Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

nime kutana nae Juzi kati,
HANA HATA MVUTO.....!!!

na mashine ikalala fyuuuu
 
BAK unajua lugha ya malikia ni lugha ya mahaba niue, fanya uonane na huyu binti tafadhali.
Nisaidie kumwambia tafadhali!!
Nini lugha ya alama, ili nimwone tu akitaka na kichina cha zamani nitajifunza.
 
Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
Hahahaha mimi nilikua sijui kama unakunywaa...wee kumbe unatumia pombee?
 
Back
Top Bottom