Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Mara tatu zote unatafuta mke wa kuoa au,siku hiyo hiyo kamata mtu peleka bar mpige wine vuta mtu kampelekee moto
 
Mkuuuuuu
 
Hapo lazima utoboke mzeebaba na muda mwingine unatoswa.
Unaomba out gharamia vilivyo then tumia akili kumuingiza lodge....Ikikwama jaribu tena ila mwisho mara tatu. Ukichoka funguka moja kwa moja tu hakuna namna.
 
Achana na uzinzi, hautakusaidia kwa chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…