Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Wakati mwingine angalia jinsi unavyojibu hasa Jinsi tofauti na yako. Umemnyanyasa ephen_ siamini unavyojitweza nyuma ya keyboard ni sawa na uhalisia wako!
 
Kwa tunapoelekea, hata specialist wataanza kulipwa upuuzi very soon. Washaanza kuwa wengi, Gyne, pediatricians, surgeons wamejazana madarasani kibao, in 5 years tutakuwa na floods of them. Btw, hata specialists serikalini hawana mshahara wa kutisha hivyo. Wengi bila kujiongeza na private clinics, malalamiko yatakuwa makubwa.
 
Wakati mwingine angalia jinsi unavyojibu hasa Jinsi tofauti na yako. Umemnyanyasa ephen_ siamini unavyojitweza nyuma ya keyboard ni sawa na uhalisia wako!
Ndugu yangu narumuk ,sio jukumu langu kukufanya uamin kile nisemacho kwa maana hata ukiamini haiwez kukufaa kitu.
Uhalisia wa maisha yangu kama ni kwel au uongo wala hata si jambo la msingi hapa ndio maana hujaona mtu yeyote akilipa headline hil. Kwahiyo nikushauri kwa upendo tu pambana na insecurities zako.

ephen_ Hajanyanyasika popote, mdogo angu huyu is a strong person. Ondoa shaka nae, na pianhongera kwa kumjali

Mwisho elewa maana ya kujitweza na kujikweza, umeyangaya hapo haya maneno mawil. Nafikir ulile ga kisema najikweza.
Kujitweza ni kinyume chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…