Ushauri wa maana sana.1. Ishi ndani ya uwezo wako,
2. Acha anasa kama michepuko na gambe
3. Usinunue vitu mdomdo, nunua vya pamoja kama unga, mchela mafuta na maharage
4. Mshirikishe mama yoyoo ajue hali halisi
Cha msingi: tafuta chazo kingine cha mapato,
Mtafutie mke kitu cha kufanya
Bonge la ushauri..Kama mkeo ni mama wa nyumbani, jitahidi umfungulie genge, msaidiane maisha.
Dah acha tu mm wakat nafanya kazi mshahara wangu ulikuwa lak 6 take home ila still nilioma hautoshi kwasababu ya kufanya investment za mbeleni..Mshahara kama huo unakuaje na familia aisee? Huo mshahara hata bachelor haumtoshi kabisa sembuse wewe mwenye Mke na watoto? Mnatoa wapi Nguvu ya Kuoa na Kipatao tia tia maji ivo, Ungekuwa mwenyewe ungepambana ila tayari una familia apo utaishi kama Shetani
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mshahara ukiwa nao unaweza ukashindwa kuvaa hata chupi,
Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...
Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...
Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000
Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....
Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)
Twende matumizi mengine ..
-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000
Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000
Umeme kulipa Kwa mwezi -5000
Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000
Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000
Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...
Baada ya yote hayo imebaki 70k..
Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000
Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000
Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000
Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000
Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000
Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...
Laki tatu hutoboi aiseee....
Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....
Hizo hela anatoa wapi sasa mtu analipwa laki3 na ana familia, ata-save vipi pesa ya kukodi shamba na ghalama za kulimiaHakikisha unakodi shamba ekari moja. Lima mahindi nusu eka na maharage nusu eka.
Hapo utakuwa kwanza umetatua changamoto ya misosi.
Wapigie simu ndugu zako kijijini wakutafutie shamba la kukodi.
Tuma hela ya kulimia, mbegu na mbolea.
Kwa mwaka utaweza kuokoa hadi Tsh milioni moja kwenye gharama za chakula.
Ukibajeti vizuri laki 3 inaweza kutosha kwa matumizi ya kujibana ya kawaida mwezi mzima kwa familia ya watu 4. Fanya hivi.Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Mkuu mkoani huko mwabagalu unatumia vizuri kabisa.,..Lengo linaweza kuwa zuri sana lakini kwa mshahara huo ni kujitesa na kuitesa familia to the maxmum
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mshahara haujawahi kutosha na hata ukiongezeka na mahitaji hayo yanaongezeka.Kodi umeshasema 30,000/-, nauli ya kwenda kazini au kwenye shughuli unayojipatia kipato ni kiasi Gani? Na chakula Kwa siku unatumia kiasi Gani huko kazini? Hayo ni matumizi ya lazima na ndio mtaji wenyewe unaokupatia hiyo 300,000/-
Ila tukubaliane mshahara haujawahi kutosha. Kuna watu wanalipwa Mara 10 ya hii pesa na Bado Wana Hali ngumu kuliko huyu Mwamba. Hawana furaha kabisa.
Watakaopenda Kuna kitabu nimeambatanisha wanaweza kukisoma wakajifunza hapo "The Richest Man in Babylon"
Uko sahihi hii haiko kwako tuMaisha ni tofauti aana mm napokea 2.5 m hazinitoshi sipati ya kuweka akiba
We ni mwalimu uko halmashauri ganiJamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Ok baasi sawaMkuu mkoani huko mwabagalu unatumia vizuri kabisa.,..
Tatizo dar es salaam TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Hautoboi period [emoji23][emoji23][emoji23][emoji857]
Kwanza;- 300k ni nyingi sana ukiamua kukabiliana na maisha na sio anasa za duniaJamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Jinga sana [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]Laki tatu Hana uwezo wa kutoboa Kwa familia ya mke na watoto wawili tuache kumpa matarajio hewa ...
Mke na watoto wawili wanahitaji Milo miratu Kwa siku ,....hapa tuseme amenunua ...
Kilo Kumi za Michele -25,000
Unga Kila 10 ,- 20,000
Mafuta ya Kula Lita 5- 25,000
Sukali kilo 5-16,000
Maharage kilo 5-10,000
Hapo tuseme Laki imeisha Kwa vitu vya mhimu sanaaaaa.....hivyo vyakula nimeassume vitamaliza mwezi japo Sina uhakika .....
Hapo Laki imeisha imebaki Laki mbili (200,000)
Twende matumizi mengine ..
-Kubadili mboga mboga ,dagaa ,nyama kidogo ,mchicha ,sio Kila siku mtakula mahalage ...---20,000
-gesi au mkaa --25,000
-chumvi ,majani ya chai --4000
-sabuni ,kipande na Unga &steel wire kusugulia sufuria -5000
Maji ya kununua Kwa mwezi /bill -5000
Umeme kulipa Kwa mwezi -5000
Nauli ya kwenda kazin na Kurudi baba pekee yake -30,000
Nauli za mke na watoto kutoka sehemu kwenda sehemu Kwa emergency, mkee hawezi kaa nyumbani kama jiwe ,kwenda sokon n.k-20,0000
Hapo umetumia Laki na uchafu (130,000) ...
Baada ya yote hayo imebaki 70k..
Hujanunua vocha ya kuwasiliana na mkeo tuseme Kwa mwezi utatumua -5000
Mtoto amepata kikohozi ,au kichwa kinauma ,umenunua hata Panado .n.k -5000
Kanisani hujatoa sadaka wewe na mke ,Kwa mwezi wote wawili tuseme -10,000
Hela ya takataka ,ulinzi shirikishi mtaani maana mjumbe atakuja kudai [emoji23]-5000
Mwanaume hauwezi kaa nyumbani tu utaangalia hata mpira ,bia moja ,-20,000
Hapo hujanunua nguo ,mkeo hajaenda saloon ,wewe hujaenda saloon kunyoa ndevu ,watoto hawajaenda hata kutembea kokote hata beach ,watoto hujawanunulia hata biscuit,ndugu hujawapa hata 100, mama mzazi hajakuomba hata 5000,,,, hujapata emergency ya kuumwa hata hospital,,hujahonga Kwa michepuko ,hujapoteza pesa (maana kuna hela zinapotea tu automatic bila kujua sababu [emoji23]...
Laki tatu hutoboi aiseee....
Na hapo ili utoboe mwezi lazima uishi kama shetani kwa matumizi ya hapo juu.....
Alafu wale pumba ndani sioSkia, hiyo laki tatu lipa kodi kwa miezi kumi ili kuepukana na kelele za mwenye nyumba kwa muda kidogo, halafu mengine yatajisumbukia yenyewe