ya asilimia 80 ni Waislamu hata huku Bara pia. Ustaarabu ni wewe kuheshimu imani ya mwenzako hasa ukijua. Kwanini ule mbele ya mwenzako na unajua amefunga ?
Mbeya, Mwanza, Moshi huko wakristo ni 80% lakini mwezi wa kwaresma kila mtu yuko huru hakuna makatazo ya watu kula katika hicho kipindi

Kwani mtu akila mbele yako inaharibu funga yako?

Kiukweli moja ya sababu ambayo inanifanya niwaone waislamu wengi ni weak sana ndio hii.


Napenda kutumia mfano wa watoto ambao umri wao hauruhusiwi kufunga, hao watoto wanapikiwa na nani katika hicho kipindi cha mfungo?

Unawezaje kuwapikia chakula watoto wako ambao hawajafikia umri wa kufunga ukiwa wewe umefunga na ukaweza kujizuia usitamani halafu ukashindwa kujiuzuia pindi umuonapo mtu mzima akila mtaani?

Au hiyo futari ambayo mnafuturu saa 12, mara nyingi huwa inaandaliwa mapema kabla ya muda wa kufuturu haujafika. Kwamba huwa inaandaliwa na watu ambao hawajafunga ili kusudi watu waliofunga wakipika wasipate tamaa?

Ni hao hao waliofunga ndio wanaopika lakini hapa unaweza kujiuliza wanawezaje kuzuia hiyo ashki ya kutamani kula?
 
Mbeya, Mwanza, Moshi huko wakristo ni 80% lakini mwezi wa kwaresma kila mtu yuko huru hakuna makatazo ya watu kula katika hicho kipindi

Kwani mtu akila mbele yako inaharibu funga yako?

Kiukweli moja ya sababu ambayo inanifanya niwaone waislamu wengi ni weak sana ndio hii.


Napenda kutumia mfano wa watoto ambao umri wao hauruhusiwi kufunga, hao watoto wanapikiwa na nani katika hicho kipindi cha mfungo?

Unawezaje kuwapikia chakula watoto wako ambao hawajafikia umri wa kufunga ukiwa wewe umefunga na ukaweza kujizuia usitamani halafu ukashindwa kujiuzuia pindi umuonapo mtu mzima akila mtaani?

Au hiyo futari ambayo mnafuturu saa 12, mara nyingi huwa inaandaliwa mapema kabla ya muda wa kufuturu haujafika. Kwamba huwa inaandaliwa na watu ambao hawajafunga ili kusudi watu waliofunga wakipika wasipate tamaa?

Ni hao hao waliofunga ndio wanaopika lakini hapa unaweza kujiuliza wanawezaje kuzuia hiyo ashki ya kutamani kula?
Poa.
 
Madhara hayo wangeypta toka mababu zetu walokua wakifunga

kwani Ramadhani imeanza leo?
We aliyekuambia hawakupata madhara ni nani? Uliwapima lini ukagundua hawakupata madhara? We hushangai ma-Alhajj wanaofunga funga kinyume na utaratibu wanakuwa na viriba tumbo? Hushangai? Yaani mtu anafunga akija kupima uzito mwisho wa mwezi kaongezeka kilo 20, hamshangai??!!!
 
Madhara hayo wangeypta toka mababu zetu walokua wakifunga

kwani Ramadhani imeanza leo?


Kwani wengi wetu tunaishi kwenye mifumo ya maisha walokuwa wanaishi babu zetu?

Babu alikuwa anaishi kwa kutembea kwa miguu kwenda shambani na kurudi kila siku kilometers nyingi,

Mababu wamekua wakitembea kwa miguu mwendo wa mbali kila walipokwenda kwenye life styles zao bila gari wala bodaboda,

Je Mimi na wewe Leo tunayafanya hayo?

Sasa vipi yule ambao akitoka nyumbani anapanda gari kila anapoenda kwa Gari au pikipiki?

Bado sijagusia life styles zao nyingine interms of chakula n.k

Tafakari.
 
Salamu kwenu

Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.

Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.

Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.

Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Aiseee
 
Funga ina tafsiiri nyingi sana.

