Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #141
hamnaVip tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamnaVip tena
kwahyo hiyo miez alikuwa anampa nan? 😀Mimi nilikaa miezi 6 ndo nikapewa utamu
Hiyo hainaga formula kama ni wa kukimbia hata miaka 5 atakusubr ukimpatia anapita hvi pia kama ni wa kukaa hata ukimpa siku hiyohiyo hata bila kukuomba bas atakaa tena kwa amani ejoy the life ukipata muda utumie vizuri
SauwaHiyo hainaga formula kama ni wa kukimbia hata miaka 5 atakusubr ukimpatia anapita hvi pia kama ni wa kukaa hata ukimpa siku hiyohiyo hata bila kukuomba bas atakaa tena kwa amani ejoy the life ukipata muda utumie vizuri
Hongera umepata Binti sayuniNina miaka miwili. Tunawasiliana kila siku. Yupo bariadi mjini nipo mwanza. Anasema mpaka tufunge ndoa, ulokole umemzidi sana.
Acha nae unapoteza muda wakoNina miaka miwili. Tunawasiliana kila siku. Yupo bariadi mjini nipo mwanza. Anasema mpaka tufunge ndoa, ulokole umemzidi sana.
Si amuoeAcha nae unapoteza muda wako
Kiukweli hakuna kitu kinakatisha tamaa km hivyo mtu anakuzungusha kukupa Utelezi bila Sababu Kwa Kigezo cha subiri mpk ndoa?Si amuoe
Kwani wenye bikra wanaonekanaje?!Kiukweli hakuna kitu kinakatisha tamaa km hivyo mtu anakuzungusha kukupa Utelezi bila Sababu Kwa Kigezo cha subiri mpk ndoa?
Siku unamuoa unaenda kukuta K ishasoma kilometres kibao tu.
Bahati nzr Mdada wa hiv wa kusema nisubirie Utelezi Hadi Ndoa uwaga tunaachana mapema siwezi kumsuburi mtu ambae hata kimuonekano anaoneka Hana Bikra ss nasubiria nini.
Unanunua na niniGharama za kusubili ni kubwa,NUNUA..View attachment 2772499
Me nilipata mwanamke kwenye gar yan nlikuwa natoka dar naenda mbeya ye alipandia gar mafinga tulivyofika makambako alikuwa anabembea kwenya mabega yangu tulivyofika mbeya nikamla hotel nlipogikia na ndio nakapenda kweli, michongo ya kutongoza mwanamke januaary alafu anakupa pusy december ni ufala na wenyewe ambao watoto wadogo ndio wanaweza kuviliaHili ndio jibu thread ifungwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Weapo unasema lkn Utofauti upo.Kwani wenye bikra wanaonekanaje?!
Hujajua mabikra Kwa sasa wanaonekana wanjanja kuliko makahaba?!
Shauriko
we hujui kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Weapo unasema lkn Utofauti upo.
ushidnwe kwa jina la Yesu3 working days
mwenyewe unajiona kiduuume maskini!Me nilipata mwanamke kwenye gar yan nlikuwa natoka dar naenda mbeya ye alipandia gar mafinga tulivyofika makambako alikuwa anabembea kwenya mabega yangu tulivyofika mbeya nikamla hotel nlipogikia na ndio nakapenda kweli, michongo ya kutongoza mwanamke januaary alafu anakupa pusy december ni ufala na wenyewe ambao watoto wadogo ndio wanaweza kuvilia
Wala siyo chaki kwamba itaisha hata ya upande wa pili inaoshwa vizuri na kutulia tulii anapewa mwingineHaina formula.. kama ni wa kukaa atakaa no matter umempa siku hiyo hiyo, kama ni wa kukimbia no matter umemzungusha mwaka atakimbia tu. Fanya mapenzi kwa furaha yako