Halotel shida yao wezi wa mb yaan hapo tu ndio wananikera. Nachowapendea bando zao ukiunga hawakukati kama mitandao mengne yaan ukiunga bando jipya kabla la zaman halijaisha wanakuunganishia yote na muda unaongezeka ila sasa mb zinavyokatika utafurah yaan.Mie nataka nihamie halotel kumbe nao hawaeleweki 🫢
Elf 60Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Situmiagi TikTok kwaiyo la elfu tatu Kwa wiki angalau lina Kaa Kaa kama Siku nne hivi
Mkuu tueleweshe kuhusu hili tafadhariNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
SME nanunua 22GB naona hazitoshi tena afu najibanaAirtel wanayo SME
Halotel hawana
Mkuu upo kitengo gani TRAMie natumia 230k up to 250k per month
Hapo kwa internet na calls
Elfu 5 tuUnalipia 10k kujiunga na sme alafu vigezo vingine vinafuata
Hapana mkuuMkuu upo kitengo gani TRA
Nilikuwa natania tuu mkuuHapana mkuu
Kazi zangu zinanitaka 24/7 niwe mtandaoni
Nipe maujanja ndugu
Na huuu wizi wameanza majuzi tu zamani hawakuwa hiviHalotel shida yao wezi wa mb yaan hapo tu ndio wananikera. Nachowapendea bando zao ukiunga hawakukati kama mitandao mengne yaan ukiunga bando jipya kabla la zaman halijaisha wanakuunganishia yote na muda unaongezeka ila sasa mb zinavyokatika utafurah yaan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka huu uzi embu tujuze mzeeNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Mimi nawekewa na ofisi airtime ya Tzs. 560,000 tuu kwa mwezi!Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Ipi hyo bossNatumia VPN
Upo mkoa upi kkaYes mkuu unlimited kwa mwez