BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Haya mrembo nina kikao muhimu ngoja nikimbie nisije kuchelewa. Jioni njema.
As in so many years and a day Sir!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As in so many years and a day Sir!!
Kuna jamaa humu alikuwa anajiita sijui Cephalocaudi, sijui mlikuwa mnadate naye kweli, aiseee nilikuwa nawaonea wivu sio mchezo.
Nisaidie kumwambia tafadhali!!BAK unajua lugha ya malikia ni lugha ya mahaba niue, fanya uonane na huyu binti tafadhali.
Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio kwa mbio hizo.Haya mrembo nina kikao muhimu ngoja nikimbie nisije kuchelewa. Jioni njema.
Hahahaha mimi nilikua sijui kama unakunywaa...wee kumbe unatumia pombee?Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
Ushantamanisha kuonana, tuonane wapi sasa....Binafsi namuadmire Abrianna kwa mengi, anaonekana ni mtu ambae akili imetulia sana tofauti na members wengi
Mwingine ninaetamani kumuona ni Evelyn Salt kwa sababu anaonekana akili yake inaenda resi sana, in fact haboi yaani unaweza kucheka mwanzo mwisho
Ha ha mpaka kichina jamaniiNisaidie kumwambia tafadhali!!
Nini lugha ya alama, ili nimwone tu akitaka na kichina cha zamani nitajifunza.
[emoji15]Yeyote ambae yupo free tuonane, mi nipo free sahivi
Fujo isiyoumiza[emoji3]Ushantamanisha kuonana, tuonane wapi sasa....
TuonaneFujo isiyoumiza[emoji3]
Nakuja, nsubir apoapoTuonane
Bei nzuri tu dota, karibu sana.Teh hapana sitaki fundi
Acha tu.Ha ha mpaka kichina jamanii