Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Siku 30

Sinywi pombe
Sio mvutaji
Nina familia

Kikubwa ni kupanga bajeti na kuishi maisha Yako halisi sio ya kuigiza.
 
Kuna washkaji et mishahara mpaka inakutana kweny account..!! Dah
 
Mimi mshahara nstoaga tare 1 nautumia mpk tare 17- 20 after hapo nasnza msoto mpk tare 1 nyingine
 
Pia ukaaji wa mshahara inategemeana na familia status
Pia hutegemea majukumu yako binafs
Me hua natoa ile budget ya kula na king'amuzi na kidogo ya emergency
Inayobaki naacha hadi mshahara mwingine
 
Kama una familia unanunua mahitaji yote, chakula ,umeme, maji n.k inayobaki unaweka akiba, bila bajeti uwezi kama mwanaume unatakiwa kujua bajeti ya familia yako kwa mwezi hapo ndo unajua unatakiwa kutafuta pesa kiasi gani
 
Kama una familia unanunua mahitaji yote, chakula ,umeme, maji n.k inayobaki unaweka akiba, bila bajeti uwezi kama mwanaume unatakiwa kujua bajeti ya familia yako kwa mwezi hapo ndo unajua unatakiwa kutafuta pesa kiasi gani
 
Kama una familia unanunua mahitaji yote, chakula ,umeme, maji n.k inayobaki unaweka akiba, bila bajeti uwezi kama mwanaume unatakiwa kujua bajeti ya familia yako kwa mwezi hapo ndo unajua unatakiwa kutafuta pesa kiasi gani
Mimi suala la bajeti lilishanishinda, bajeti haipangiliki, michango ya harusi, bia,wazazi,ndugu
 
Back
Top Bottom