Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Mkuu CMBC Mlalahoi, kama Mungu kakuumba na kipara je!? Mimi mwenyewe kinanilengalenga na kiukweli sikipendi lakini sioni kama kuna short cut maana naogopa isije kuwa mithiri ya story nikiyoisikia BBC ya wadada wa Congo DRC na maumbile/makalio.


Usiwe na wasi wasi hii 100% natural remedy watu wengi sana hata humu humu JF ni ushahidi tosha wameshaitumia kwa matatizo ya ngozi kila aina na imewasaidia sana tena.

Tena ninakushauri, hata kama hauna tatizo lolote hii product inafaa uwenayo nyumbani kwenye first aid kit yako na hata kwenye gari. Inasaidia na inaponesha haraka kuunguwa kwa moto kuliko dawa nyingine yoyote uijuayo. na pia ukitafunwa na nyuki au wadudu wengine ni remedy ya haraka sana.

Karibu sana.
 
Songea hatuna wakala kwa sasa lakini ongea na wakala wetu wa Mbeya anaitwa Haule - 0756994850 na 0784658349

Anaweza kukutumia kutokea Mbeya.

Naomba unitumie dozi iliyo kamili moja kwa moja kutoka kwako dsm.. Nikipona nitavutiwa kuwa wakala wako huku Songea. Namba yangu wasap 0765961152
 
lakini pia jamii ina amini kwamba nyinyi wenye vipara ndio mna akili nyingi kushinda tusio na vipara.hahahahah.

mama Zainab Tamim naunga mkono juhudi na bidii yako.

Asante ninashukuru sana.

Hii bidhaa nilionayo ndio inanipa moyo wa kufanya bidii kwani ni nzuri sana tena sana. Inanifanya niwe sina hata wasi wasi kuitangaza kiuwazi kabisa.
 
Naomba unitumie dozi iliyo kamili moja kwa moja kutoka kwako dsm.. Nikipona nitavutiwa kuwa wakala wako huku Songea. Namba yangu wasap 0765961152

Dozi kamili hata mimi sina uhakika nayo nijuavyo ni huyo mwanangu katumia wiki nne kafikia hali hiyo na ameipenda sana anaendelea kutumia lakini kwa songea na gharama za kutuma ninakushauri uchukuwe dozen moja, tena ukichukuwa dozen moja bei inakuwa nafuu sana. Ni Shillingi 2,000 tu kwa pakti x 12 = 24,000 ambayo unaweza kutumia muda mredu sana nyingine ukauza na kurudisha pesa zako na faidi juu. Kwa uhakika kabisa.

Gharama za usafiri ni juu yako.
 

Ok nakupigia hivi punde.
 

Kila mtu na mtazamo wake, maana kuna watu vipara mppka wanaenda kuotesha nywele, huwa mtu anaona akikosa nywele kama kapungikiwa kitu fulani na wengine wana nywele lakini wanazinyoa zote wanakuwa vipara.

Ni mitazamo tu wala isikutie wasi wasi.
 
Bei Nzuri na huku haitazidi 5,000 ngoja nijaribu, ila kwa mfano zikiota Ndo nakua nimemalizana na dawa au Ni matumizi endelevu? Any side effects?

Hakuna side effect yoyote kwani huu udongo unajulikana sana duniani sema hapa kwetu tulikuwa hatujui kama tunao na sasa sisi tumevumbua kuwa upo na una ubora kuliko huo uliovumbuliwa huko duniani, unaweza kuu google unaitwa montmorillonite beaty clay.

Huu wetu unafanya kazi nzuri sana mpaka mimi ninaushangaa. MashaAllah na AlhamduliLllahi.

Mwenyeezi Mungu tu ndiye wakushurukiwa na nina shukuru sana kwa Mwenyeezi Mungu kunipatia hii zawadi kwa binaadam.

Na ninaahidi yeyote asiye na uwezo wa kinunua ni bure kabisa. Mradi awe na tatizo tu la ngozi au la nywele.
 
Unazo za kuzuia nywele kuota kama vinyweleo na ndevu?

hapana hizo sina.

Sema hii inasaidia kama unatokwa na mapele ya kiwembe ukinyoa ndevu. Imesaidia watu wengi sana na sasa wananyoa bila hofu.
 
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Pitia hii link kujionea mwenyewe: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor...uper-clay.html
 
Sio kwamba wana akili isipokuwa wana sifa ya kutumia kichwa kufikiri na sio kufugia nywele!

duh!!,acha kwanza nifanye uchunguzi mdogo wa kutizama mawaziri wenye vipara ambao walihudumu ktk utawala wa JK,kama utendaji wao uliakisi unachosema.
 

Tunakushukuru mama.mimi pia ninatatizo hilo haipiti siku nne bila kunyoa..sasa swali langu je unauzaje hiyo dawa ili kujua maana haya mawasiliano uliyotoa kwa hizo namba/sijui ni mawakala wako tusije kuambiwa bei tofauti na wewe unavyouza.naomba majibu ili nifanye uamuzi.
 

Recommended retail price ni Shillingi 3,500 kwa mkebe mmoja wa gram 100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…