Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

Mwalimu Nyerere ndiye aliyetetea vyama vingi pamoja na kwamba 80℅ walikataa.

Haya mambo ya kuteka, kutesana, kupelekana uhamishoni "Exile", kuwekwa sero maalum wenda wewe ndo unayajua leo. Bora leo wewe upo kwenye utandawazi na ndio maana utaona mtu ametekwa na umejua na umma umefahamu. Tumetoka mbali. 😁
 
Hakuna asiyeogopa kufa especially kifo cha kutafuta mwenyewe, bahati mbaya unaweza usife ila ukapata maumivu yatakayokufanya usione thamani ya maisha, Yesu alikufa lakini hakumaliza siku tatu akafufuka tena , sasa wewe unaiga na huna uhakika wa kufufuka fews days later.
Live your life and enjoy it
Kwanza unaelimu gani?
Hivi unaweza kweli ukalisimamia jambo lolote katika familia achalia mbali nafsi yako mwenyewe?

TAfuta hata ujisomee historia ya dunia, ama soma watu maarufu tu walipigania haki za raia wao uone kama walikuwa na akili kama zako.
Mbegu ni lazima ife ili itoe uzao, inafukiwa chini, itapata joto, maji itaota itaendelea kupata jua na mvua hatimae kukupatia mazao.

Kama huwezi kupambania haki heri ukae kimya uendelee na unachokipata bila kujali ni kwa njia gani
 
Haya mambo ya kuteka, kutesana, kupelekana uhamishoni "Exile", kuwekwa sero maalum wenda wewe ndo unayajua leo. Bora leo wewe upo kwenye utandawazi na ndio maana utaona mtu ametekwa na umejua na umma umefahamu. Tumetoka mbali. 😁
Neno au tendo jema ni jema tu bila kuangalia limetoka kwa nani (muovu au mwema).
 
Back
Top Bottom