Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi wangu kama hauna matumizi mengi utatutosha wawili au nakuachia ote weweTusio na mshahara acha tupate experience
Mimi Huwa najiuliza pia mkuu ndo mana nimeingia shuleAcha kabisa nashangaa mtu anasema mshahara unaweza toka lakini asiuchukue miezi miwili
Ni kama wewe tuu baada ya kuona hivyo tuliamua kuacha kazi kabisaHi
Guys iv unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda uho kama ni birian nakula sio mtu wa madem mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
NakaziaJobless huu uzi hautuhusu
Jitahidi madamMie badobado....Nikitumia Kwa pupa atanipea nani pesa nyingine
Hhhahaha sana tena walimu ndobalaaWaajiliwa mnamaisha magumu yenye stress, Yani kula biriyani nayo unaiwekea budget
Hi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Af kuna watu wanaishi bila madeni kama mama yangu hana deni namuulizaga kila siku lakini anakwambia weka akiba
Mimi hapa, just PM.Mie badobado....Nikitumia Kwa pupa atanipea nani pesa nyingine
Ningeshangaa sana kama walimu wasingetajwa hasa kutoka kwa Mpwayungu VillageHhhahaha sana tena walimu ndobalaa
Maximum siku 9Hi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?