Unataka kujua haki inatukanajwe? Tembelea viunga vya Mahakama za Prof Juma, kesi ya Yanga dhidi ya Magoma haina namba na imeshaamuliwa!

Unataka kujua haki inatukanajwe? Tembelea viunga vya Mahakama za Prof Juma, kesi ya Yanga dhidi ya Magoma haina namba na imeshaamuliwa!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hii ndio inaitwa "mockery of justice" Yanga wamepeleka kesi Mahakamani 17/7/2024, hakuna hati za wito kwenda kwa Magoma na wenzake ili waitwe, wasikilizwe, leo 19/7/2024 Hakimu, tena wa level ya Principal Resident Magistrate, katoa uamuzi, yaani imechukua chini ya saa 24. Hajamuita mshitakiwa hata mmoja, na ameshatoa uamuzi.

Kama kuna G-Z wa nchi hii, basi wanatakiwa waanzie mahakamani, wala sio bunge, kwa kuwa Bunge limeshatoa maelekezo kwamba mshtakiwa apewe summons. Na ndio sheria aliyosaini Rais.

Niliwahi kusema kwamba Prof Juma yuko bize kujenga majengo ya mahakama, lakini ameshindwa kujenga mahakama ndani ya majengo hayo.

Huu ni uhuni ambao ni, a ckear sign of deep rooted corruption. Ooohh tunasajili kesi katika mfumo, mfumo huu mbona hukumu hazina hata namba ya kesi?.Na kuna uzi niliandika kwamba hawa ndio wanapewa mamlaka ya ziada (extended jurisdiction) kuamua kesi kama majaji, hovyo kabisa. Hata mzee wa kijijini anajua rushwa kubwa imetolewa hapo.

Screenshot_20240719-185315.jpg
 
Ndugu mleta bandiko kama hivyo ndivyo ilivyotokea basi busara imetumika, ata Yanga wana lalamika hawakuwahi kuitwa mahakamani zaidi ya kuletewa hukumu ya kesi.
Alafu unaweza kuandika yoote ila ukumbuke, Yanga ndio Nchi na Yanga ndio mpira, vingine vita fuatia.
 
Hii ndio inaitwa "mockery of justice" Yanga wamepeleka kesi Mahakamani 17/7/2024, hakuna hati za wito kwenda kwa Magoma na wenzake ili waitwe, wasikilizwe, leo 19/7/2024 Hakimu, tena wa level ya Principal Resident Magistrate, katoa uamuzi, yaani imechukua chini ya saa 24. Hajamuita mshitakiwa hata mmoja, na ameshatoa uamuzi.

Kama kuna G-Z wa nchi hii, basi wanatakiwa waanzie mahakamani, wala sio bunge, kwa kuwa Bunge limeshatoa maelekezo kwamba mshtakiwa apewe summons. Na ndio sheria aliyosaini Rais.

Niliwahi kusema kwamba Prof Juma yuko bize kujenga majengo ya mahakama, lakini ameshindwa kujenga mahakama ndani ya majengo hayo.

Huu ni uhuni ambao ni, a ckear sign of deep rooted corruption. Ooohh tunasajili kesi katika mfumo, mfumo huu mbona hukumu hazina hata namba ya kesi?.Na kuna uzi niliandika kwamba hawa ndio wanapewa mamlaka ya ziada (extended jurisdiction) kuamua kesi kama majaji, hovyo kabisa. Hata mzee wa kijijini anajua rushwa kubwa imetolewa hapo.

View attachment 3046512
Acha kulialia hapa na huyo Magoma wako. Kwani kesi ya mwanzo mpaka inatolewa hukumu, ni kiongozi gani wa Yanga aliitwa huko mahakamani kutoa utetezi?

Mnataka kuleta mgogoro wa kipuuzi na njaa zenu, mnafikiri mtafanikiwa kirahisi tu!!
 
Hii ndio inaitwa "mockery of justice" Yanga wamepeleka kesi Mahakamani 17/7/2024, hakuna hati za wito kwenda kwa Magoma na wenzake ili waitwe, wasikilizwe, leo 19/7/2024 Hakimu, tena wa level ya Principal Resident Magistrate, katoa uamuzi, yaani imechukua chini ya saa 24. Hajamuita mshitakiwa hata mmoja, na ameshatoa uamuzi.