Katika kiarabu neno funga lina maana ya KUJIZUIA.

Sasa mtu anaweza akaseema mimi najizuia kula ugali mwezi mzima ila vyakula vingine anakula na akasema amefunga bado yupo sahihi kwa sababu anaingia katika tafsiri ya funga yenye maana ya kujizuia.

Sasa unajjizuia na nini ? Hapo inabaki tafsiri ya mtu husika

Tafsiri yetu sisi waislamu ya kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuingilia kimwili wakati wa mchana,sijui watu munababaika wapi.

Hata wewe mtoa mada unaweza ukaanzisha dini yako ukasema dini yetu kila januari tutajizuia kuingia jamii forum hiyo ndio itakuwa funga yetu kwenye dini hiyo.

Utakuwa upo sahihi kwa mtazamo wako na wala hakuna atakayekupinga kwa sababu neno funga au kujizuia ni pana.

Na kwamba unafunga au kujizuia na nini hapo ndio wataachiwa wahusika wa jambo husika watoe tafsiri yao.

Kwa hivyo mtoa mada ndugu yangu hiyo ndio tafsiri yetu sisi ya maana ya funga.

Usitake kuturekebisha kwamba tutumie jina lingine wakati hakuna pahala tumekubaliana kwwmba kufunga maana yake ni kadhaa wa kadhaa..

Na ndio maana waislamu huwa tunasema uislamu ni dini nyepesi sana kwa mambo kama haya.

Ukifikiria ni kweli yaani kama hii funga mimi nabadilisha ratiba ya kula tu kama alivyosema mtoa mada lakini Mungu ananihesabu nafanya ibada na ananipa thawabu,ama kweli heri ni nyingi katika uislamu.

Ndio maana mtume akasema "umma wangu utaingia peponi isipokuwa mtu atakayekataa mwenyewe.."

Yaani kama hii funga mtu eti hataki kufunga wakati ni kubadilisha ratiba ya kula tu na unajipatia thawabu ila mtu hataki,si kukataa mwenyewe kuingia peponi jamani.
😍
 
Mbeya, Mwanza, Moshi huko wakristo ni 80% lakini mwezi wa kwaresma kila mtu yuko huru hakuna makatazo ya watu kula katika hicho kipindi

Kwani mtu akila mbele yako inaharibu funga yako?

Kiukweli moja ya sababu ambayo inanifanya niwaone waislamu wengi ni weak sana ndio hii.


Napenda kutumia mfano wa watoto ambao umri wao hauruhusiwi kufunga, hao watoto wanapikiwa na nani katika hicho kipindi cha mfungo?

Unawezaje kuwapikia chakula watoto wako ambao hawajafikia umri wa kufunga ukiwa wewe umefunga na ukaweza kujizuia usitamani halafu ukashindwa kujiuzuia pindi umuonapo mtu mzima akila mtaani?

Au hiyo futari ambayo mnafuturu saa 12, mara nyingi huwa inaandaliwa mapema kabla ya muda wa kufuturu haujafika. Kwamba huwa inaandaliwa na watu ambao hawajafunga ili kusudi watu waliofunga wakipika wasipate tamaa?

Ni hao hao waliofunga ndio wanaopika lakini hapa unaweza kujiuliza wanawezaje kuzuia hiyo ashki ya kutamani kula?
Hapa umeongea asali tupu! Wanaopika futari huwa wamefunga, mbona hawatamani? Iweje mtu ale mgahawani halafu utamani? Doesn’t make sense
 
 
40 days bila kula ulikuwa mpango wa Shetani kwa Yesu.Na Shetani alimpeleka Yesu katika mambo yake mbalimbali.
Kama ulikuwa mpango wa Mungu Yesu afunge 40 days bila kula basi ilipaswa ufungaji huo uendelee miaka yake yote,lakini alifanya hivyo mara moja katika maisha yake yote.
Aliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda kufunga. Soma maandiko vizuri.

Umejuaje kwamba hakufunga tena siku arobaini? Biblia inasema si kila alichofanya Yesu kiliandikwa.
 
Back
Top Bottom