Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Hiyo hainaga formula kama ni wa kukimbia hata miaka 5 atakusubr ukimpatia anapita hvi pia kama ni wa kukaa hata ukimpa siku hiyohiyo hata bila kukuomba bas atakaa tena kwa amani ejoy the life ukipata muda utumie vizuri
Sauwa
 
Nina miaka miwili. Tunawasiliana kila siku. Yupo bariadi mjini nipo mwanza. Anasema mpaka tufunge ndoa, ulokole umemzidi sana.
Hongera umepata Binti sayuni
Sasa Miaka 2 mnaongea Kwa simu si umuoe tu
 
Kiukweli hakuna kitu kinakatisha tamaa km hivyo mtu anakuzungusha kukupa Utelezi bila Sababu Kwa Kigezo cha subiri mpk ndoa?

Siku unamuoa unaenda kukuta K ishasoma kilometres kibao tu.

Bahati nzr Mdada wa hiv wa kusema nisubirie Utelezi Hadi Ndoa uwaga tunaachana mapema siwezi kumsuburi mtu ambae hata kimuonekano anaoneka Hana Bikra ss nasubiria nini.
 
Gharama za kusubili ni kubwa,NUNUA..
IMG-20231005-WA0013.jpg
 
Kiukweli hakuna kitu kinakatisha tamaa km hivyo mtu anakuzungusha kukupa Utelezi bila Sababu Kwa Kigezo cha subiri mpk ndoa?

Siku unamuoa unaenda kukuta K ishasoma kilometres kibao tu.

Bahati nzr Mdada wa hiv wa kusema nisubirie Utelezi Hadi Ndoa uwaga tunaachana mapema siwezi kumsuburi mtu ambae hata kimuonekano anaoneka Hana Bikra ss nasubiria nini.
Kwani wenye bikra wanaonekanaje?!
Hujajua mabikra Kwa sasa wanaonekana wanjanja kuliko makahaba?!
Shauriko
 
Hili ndio jibu thread ifungwe
Me nilipata mwanamke kwenye gar yan nlikuwa natoka dar naenda mbeya ye alipandia gar mafinga tulivyofika makambako alikuwa anabembea kwenya mabega yangu tulivyofika mbeya nikamla hotel nlipogikia na ndio nakapenda kweli, michongo ya kutongoza mwanamke januaary alafu anakupa pusy december ni ufala na wenyewe ambao watoto wadogo ndio wanaweza kuvilia
 
Me nilipata mwanamke kwenye gar yan nlikuwa natoka dar naenda mbeya ye alipandia gar mafinga tulivyofika makambako alikuwa anabembea kwenya mabega yangu tulivyofika mbeya nikamla hotel nlipogikia na ndio nakapenda kweli, michongo ya kutongoza mwanamke januaary alafu anakupa pusy december ni ufala na wenyewe ambao watoto wadogo ndio wanaweza kuvilia
mwenyewe unajiona kiduuume maskini!
 
Haina formula.. kama ni wa kukaa atakaa no matter umempa siku hiyo hiyo, kama ni wa kukimbia no matter umemzungusha mwaka atakimbia tu. Fanya mapenzi kwa furaha yako
Wala siyo chaki kwamba itaisha hata ya upande wa pili inaoshwa vizuri na kutulia tulii anapewa mwingine
 
Back
Top Bottom