Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

Unatapanya hela na hali ya watoto wa masikini iko hivi mashuleni!

Umeona mazingira hayo wansyosomea watoto? Au unaandika tu kwa sababu ya roho ya ushetani iliyokujaa ndani yako mkuu?
kuna majengo meuoe naamini yaho ni madarasa, kukaa chini ya mwembe hatujaanza leo, watoto wamekaa chini ya mti wakiimba nyimbo, wazee wamekaa chini ya miti wakifanya vikao vya kimila, kama ulizaliwa ukakuta kochi kwenu kiti kanisani stuli bar kiti ofisini basi mshukuru mungu na usitukane wasiokuwa navyo, kumbuka kuna wanaoswali barabarani pale msikiti wa kwamtoro kwani na nafasi ndani imejaa haimaanishi ni wapumbavu
 
kuna majengo meuoe naamini yaho ni madarasa, kukaa chini ya mwembe hatujaanza leo, watoto wamekaa chini ya mti wakiimba nyimbo, wazee wamekaa chini ya miti wakifanya vikao vya kimila, kama ulizaliwa ukakuta kochi kwenu kiti kanisani stuli bar kiti ofisini basi mshukuru mungu na usitukane wasiokuwa navyo, kumbuka kuna wanaoswali barabarani pale msikiti wa kwamtoro kwani na nafasi ndani imejaa haimaanishi ni wapumbavu
Usifanye hivyo mkuu,hata Kama unajua kuongea Sana....usifanye hivyo tafadhali....daah!
 
ndo nakuuliza kukaa chini maana yake ni umasikini? msikitini si watu wanaswali wamekaa chini mbona hamsemi, kwenye mikutano ya tundu lissu siwanamsikiliza wamekaa chini nako ni umasikini? na aliyekulisha upumbavu kuwa kukaa chini ni umasikini?
Wewe akili huna that's it!!!

Nitaonekana kichaa nikiendelea kubadilishana maneno na mtu mwenye akili ndogo za kushindwa kutofautisha matukio,yaani wewe akili huna kabisa umebeba tikitiki tu hapo juu ya shingo.
 
Mimi ni mdau wa michezo. Ila niwe tu mkweli; siungi mkono hiki kinachofanywa na Rais wa nchi kwa vilabu vyetu.

Hiki anachofanya Rais, ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi. Labda angeweka wazi kama hizo pesa anato kwenye mshahara wake.

Vilabu vina uongozi na taratibu zake. Na hata huu utaratibu wa kutoa motisha na bonasi, uko miak yote pale timu inapofanya vizuri. Sioni mantiki ya Rais kujiingiza kwenye hizi siasa, badala ya kuwekeza nguvu kubwa kwenye kutatua matatizo yanayo wakabili wananchi masikini.
 
ndo nakuuliza kukaa chini maana yake ni umasikini? msikitini si watu wanaswali wamekaa chini mbona hamsemi, kwenye mikutano ya tundu lissu siwanamsikiliza wamekaa chini nako ni umasikini? na aliyekulisha upumbavu kuwa kukaa chini ni umasikini?
Acha kutumia masaburi, mikutano inafanyika kila siku? Mkutano mtu anaenda kwa hiyari, mkutano ni kwa muda tu maalumu, Darasa ni sehemu rasmi iliyoandaliwa, kwa hiyo kukaa chini kwenye mti ndiyo sehemu rasmi?
Toa ukurutu kichwani
 
Acha kutumia masaburi, mikutano inafanyika kila siku? Mkutano mtu anaenda kwa hiyari, mkutano ni kwa muda tu maalumu, Darasa ni sehemu rasmi iliyoandaliwa, kwa hiyo kukaa chini kwenye mti ndiyo sehemu rasmi?
Toa ukurutu kichwani
nisiongee kwa mihemuko kama wewe, ifike sehemu tuwe wakweli jukumu la mtoto kusoma liwe jukumu la mzazi, ukiambua kumpeleka IST au Collosium liwe uamuzi wako, ukitaka mtoto wako akalie pvc marts na recreation hall yenye ac uwe ni uamizi wako lakini usilazimishe serikali ifanye kwendana na matakwa moyo wako
 
ndo nakuuliza kukaa chini maana yake ni umasikini? msikitini si watu wanaswali wamekaa chini mbona hamsemi, kwenye mikutano ya tundu lissu siwanamsikiliza wamekaa chini nako ni umasikini? na aliyekulisha upumbavu kuwa kukaa chini ni umasikini?
Hio shule inaonekana madarasa hayatoshi kiongozi.

Wanafunzi ni wengi na madarasa ni machache, wengine inabidi wakae chini ya mti, mvua ikinyesha ujue ni likizo.
 
nisiongee kwa mihemuko kama wewe, ifike sehemu tuwe wakweli jukumu la mtoto kusoma liwe jukumu la mzazi, ukiambua kumpeleka IST au Collosium liwe uamuzi wako, ukitaka mtoto wako akalie pvc marts na recreation hall yenye ac uwe ni uamizi wako lakini usilazimishe serikali ifanye kwendana na matakwa moyo wako
Miundo mbinu ya elimu ya umma ni jukumu la serikali, hiyo inabaki hivyo.
 
sijui lengo lako ni nini? au ni msg gani unataka ku share, lakini kama ni madarasa yale majengo meupe si ni madarasa, sie wakati tuko shule after lunch tulikuwa tunakaa chini ya mtu tukifundishwa nyimbo na michezo mbalimbali, sasa kukaa chini haimaanishi ni umaskini, ni teaching technics tu
Na wale waliokalia totari madarasa yao ni yale meupe?
Pale wapo wanapewa story na walimu wao.
 
Tuliamua kama taifa Rais awe anafanya hivyo na Dola imlinde katika hayo anayoyafanya bila kujali athari Wala faida ya hicho anachokifanya!

Sio kosa lake ni kosa la TAIFA LIITWALO TANZANIA KULINDA MAAMUZI HAYO KWA GHARAMA KUBWA YA DOLA!!

HILO NI KOSA LA TAIFA KAMA NEMBO ZINAVYOIWAKILISHA NA YEYE ANAWAKILISHA UTAMBULISHO HUO!
 
Back
Top Bottom