Au hata wampe AdanWampe Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au hata wampe AdanWampe Azam
Chini ya Rais gani ambae wewe ulimlamba nyayo yalifanikiwa?Haya yanatokea chini ya Rais samia unayemlamba nyayo zake kila siku
Ila uchawa kazi ngumu sana
Wampe tunayemjuaAu hata wampe Adan
Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo
Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut
Mfano TRC wanataka kununua engine za diesel ni kituko ila hawana mshipa wa aibu watanunu-mimi tokea kipindi cha magufuli niliona kwa mtazamo wangu binafsi hii train ingetakiwa iishie dodoma kwanza isiendelee mpaka huko mwanza na kigoma
Sababu ni kama nchi hatuna uwezo wa rasilimali watu kwenye management wanaoweza simamia mradi kama huu wa umeme kumbuka mwendokasi imeishinda serikali
Hata ingewezekana ceo wa TRC angetakiwa aletwe foreigner ambaye alishawahi kufanya kazi kwenye train za umeme anajua changamoto zake na namna ya kuzikabili
Kadogoso naamini hana uzoefu wowote wa kusimamia mirad ya train ya umeme yaani umetumia usd billion 7+ kujenga mradi alafu unampa mtu amabye ana-uzoefu wowote wa kusimamia mradi wa umeme hiki ni kichekesho
sisi waafrika kwenye management bado sana tunamambo mengi sana ya kujifunza sababu upeo wetu kama waafrika ni mdogo hatufikirii mbali ndo shida inapoanzia hapo
Sio yuko ofisini,kwanini yuko uraiani hadi muda huu?Shida ni sisi watanzania..
Sielewi kwanini kadogosa yupo ofisini hadi muda huu
Serikali kuimiliki TRC kwa asilimia 100 ni kosa kubwa linalomfanya Mkurugenzi wa TRC na management yake kujisemea lolote akijua kuwa akimtaja taja Samia kwa kila sentensi bado ataendelea kuwepo kileleni.
TRC inapaswa kuchukua mkondo wa TBL, TCC, TPCC, Swissport, NMB, CRDB n.k...... Kwa kupunguza umiliki wa Serikali kwa kuorodhesha hisa za TRC kwenye soko la hisa ili wananchi tununue na kumiliki mali hizi zinazoitwa za umma.
Hii itasaidia sana kumdhibiti Kadogosa na management yake kwa kuhakikisha TRC inaendeshwa kwa faida na hakuna mipango ya zimamoto kama hii ya kununua injini za diesel ambayo inaturudisha nyuma miaka 100.
Ccm ni mchwa hawashibiUkituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo
Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut
Mfano TRC wanataka kununua engine za diesel ni kituko ila hawana mshipa wa aibu watanunu-mimi tokea kipindi cha magufuli niliona kwa mtazamo wangu binafsi hii train ingetakiwa iishie dodoma kwanza isiendelee mpaka huko mwanza na kigoma
Sababu ni kama nchi hatuna uwezo wa rasilimali watu kwenye management wanaoweza simamia mradi kama huu wa umeme kumbuka mwendokasi imeishinda serikali
Hata ingewezekana ceo wa TRC angetakiwa aletwe foreigner ambaye alishawahi kufanya kazi kwenye train za umeme anajua changamoto zake na namna ya kuzikabili
Kadogoso naamini hana uzoefu wowote wa kusimamia mirad ya train ya umeme yaani umetumia usd billion 7+ kujenga mradi alafu unampa mtu amabye ana-uzoefu wowote wa kusimamia mradi wa umeme hiki ni kichekesho
sisi waafrika kwenye management bado sana tunamambo mengi sana ya kujifunza sababu upeo wetu kama waafrika ni mdogo hatufikirii mbali ndo shida inapoanzia hapo
Kaishia kuamishwa sehemu nyingineKwenye serikali ambayo watu hawana uwajibikaji, sio sahihi waendelee kuyaendesha mashirika ya umma.
Aliyeua mwendokasi amefanywa nini?😂😂😂😍
Chawa wa samia nasikia anataka kujenga treni ya umeme mpaka kigoma ila itakua inatumia engine ya dieselChini ya Rais gani ambae wewe ulimlamba nyayo yalifanikiwa?
Jibu hoja usihamishe magoli kima weweChawa wa samia nasikia anataka kujenga treni ya umeme mpaka kigoma ila itakua inatumia engine ya diesel
Umekimbilia matusi Chawa wa samiaJibu hoja usihamishe magoli kima wewe
Naongezea,kuna baadhi ya kona zimeanza kuharibika,wasizembee kwenye maintanance,hii train kwa speed ya 160 km/h iko siku itaacha njia...Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo
Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut
Mfano TRC wanataka kununua engine za diesel ni kituko ila hawana mshipa wa aibu watanunu-mimi tokea kipindi cha magufuli niliona kwa mtazamo wangu binafsi hii train ingetakiwa iishie dodoma kwanza isiendelee mpaka huko mwanza na kigoma
Sababu ni kama nchi hatuna uwezo wa rasilimali watu kwenye management wanaoweza simamia mradi kama huu wa umeme kumbuka mwendokasi imeishinda serikali
Hata ingewezekana ceo wa TRC angetakiwa aletwe foreigner ambaye alishawahi kufanya kazi kwenye train za umeme anajua changamoto zake na namna ya kuzikabili
Kadogoso naamini hana uzoefu wowote wa kusimamia mirad ya train ya umeme yaani umetumia usd billion 7+ kujenga mradi alafu unampa mtu amabye ana-uzoefu wowote wa kusimamia mradi wa umeme hiki ni kichekesho
sisi waafrika kwenye management bado sana tunamambo mengi sana ya kujifunza sababu upeo wetu kama waafrika ni mdogo hatufikirii mbali ndo shida inapoanzia hapo
umetumia usd billion 7+ kujenga mradi alafu unampa mtu amabye ana-uzoefu wowote wa kusimamia mradi
Inashangaza sana baada ya treninya umeme inaelekea kuwa ya dizeli then makaa ya mawe.Sio yuko ofisini,kwanini yuko uraiani hadi muda huu?