Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
 
Mm nadhani kama unaona kwa namna yoyote ile hakuna kiongozi yeyote awe wa ccm au vyama pinzani atakayeshiriki nawe kumega keki ya taifa, aisee n bora uwe mpole tuu mana hapa bongo utaumizwa afu wale waliokuwa wanakupa sapoti watakukimbia.
 
Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Nimeipenda hii. Hasa kiroho!
Imenikumbusha gwajiboy aliposema yale mambo ya chanjo alioteshwa, na bado akakataa kukalia kiti. Na hakuna adhabu alipewa.
Kama unajijua kinga yako ya kiroho ni dhaifu, kaa mbali na ukosoaji wa serikali
 
Hilo ndiyo tatizo la kuwa na "upinzani" usiokuwa na sera wala mipango inayojulikana.

Wapoinzani wanadakia tukio lolote wanapinga tu, hata la maana wanalipinga, matokeao ndiyo kutukana kijinga.

Upinzqni uwe na sera na taratibu za nini wanakipinga au nini wao watakifanya mbadala. Hakuna amabae anajuwa kipo anambie.

Hili hata kwenye maandamano na mikutano yao uchwara nimelitafuta sijaliona. Sijasikia wanafanya maandamano ili iweje? Wafanikishe nini?

Mikutano ya hadhara ni kama kila kukicha mbowe anajitambulisha yeye tu, lakjini sijamsikia akisema anachokitaka zaidi ya kurukia matukio ya siku hiyo au jana yake.

Ni ujinga tu na wajinga ndiyo wanakuwa wa pinzani kwa mihemko na sio kwa sera wala mipango.
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
UOGA WAKO, kwani utaishi milele? lazima kuwa na pa kuanzia ili wengne wafuate na mbinu za kujilinda zianzishwe. Lazima ku sacrifice life sometimes if needs to be
 
Hilo ndiyo tatizo la kuwa na "upinzani" usiokuwa na sera wala mipango inayojulikana.

Wapoinzani wanadakia tukio lolote wanapinga tu, hata la maana wanalipinga, matokeao ndiyo kutukana kijinga.

Upinzqni uwe na sera na taratibu za nini wanakipinga au nini wao watakifanya mbadala. Hakuna amabae anajuwa kipo anambie.

Hili hata kwenye maandamano na mikutano yao uchwara nimelitafuta sijaliona. Sijasikia wanafanya maandamano ili iweje? Wafanikishe nini?

Mikutano ya hadhara ni kama kila kukicha mbowe anajitambulisha yeye tu, lakjini sijamsikia akisema anachokitaka zaidi ya kurukia matukio ya siku hiyo au jana yake.

Ni ujinga tu na wajinga ndiyo wanakuwa wa pinzani kwa mihemko na sio kwa sera wala mipango.
Wapinzani ndio walimteka?
Kuna watu wajinga sana hii nchi.
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Wanachochewa na wahuni wengi wao wapo nje ya nchi wengine system haiwagusi kwa kuwa baba zao wamo humo!
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Kwa hiyo hoja yako watu wasiongee yanayolisibu taifa🫠
 
Hilo ndiyo tatizo la kuwa na "upinzani" usiokuwa na sera wala mipango inayojulikana.

Wapoinzani wanadakia tukio lolote wanapinga tu, hata la maana wanalipinga, matokeao ndiyo kutukana kijinga.

Upinzqni uwe na sera na taratibu za nini wanakipinga au nini wao watakifanya mbadala. Hakuna amabae anajuwa kipo anambie.

Hili hata kwenye maandamano na mikutano yao uchwara nimelitafuta sijaliona. Sijasikia wanafanya maandamano ili iweje? Wafanikishe nini?

Mikutano ya hadhara ni kama kila kukicha mbowe anajitambulisha yeye tu, lakjini sijamsikia akisema anachokitaka zaidi ya kurukia matukio ya siku hiyo au jana yake.

Ni ujinga tu na wajinga ndiyo wanakuwa wa pinzani kwa mihemko na sio kwa sera wala mipango.
Wewe ndio Moja katika makubwa jinga ya hii nchi
 
Vijana kama hawa hawana mchango kwa taifa. Kijana unaogopa kufa? Kwani wanaowauwa wenzao nao wanahaki miliki ya dunia hili? Yesu alikufa ili wengine wapone.
Hakuna asiyeogopa kufa especially kifo cha kutafuta mwenyewe, bahati mbaya unaweza usife ila ukapata maumivu yatakayokufanya usione thamani ya maisha, Yesu alikufa lakini hakumaliza siku tatu akafufuka tena , sasa wewe unaiga na huna uhakika wa kufufuka fews days later.
Live your life and enjoy it
 
Mm nadhani kama unaona kwa namna yoyote ile hakuna kiongozi yeyote awe wa ccm au vyama pinzani atakayeshiriki nawe kumega keki ya taifa, aisee n bora uwe mpole tuu mana hapa bongo utaumizwa afu wale waliokuwa wanakupa sapoti watakukimbia.
Hakika , na wabongo huwa hawana ushirikiano kabisa kwenye msala unaokuhusu hata waliokuwa wanakusifia watakukana hadharani
 
Back
Top Bottom