Kama kuna G-Z wa nchi hii, basi wanatakiwa waanzie mahakamani, wala sio bunge, kwa kuwa Bunge limeshatoa maelekezo kwamba mshtakiwa apewe summons. Na ndio sheria aliyosaini Rais.

Niliwahi kusema kwamba Prof Juma yuko bize kujenga majengo ya mahakama, lakini ameshindwa kujenga mahakama ndani ya majengo hayo.

Huu ni uhuni ambao ni, a ckear sign of deep rooted corruption. Ooohh tunasajili kesi katika mfumo, mfumo huu mbona hukumu hazina hata namba ya kesi?.Na kuna uzi niliandika kwamba hawa ndio wanapewa mamlaka ya ziada (extended jurisdiction) kuamua kesi kama majaji, hovyo kabisa. Hata mzee wa kijijini anajua rushwa kubwa imetolewa hapo.

View attachment 3046512
Mkuu soma vizuri maelezo ili uelewe na ulete taarifa ya sahihi. Kilichoamuliwa na Mahakama ni kuwapa Yanga siku 14 za kufanya marejeo (review) ya Kesi. Kwa hiyo hakuna hukumu iliyotolewa.
 
Acha kulialia hapa na huyo Magoma wako. Kwani kesi ya mwanzo mpaka inatolewa hukumu, ni kiongozi gani wa Yanga aliitwa huko mahakamani kutoa utetezi?

Mnataka kuleta mgogoro wa kipuuzi na njaa zenu, mnafikiri mtafanikiwa kirahisi tu!!
UTOPOLO utawajua tu!
 
Kwa sababu ni mpira watu watasupport huu ujinga kishabiki. Ila mahakama imenajisiwa, kwanza walianza kutukana mahakama Ila Magoma yupo vizuri atawatoa Tena nishai.
 
Mkuu soma vizuri maelezo ili uelewe na ulete taarifa ya sahihi. Kilichoamuliwa na Mahakama ni kuwapa Yanga siku 14 za kufanya marejeo (review) ya Kesi. Kwa hiyo hakuna hukumu iliyotolewa.
Kwa nini siku 14 zitolewe bila kuwaita upande wa pili ili wasikilizwe pia?
 
Hii case Mzee Magoma atapigwa na kitu kizito, na mashabiki wake (makolo) watamkimbia🤣
 
Hii ndio inaitwa "mockery of justice" Yanga wamepeleka kesi Mahakamani 17/7/2024, hakuna hati za wito kwenda kwa Magoma na wenzake ili waitwe, wasikilizwe, leo 19/7/2024 Hakimu, tena wa level ya Principal Resident Magistrate, katoa uamuzi, yaani imechukua chini ya saa 24. Hajamuita mshitakiwa hata mmoja, na ameshatoa uamuzi.

Kama kuna G-Z wa nchi hii, basi wanatakiwa waanzie mahakamani, wala sio bunge, kwa kuwa Bunge limeshatoa maelekezo kwamba mshtakiwa apewe summons. Na ndio sheria aliyosaini Rais.

Niliwahi kusema kwamba Prof Juma yuko bize kujenga majengo ya mahakama, lakini ameshindwa kujenga mahakama ndani ya majengo hayo.

Huu ni uhuni ambao ni, a ckear sign of deep rooted corruption. Ooohh tunasajili kesi katika mfumo, mfumo huu mbona hukumu hazina hata namba ya kesi?.Na kuna uzi niliandika kwamba hawa ndio wanapewa mamlaka ya ziada (extended jurisdiction) kuamua kesi kama majaji, hovyo kabisa. Hata mzee wa kijijini anajua rushwa kubwa imetolewa hapo.

View attachment 3046512
Yani kile kitendo cha Makonda na waziri wa ardhi kutatua migogoro ambapo mahakama ilishindwa kuzitatua kwa sababu watu walidhulumiwa na wenye pesa, nilitegemea Mheshimiwa Juma iwe ni alert kwamba kuna shida kubwa kwenye huu mhimili achukue hatua.
Kutatua migogoro kwa njia ya mawaziri na wakuu wa mikoa wakafanya kazi ya mahakama haiwezi kuwa solution. Mahakama inabidi ijitathmini.
Hawa mahakimu nao ni hatari. Kuna kisa kimoja huko mkoa wa west, hakimu alishirikiana na mshtakiwa kumsainisha documents mshitaki wakati wakijua hajui kusoma wala kuandika na wakamdanganya kumbe anatoa mali yake.
 
Back
Top Bottom