Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
- Thread starter
-
- #61
unaogopa nini mkuuπππYa humu yaishie humu humu
Bora tusionane tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Duh!Chugastan mkuu, but ulsema huku ni mbaaali....itabd mie nije mjin [emoji52]
Kabisa yaani [emoji23][emoji23][emoji23]Bora tusionane tu
ππππππ€Miss hijab
mkuu huku atutumii picha zetu halisi tofuti za social network zengine ko mkikutana inakuwa poa sana
mkuu huku atutumii picha zetu halisi tofuti za social network zengine ko mkikutana inakuwa poa sana
Sawa mkuu....expect kunikuta Kwa PM yako any time.Duh!
Kaskazini na kusini..ila panapo majaaliwa tutaonana mkuu [emoji120]
Karibu sana,ukija usisite kunitafuta.
ndio mkuu yani inakuwa faraja sana na ukifikilia id ya mtu anavyo comment kisha ukamjua πππππ live inafurahisha sanaWatu wanakutana Mkuu na huwa ni furaha ya aina yake. Wengine humu ni vingunge wakubwa sana lakini ukisoma wanayoyaandika huwezi kudhani wana nyadhifa kubwa hivyo.
Sawa boss karibuSawa mkuu....expect kunikuta Kwa PM yako any time.
kushare idea mbalimbali pia kufamiana sio dhambiUnataka ugundue nini kwa wanawake wa JF?
ngoja waje wakupe muongozoπππππNasikia madem wa humu ni wabovu hakuna mtu mwenye time nao kama mm....
Doh!! Ww jamaa kila uzi lazima u reply kipondo.Endelea kutamani kukutana wakati wenzako wanataka kukutana nao na wanakutana.
If wishes were horses, beggars would ride.
Wewe mtu wa kusema haya ni mmoja tu humu ndani, mzee wa miongozo ni mmoja tu [emoji23][emoji23]ngoja waje wakupe muongozo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ndio mkuu yani inakuwa faraja sana na ukifikilia id ya mtu anavyo comment kisha ukamjua πππππ live inafurahisha sana
Vile nitaringa na kujivunia siku nikikutana na AnkaliπππAnko