Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 666
- 1,255
- Thread starter
- #501
Ule msimu wao umewadia tena.Sio siku ni masaa, sababu unapiga ugali ama wali ama magimbi ama viazi miogo saa kumi alfajiri mchana kutwa umeshiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule msimu wao umewadia tena.Sio siku ni masaa, sababu unapiga ugali ama wali ama magimbi ama viazi miogo saa kumi alfajiri mchana kutwa umeshiba.
[emoji2][emoji2][emoji2] asee!!!Maji ya Nini brother...?? Me nawajua watu wanafunga 40 kavu bila kula kitu we unasema maji... Bado hujui kufunga na wewe tafuta neno jingine...
Kufunga maanake nini?Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Kwani kufunga maanake nn?jibu kwa kutumia biblia kichwa chako akitaweza kwa sababu kimejaa makamasiNimependekeza wasitumie neo kufunga maana wanachofanya sio kufunga.
Ndivio unavio danganywa na wakina miujizaMaji ya Nini brother...?? Me nawajua watu wanafunga 40 kavu bila kula kitu we unasema maji... Bado hujui kufunga na wewe tafuta neno jingine...
Wewe unae jua maana ya funga hasa kwa waisilamu tililika tuone tupate fwaidaKwamba siku zingine hamjiepushi na uovu? Sasa swala tano zinakuwa za kazi gani kila siku.
Mnaita kufunga kimsingi kwasababu hamli mchana na ndio mimi nimetoa changamoto kwamba huko sio kufunga.
Halafu jinsi unavyojibu hapa inaonesha namna gani hauelewi maana ya kufunga.
Wakina miujiza ndio wanajita kufunga bila kula wanaishia kupelekwa mochwariWala huwezi kufa dada. Jaribu siku moja na utakuwa na afya tele. Mwili utaondoa sumu zote.
Sasa na huyo anafungaje wkt anakunywa maji ndo unasemaje umefungaSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Tatizo lako ukiulizwa unakimbia, nini maana ya kufunga hasa waisilamu?Wanaweza kubuni lolote zuri. Mfano: mabadiliko ya ratiba ya kula.
Unafunga kula mchana na kunywa na kukutana mchana baba na mama hayo mengine ambayo ujua kuwa ni dhambi siku zote hayaruhusiwiKumbe ni kujizuia maovu kwa masaa, OK.
Cheki picha hapa chini utajufunza kituSalamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Dhambi kila siku ni Katazo ila ukitenda mwezi huu unakuwa sawa naalieenda kuvutia banghe polisi tunajizuia na kula kunywa kujamiana na mke wa ndoa mchana mpaka jua linapo zama hapo yaliyo fungwa mchana usiku ya akuwa halaliSawa mkuu, kwahiyo mnajizuia na dhambi na chakula kwa muda kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Kweli mkuu jibu la kafiri ni kumyamazia tuMkuu hakuna wasichoelewa hao jamaa...
Hapa linatengenezwa daraja tu la watu kutema kebehi na chuki zao!.
Na hii imekuwa ni desturi kila ifikipo kipindi cha mwezi mtukufu mijadala ya namna hii kujirudia.
Hapa utamaliza maarifa yako yote kuelezea jambo hili kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka lakini utaishia kujibiwa kwa kejeli tu.
Hata hii post yako angalia huyo mleta mada alichokujibu hapo juu.
Maneno ya kafiri tangu zama ni machafu ila hayanaga madharakuna kifunga mpaka jimai mkuu Ila kama ni msosi tunapigwa maana wanakesha wakila misosi mizuri mizuri
Dini ni 1 uisilamu ndio unayo kusudia bila shaka tumekutapeli nn?Kwahiyo usiku uovu unaruhusiwa ila mambo ya dini ni utapeli kwa ujumla
Hatuwezi kuamini ukirisito sababu kuanzisha Paulo baada ya yesu kuondoka pia Paulo alikuwa khanithi pia alia wanafunzi wengi wa yesu ndio maana alienda kuanzishia ukirito huo antiokia baada ya kuchukua mila za mipakani na kutunga anachanganya sehemu 1 na kuita ukirito,Muhammad ajaanzisha uisilamu kama unaa diko lete mwaka alipoanzisha uisilamuLeo akija mtu na kukwambia amepata maono kwamba uhuru wa Tanganyika ulikuwa June 5 mwaka 1957 na kwamba raisi wa kwanza wa Tanganyika alikuwa Rashidi Kawawa utakubali?
Hii ni exactly alichofanya Muhammad, zaidi miaka 600 baada ya Yesu yeye akaja na kuleta habari aliyoiita mpya (ingawa alisoma maandiko ambayo tayari yalikuwepo) na akaanzisha dini halafu kuna watu mpaka leo wanaamini stori yake kuliko yale maandiko ya wanafunzi wa Yesu waliokuwa mashahidi ya yote yaliyotokea.
Ni risk kubwa sana kuamini mtu mmoja against mamia ya mashahidi.
Dini ni utapeliDini ni 1 uisilamu ndio unayo kusudia bila shaka tumekutapeli nn?