Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Hawana akili hao,huwezi kushindana na serikali
 
Facts, ni bora kuachilia mbali. Mambo ya kuonesha patriotism na uzalendo tuliwaachia Nyerere na Magufuli.
Thats whats wrong na hiki kizazi, by hii kauli its self simple una allow kikundi kichache cha watu kufaidi mema, wakati ww and maybe kizaz chako waendelea kuwa wanyonge tu. Mpaka lini? Do you think nyerere akiamka leo atafurahia hali hii ya vijana wa sasa?
 
Upinzani wa kweli ni kutia mbadala wa kile unachokosoa!

Mfano ishu ya sukari haifai kuagizwa nje tuna uwezo wa kuzalisha wenyewe kwani huko wanapoitoa sukari kuna miungu!!! hadi sisi kila siku tuende kwao!!?

Jkt plus magereza wanafanya nini!!?

Viwanda cya sukari tunashindwa kuendesha!!?
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Tunakufa mara moja tu mkuu,sio shida hata kidogo.Halafuu,mbona hatushi milele,we will eventually die,so why worry.

Kwa kumalizia niseme hivi,madhila ya Wakenya ndiyo yetu Watanzania,so what are we waiting for, let us take action now,kama Wakenya wameweza,we also can.
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Kila mtu akifikiri hivi, hata wewe usingepata nafasi ya kutoa maoni yako hayo.

Wewe umepata nafasi hii kwa sababu kuna watu wengi sana wamekupigania.
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Mkuu unazungunzia upinzani upi? Ule wa Kutukana watu au upinzani wa kurekebisha mafisadi?

Maana nyie vijana zenu ni mawazo ya ngono, pombe, mpira na kubeti tu.
 
BWANA YESU KRISTO Mwana wa MUNGU alisema hivi;
"kabla ya kwenda vitani, hesabu gharama kwanza, jiulize adui yako ana silaha gani, ana askari wangapi, ana uwezo kifedha kiasi gani na mbinu zake za kivita ni zipi. Ukiona unamzidi adui yako kwa kila kitu basi nenda vitani kapigane naye.

Lakini ukiona adui yako anakuzidi kwa kila kitu, basi usiende vitani, badala yake nenda kwa adui yako kwa ajili ya kutafuta amani na suluhisho.

Hesabu gharama kwanza kabla ya kufanya chochote kile.

Unaanza kuitukana Serikali kabla ya kuipima gharama kama unao uwezo wa kushindana nayo. Ooh shauri yako, utanyofolewa "mbupu".
 
Mm nadhani kama unaona kwa namna yoyote ile hakuna kiongozi yeyote awe wa ccm au vyama pinzani atakayeshiriki nawe kumega keki ya taifa, aisee n bora uwe mpole tuu mana hapa bongo utaumizwa afu wale waliokuwa wanakupa sapoti watakukimbia.
Mchuma janga hula na nduguze
Sisi tutapiga kelele mtandaoni ila ww na familia yako ndio mnateseka
Naonaga ni ujinga kufanya siasa za ubabe mtandaoni
 
BWANA YESU KRISTO Mwana wa MUNGU alisema hivi;
"kabla ya kwenda vitani, hesabu gharama kwanza, jiulize adui yako ana silaha gani, ana askari wangapi, ana uwezo kifedha kiasi gani na mbinu zake za kivita ni zipi. Ukiona unamzidi adui yako kwa kila kitu basi nenda vitani kapigane naye.

Lakini ukiona adui yako anakuzidi kwa kila kitu, basi usiende vitani, badala yake nenda kwa adui yako kwa ajili ya kutafuta amani na suluhisho.

Hesabu gharama kwanza kabla ya kufanya chochote kile.

Unaanza kuitukana Serikali kabla ya kuipima gharama kama unao uwezo wa kushindana nayo. Ooh shauri yako, utanyofolewa "mbupu".
Acha uongo yesu wa manzese huyo.
 
BWANA YESU KRISTO Mwana wa MUNGU alisema hivi;
"kabla ya kwenda vitani, hesabu gharama kwanza, jiulize adui yako ana silaha gani, ana askari wangapi, ana uwezo kifedha kiasi gani na mbinu zake za kivita ni zipi. Ukiona unamzidi adui yako kwa kila kitu basi nenda vitani kapigane naye.

Lakini ukiona adui yako anakuzidi kwa kila kitu, basi usiende vitani, badala yake nenda kwa adui yako kwa ajili ya kutafuta amani na suluhisho.

Hesabu gharama kwanza kabla ya kufanya chochote kile.

Unaanza kuitukana Serikali kabla ya kuipima gharama kama unao uwezo wa kushindana nayo. Ooh shauri yako, utanyofolewa "mbupu".
Acha ujinga wewe,Daudi alipokwenda kupigana na Goliati angehesabu gharama angem-confront.Daudi alimuamini Mungu,na hiyo ikawa ndio nguvu yake.Sisi nguvu yetu kama Wananchi ni MUNGU.
 
Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk.
Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote?

Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔
Tukio la Sativa limenifikirisha sana.

Kuna haja ya watu kujihakikishia ulinzi wa kutosha kimwili na kiroho kabla ya kuanza kuwa wapinzani.
Kenya wamekufa 200+. Siku yoyote move ya kutoa Serikali iliyo madarakani hasa kwa nchi zinazoendelea ni kazi sana, na ni lazima wengine wafe.
Usisahau hata kupigania uhuru watu wengi walikufa ili baadae lengo nilitumia. Kufanikiwa katika lolote kubwa, lazima ukomae vilivyo.
 
Kenya wamekufa 200+. Siku yoyote move ya kutoa Serikali iliyo madarakani hasa kwa nchi zinazoendelea ni kazi sana, na ni lazima wengine wafe.
Usisahau hata kupigania uhuru watu wengi walikufa ili baadae lengo nilitumia. Kufanikiwa katika lolote kubwa, lazima ukomae vilivyo.
Huwa mara nyingi Permanides sikubali mawazo yako,lakini leo nimekukubali.Asante kwa kutambua ukweli huu.
 
Hakuna asiyeogopa kufa especially kifo cha kutafuta mwenyewe, bahati mbaya unaweza usife ila ukapata maumivu yatakayokufanya usione thamani ya maisha, Yesu alikufa lakini hakumaliza siku tatu akafufuka tena , sasa wewe unaiga na huna uhakika wa kufufuka fews days later.
Live your life and enjoy it
Eti nife kwa ajili ya matz ambayo mengi hayajielewi kama ya hapa jf
 
Back
Top Bottom