Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?

Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?

Hio pesa hutoboi mwezi niamini mim ....

Maneno ya kukutia moyo na budget za humu za kuandika Kwa hisia Ni tofauti na huku mtaani ,....

Jiandae kukopa elfu hamsin ambayo itakufanya umalize mwezi ...hapo chunga Sana ...

Kiufupi ili utoboe Kwa hio pesa mwezi inabidi uishi kama shetani ....
 
Punguza matumizi yasiyo ya lazima, nunua mahitaji muhimu tu hasa vyakula.

Nunua vitu kwa jumla, usinunue kidogodogo.
Hakikisha unafahamu vitu vya msingi kama mnatumia mchele, unga, sukari & mafuta kiasi gani kwa mwezi.

Kwa aina yako ya maisha kama chumba ni 30K unashindwaje kubalance 300K?

Kitu cha msingi uwe unanote kila ufanyapo matumizi/manunuzi. Hapo utafahamu unatumia kiasi gani na jinsi ya kupunguza visivyo na msingi.
Ama kweli The bold amepata mke hapa 😂
 
Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.

Msaada wenu please..
Mwanzishie biashara mkeo...
Hapo hapo hom
 
Hio pesa hutoboi mwezi niamini mim ....

Maneno ya kukutia moyo na budget za humu za kuandika Kwa hisia Ni tofauti na huku mtaani ,....

Jiandae kukopa elfu hamsin ambayo itakufanya umalize mwezi ...hapo chunga Sana ...

Kiufupi ili utoboe Kwa hio pesa mwezi inabidi uishi kama shetani ....
Laki tatu anatoboa mkuu...
Tupe mchanganuo hapa tuone
 
Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.

Msaada wenu please..
Ikiwa kazi yako haina pesa zingine za ziada ni ngumu sana kumudu maisha pamoja na familia kwa laki3 per mwezi, kulingana na matumizi ya kisasa yenye ulazima ktk familia na ghalama zake, ni ngumu kuishi kwa hiyo pesa
 
Ikiwa kazi yako haina pesa zingine za ziada ni ngumu sana kumudu maisha pamoja na familia kwa laki3 per mwezi, kulingana na matumizi ya kisasa yenye ulazima ktk familia na ghalama zake, ni ngumu kuishi kwa hiyo pesa
🤓🤓🤓🤓🤓 daaah
 
Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.

Msaada wenu please..

Sheria ni 50/30/20

50% ya kipato chako kwa vitu muhimu kama chakula,kodi,ada (Majukumu ya lazima)
30% ya kipato vitu unavyopenda
20% fanya saving
 
Laki tatu anatoboa mkuu...
Tupe mchanganuo hapa tuone
Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...

Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...

Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000

Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....

Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)


Twende matumizi mengine ..

-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000

Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000

Umeme kulipa Kwa mwezi -5000

Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000

Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000

Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...



Baada ya yote hayo imebaki 70k..

Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000

Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000

Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000

Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000

Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000

Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...

Laki tatu hutoboi aiseee....

Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....
 
Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...

Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...

Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000

Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....

Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)


Twende matumizi mengine ..

-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000

Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000

Umeme kulipa Kwa mwezi -5000

Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000

Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000

Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...



Baada ya yote hayo imebaki 70k..

Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000

Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000

Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000

Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000

Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000

Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...

Laki tatu hutoboi aiseee....

Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 khaaaaaaa yaaani nimecheka tuuu kuna watu mna michanganuo ya ajabu ajabu...

Huyu sasa hayupo level za michanganuo kama hiyo mkuuu daaah... 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓

Oky mi nimetoa wazo kuwa afanye amfungulie biashara ndogo ndogo mkewe ili ishu ndogo ndogo ziwe zina malizwa pale pale hom....
 
Kodi umeshasema 30,000/-, nauli ya kwenda kazini au kwenye shughuli unayojipatia kipato ni kiasi Gani? Na chakula Kwa siku unatumia kiasi Gani huko kazini? Hayo ni matumizi ya lazima na ndio mtaji wenyewe unaokupatia hiyo 300,000/-

Ila tukubaliane mshahara haujawahi kutosha. Kuna watu wanalipwa Mara 10 ya hii pesa na Bado Wana Hali ngumu kuliko huyu Mwamba. Hawana furaha kabisa.

Watakaopenda Kuna kitabu nimeambatanisha wanaweza kukisoma wakajifunza hapo "The Richest Man in Babylon"
 

Attachments

Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...

Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...

Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000

Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....

Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)


Twende matumizi mengine ..

-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000

Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000

Umeme kulipa Kwa mwezi -5000

Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000

Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000

Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...



Baada ya yote hayo imebaki 70k..

Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000

Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000

Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000

Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000

Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000

Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...

Laki tatu hutoboi aiseee....

Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....

We jamaa wewe!
Unataja Mchele 10kg kabisaa, sukari sijui mafuta ya 25,000/- hizo ni anasa ndugu yangu. Hapo ni mwendo wa tembele, dagaa, n.k na Bado Wana afya nzuri tu.
 
Back
Top Bottom