Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Unajua sisi wanaume watu wa tamaa wakati mwingine tunataka tu tule mbususu tusepe. Mambo yasiwe mengi.Wewe tatizo lako unapenda sana zile za papo kwa papo shauri yako utabeba makapi wewee
Maneno kidogo........."Huyu niliyenae kwa sasa ni mtu sahihi sana kwangu. Hata yeye ameshaniahidi kuwa atakuwa wa mwisho kwangu nami nimemuahidi nitakuwa wa mwisho kwake."
Ukijibiwa hivi budah utatumia maneno gani kumshawishi mpaka abadili msimano wake?
Kwa kuongezea tu mahusiano imara hufanya ke atoe kauli hiyoKuna mambo haya ukikosea tu utaambiwa hivyo;
1. Vijana mna pupa ukiona binti mrembo papo hapo unaanza tongoza.
2. Uko rafu hauko smart so hajakuelewa amekuwekea ukuta.
3. Amekuona kapuro...wanawake wanaona mbali sana, wewe unawaza mbusu...yeye anapiga hesabu za kuwezeshwa.
Dawa ya hili;
1. Jenga urafiiki/ ukaribu naye ili akuelewe.
Binti akikuelewa huwa anaanza kuishiwa nguvu kwako.
Kazi yako utamalizia kilaini.
2. Acha kutongoza tongoza haraka haraka....sio kila mwanamke anapenda ujinga huu, onyesha kumheshimu na kumjali kwanza.
Nakadori ongezea hunaga uchoyo wa mbinu
Kapeace pita huku
sophy27 sema neno
Kuna kizuri rahisi? Au mrembo bomu?Achana nae tafuta mzuri zaidi yake, alafu furahia maisha
😀😀😀Ilo nalo ni la kuombaNaomba tuwe marafiki.
Umenishinda lkn🤣😀😀😀Ilo nalo ni la kuomba
Shida ya vijana wa jf ni rafikizake rikiboy😂😂
ni kweli asiwe na pupa kutongoza, ila urafiki 😳 ?Kuna mambo haya ukikosea tu utaambiwa hivyo;
1. Vijana mna pupa ukiona binti mrembo papo hapo unaanza tongoza.
2. Uko rafu hauko smart so hajakuelewa amekuwekea ukuta.
3. Amekuona kapuro...wanawake wanaona mbali sana, wewe unawaza mbusu...yeye anapiga hesabu za kuwezeshwa.
Dawa ya hili;
1. Jenga urafiiki/ ukaribu naye ili akuelewe.
Binti akikuelewa huwa anaanza kuishiwa nguvu kwako.
Kazi yako utamalizia kilaini.
2. Acha kutongoza tongoza haraka haraka....sio kila mwanamke anapenda ujinga huu, onyesha kumheshimu na kumjali kwanza.
Nakadori ongezea hunaga uchoyo wa mbinu
Kapeace pita huku
sophy27 sema neno
Kama umeenda naye vizuri alafu akakuambia ivo, aitha;Natumai mu wazima sana,
Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'?
Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
😂😂😂Umenishinda lkn🤣
Watu wengi wanadhani ukiwa na hela ndio utapata mwanamke yoyote. Hawaamini kuna wanawake hawababaiki na hela.
Ukamkubalia au ukampa cha mbavu??Niliwahi pewa jibu kama hili nilichoka[emoji3][emoji3][emoji3]
Hajui kuoga au vipi??..ebwana eee nina mwanangu ana mpunga sana ila watoto wana mchomolea fyuzi mnoo
Ilibidi nibrock namba yake cha mbavu kilimhusu.Ukamkubalia au ukampa cha mbavu??