Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Au ulivyotoka ndani kwenda nje gizani akili yako iliumba taswira ya kufikirika tu?Yaani Umeamka Zako Usiku Unaenda Msalani Nje Ukutane Na Lijitu limepak mavitu meupe Usoni..halielewek..Unashangaa Nalo Limekukazia Macho utajiuliz Mara mbil mbil aliyeko mbele yangu Ni Nani?..
Kitu Kiliniacha Na Bumbuazi Hadi Leo.Yule Ni either alitaka antishe au dawa zake ziliisha Nguvu Sabab mm Sina Nguvu yoyote ya kumwona mchawi Na Nlikuwa Bado Dogo
Omba siku Ukutane na Hivi Vitu Live Mkuu.Ni Hayo TuAu ulivyotoka ndani kwenda nje gizani akili yako iliumba taswira ya kufikirika tu?
"Lijitu limepaka majivu meupe usoni" ulithibitisha vip ni mtu kweli na sio mawenge yako ya usingizi ? Na kama ni mtu ulithibitisha vip ni mchawi na sio mwehu tu?Yaani Umeamka Zako Usiku Unaenda Msalani Nje Ukutane Na Lijitu limepak mavitu meupe Usoni..halielewek..Unashangaa Nalo Limekukazia Macho utajiuliz Mara mbil mbil aliyeko mbele yangu Ni Nani?..
Kitu Kiliniacha Na Bumbuazi Hadi Leo.Yule Ni either alitaka antishe au dawa zake ziliisha Nguvu Sabab mm Sina Nguvu yoyote ya kumwona mchawi Na Nlikuwa Bado Dogo
Naona bado unatetemeka mkuu.Haukulia au kupiga kelele?Natania.Omba siku Ukutane na Hivi Vitu Live Mkuu.Ni Hayo Tu
Hayo mambo hata kama yalikuwepo ni zamani, ..mm hili ni jina langu la Ukoo KiongoziVipi na wale wafuga mbojo wa Iguguno mkuu?
Nafikiri hauhitaji nguvu zozote kukutana au kumuona mtu anayefanya vitendo vya uchawi, hata katika mipira ya Yanga na Simba watu wanaofanya vitendo vya kichawi huwa wanaonwa na watu. Wengine huwa wanafanya kwa kujificha na wengine hufanya kwa wazi.Yaani Umeamka Zako Usiku Unaenda Msalani Nje Ukutane Na Lijitu limepak mavitu meupe Usoni..halielewek..Unashangaa Nalo Limekukazia Macho utajiuliz Mara mbil mbil aliyeko mbele yangu Ni Nani?..
Kitu Kiliniacha Na Bumbuazi Hadi Leo.Yule Ni either alitaka antishe au dawa zake ziliisha Nguvu Sabab mm Sina Nguvu yoyote ya kumwona mchawi Na Nlikuwa Bado Dogo
Mbojo?Really?Maana yake nini mkuu hilo jina mbojo?Hayo mambo hata kama yalikuwepo ni zamani, ..mm hili ni jina langu la Ukoo Kiongozi
Mwenye macho haambiwi "TAZAMA!"Sasa kama hawatangazi watu wengine huwa wanajuaje? Wanapewa umbea na mganga aliyetoa malekezo ya kafara kutolewa?
Mbojo?Really?Maana yake nini mkuu hilo jina mbojo?k
Ha haaa..kwa lugha rahisi ni MSUKULE ila mara nyingi hawa Mbojo ni kwa ajili ya kuzalisha..wanakuwa wana nguvu sana+ wachapakazi..na ndio chanzo cha jina la huo Ukoo wangu...ni kama Man Utd na Red devilsMbojo?Really?Maana yake nini mkuu hilo jina mbojo?
Umesahau na kuiba mazao ya watu wengine mashambani na kunyakua watu watakaokuwa wanahitajiwa na mabosi wao/wachawi.Ha haaa..kwa lugha rahisi ni MSUKULE ila mara nyingi hawa Mbojo ni kwa ajili ya kuzalisha..wanakuwa wana nguvu sana+ wachapakazi..na ndio chanzo cha jina la huo Ukoo wangu...ni kama Man Utd na Red devils
Sasa si ndio UZALISHAJI wenyewe huoUmesahau na kuiba mazao ya watu wengine mashambani na kunyakua watu watakaokuwa wanahitajiwa na mabosi wao/wachawi.
Ni watu wanaofugwa kama wanyama wa kufanya kazi? Hii sio kinyume na sheria?Ha haaa..kwa lugha rahisi ni MSUKULE ila mara nyingi hawa Mbojo ni kwa ajili ya kuzalisha..wanakuwa wana nguvu sana+ wachapakazi..na ndio chanzo cha jina la huo Ukoo wangu...ni kama Man Utd na Red devils
Noma sana munyampaa!Sasa si ndio UZALISHAJI wenyewe huo
Wazee wanasema ilikuwa miaka hiyo ya GIZANi watu wanaofugwa kama wanyama wa kufanya kazi? Hii sio kinyume na sheria?
Muhuri wa kwapani tena?Marehemu si anaweza kucheka kwa kutekenywa?Oooops...sorry!Kumbe anakuwa ameshafariki!Nahisi kuna watu wanakufanyia kubisha ili waone kama matendo yao yatatajwa.
Mambo ya makafara yako kwenye kila jamii. Watu wa Asia hytoa sadaka kwa kuchinja mifugo na kuwapa maskini, n.k. ILa kwa sasa wabongo wamezidi kuchinjana asee! Ndio maana hata hizi ajali mbaya za barabarani serikali inaishia tu kutoa pole.
Hata kwenye miradi mikubwa, kama madaraja korofi kujengwa n.k, kuna namna viungo vya binadamu kama moyo m.k huwekwa ili mizimu iruhusu ujenzi.
Na jamii husika hutambua, na mtu aliyetolewa kafara hujulikana. Miaka ya 80 - 90 walikuwa wanamgonga mhuri kwapani. Hivyo askari au wazee wakikuta mhuri, wanasema ndg wakazike, na uchunguzi unaishia hapo hapo.
Sawa sawaKuna vitu vingine viko mbali sana inakubidi uambiwe tazama na hata ikabidi upewe darubini.
Haya alikusimulia mama yako?🤔 Nakala aione Mbaga JrMimi namjua mmoja alikua rafiki wa mama yangu utajiri wake ni wa kutumia nyota za wafanyakazi wake
Ila ilipofika mwaka 2018 ikabidi amtoe mtoto wake na akafanya hivyo
Ashawahi kumshawishi mama yangu ajiunge huko mama akakimbia nduki na urafiki ukaisha.
Alikuja dar kama housegirl kutoka Upareni ila sasa hivi ni tajiri.
Wachawi mnaitana kilinge kipate nguvu🤔