Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Labda kama yupo dar au Arusha. Mikoani anatoboa ila asahau kununua NguoHio pesa hutoboi mwezi niamini mim ....
Maneno ya kukutia moyo na budget za humu za kuandika Kwa hisia Ni tofauti na huku mtaani ,....
Jiandae kukopa elfu hamsin ambayo itakufanya umalize mwezi ...hapo chunga Sana ...
Kiufupi ili utoboe Kwa hio pesa mwezi inabidi uishi kama shetani ....
😀😀😀😀😀Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...
Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...
Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000
Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....
Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)
Twende matumizi mengine ..
-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000
Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000
Umeme kulipa Kwa mwezi -5000
Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000
Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000
Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...
Baada ya yote hayo imebaki 70k..
Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000
Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000
Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000
Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000
Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000
Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...
Laki tatu hutoboi aiseee....
Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....
😀😀😀😀rafiki ake ONTARIO
Mi nilikuambia yule jamaa hakufai ukaziba masikio. Nilijua hamtawezana,. we rudi jf kama zamani tumekumissSasa wewe nakusahauje? Si ulikuwa hadi shemeji yangu zamani au umesahau?
Tulia, ipo siku utajua kwamba huna unachokijua kuhusu hayo unayoyaongelea.
Kabla sijasema umeshanichamba hivi? Nikisema je?Mi nilikuambia yule jamaa hakufai ukaziba masikio. Nilijua hamtawezana,. we rudi jf kama zamani tumekumiss
Nakuambia ukweli nifah, ulikuwa uko vizuri sana, lakin baada ya kuwa na yule jamaa ukabadilika, jamaa mtu wa kujisikia sana, majivuno meengi wakati hela hana. ujanja janja tu amekutumia kupata umaarufu tuKabla sijasema umeshanichamba hivi? Nikisema je?
Nimechekaaaaaa
Basi Laki, imetosha 🙏🏽🙏🏽Nakuambia ukweli nifah, ulikuwa uko vizuri sana, lakin baada ya kuwa na yule jamaa ukabadilika, jamaa mtu wa kujisikia sana, majivuno meengi wakati hela hana. ujanja janja tu amekutumia kupata umaarufu tu
Mbona ndogo sana elf 10?, walau 30 ya dharuraSuala la kuweka akiba ni suala muhimu na zuri sana katika maisha yetu! weka asilimia 5% ya kipato chako iwe akiba yako kila mwezi. Zinazobakia...mpe mke wako 150,000/ hela ya matumizi kwa Mwezi mzima ( sifa za mwanamke ni kuhakikisha anabalance fedha hiyo kwa Mwezi mzima na itoshe) jitahidi chakula Cha familia kinunuliwe kwa ujumla, sabuni za kufua zisisahaulike, mpe nafasi mkeo atafute chochote kitu ili kuongeza Pato la familia. Inawezekana!; Baba lipa maji na umeme, lipa Kodi, hakikisha una emergency ya sh. 10,000 tu kila mwezi.
Wageni wasimtembelee1. Ishi ndani ya uwezo wako,
2. Acha anasa kama michepuko na gambe
3. Usinunue vitu mdomdo, nunua vya pamoja kama unga, mchela mafuta na maharage
4. Mshirikishe mama yoyoo ajue hali halisi
Cha msingi: tafuta chazo kingine cha mapato,
Mtafutie mke kitu cha kufanya
Kama unafanya kazi mbali kiasi cha kupanda daladala nunua baiskeli. Hela laki 2.5 inatosha sana kula na kulipa umeme na maji kwa familia ya watu4. Ila tuJamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..