Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Hold on

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2023
Posts
482
Reaction score
1,126
Hi,

Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.

Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
 
Hi

Guys iv unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda uho kama ni birian nakula sio mtu wa madem mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu

Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Ka milioni siku 15,Bata kwa sana,maisha haya noma!
 
Back
Top Bottom