Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm bado natumia nitakuja tu kusema kama kipara kimeota nywere kwa sasa nimeingia kikopo cha pili ....
Slim5 nimetoka kuongea na Bi Zainab Tamim punde tu inshallah si muda mrefu nitapata utaratibu wa kuinunua dawa,kaniambia you will see results within first month,i will try and tell you kama ni utapeli at least nitapata muda wa nusu saa wa kujipaka tope to have quality time with a family infront of a tv!
But kwa jinsi anavyoongea nahisi ni mtu mwema hatatuonea sie vipara,nina hamu ya kunyoa kiduku mkuu!
we ndo wakutuambia ukweli usiache kutupa mrejesho
Mi ndio najikandika hapa saa hii naona mke wangu ananicheka lakini siachi japokua kamkebe ka kwanza kanaishia bila mabadiliko yoyote
habari dada,mie nipo nachingwea na nilikuwa nahitaji huduma yako,hivyo ningependa kujua nitaipataje kwa huku na kwa kiasi gani mpaka hapa nilipo.
Zingatia maelezo mkuu, likubuma atasema ulikosea masharti

Musoma vipi tunawezaje kupata hiyo huduma?
Tena mm nimenunua elfu kumi kwa wakala yuko kariakoo ....haina shida ninachotaka ni kuona maajabu ..... kipara kinaota nywere mke wangu anacheka kila nikiweka si kosi siku hata moja .....nitawapa mrejesho
Mama hao mawakala wako wamelala sana, ngoja niagize mzigo wa kutosha then niwe wakala huku mwanza na kanda ya ziwa, haiwezekani mtu hapokei simu na hajibu msg hivi mteja unamuweka katika mazingira gani na anahitaji bidhaa?
mwenye majibu ya udongo jamani tujue
Utafanya jambo la maana sana. Aaah hawa wana matatizo, sijapata wakala wa uhakika hasa mpaka sasa.
Mrejesho wadau maana mimi Kofia zimeshanichosha kila miezi 2 lazima ninunue kofia kwa ajili ya kuficha huu uwaraza unaokuwa kwa kasi ya ajabu,ila sjiu itakuwaje maana shemeji yenu kasha anza kuzoea kuushika shika tukiwa tumepumzika.