Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kwahiyo umeshachagua rangi ya range rover RR lako? Hongera mwayaKabisaa
Kuna nyuzi kadhaa za ndugu UMUGHAKA hata Tanzanian Dream kipindi hiki ana nyuzi yake ya Dark side of Business ukipitia na ukatulia vizuri utaelewa haya uliyoyazumgumzaMojawapo ya story huwa nazisikia sana na mtu kuwatoa watoto wake au ndugu zake kafara ili afanikiwe katika biashara au siasa. Utoaji kafara huwa unaelezewa kwa mtu huyo aliyoetolewa kafara kufariki kwa kinachodhaniwa kifo cha utata au kupatawa matatizo ya akili(kichaa).
Unaweza kuonyeshwa kichaa fulani ukaambiwa huu ni mtambo wa kutengeneza pesa wa tajiri fulani au ndio chanzo cha mafanikio cha mwanasiasa fulani.
Unajuaje au unathibitishaje kwamba fulani amefanikiwa kwa sababu ya kafara ya mtoto, mzazi, mke au ndugu yake?
Mungu aniepushe na hizo tamaaKwahiyo umeshachagua rangi ya range rover RR lako? Hongera mwaya
"Au mbege imeshasambaa kichwani" to,,,,, nyoko😁😁😁😁Aliyemdogo kwako si ni yeye? Au mbege imeshasambaa kichwani?🤔
Zipo kwenye mahandakiHahaha zipo mkuu njoo tuzitafute wote huku msituni.
Umeambiwa taja mfano wa angalau mtu mmoja aliyefanikiwa kwa kumtoa mtu kafara wewe unaloloma tu.Ndugu yangu haya mabo yapo omba Mungu akuhepushilie mbali unaweza kutolewa kafara wewe..
Story za mali za wajerumani huwa zinanichekesha kwakweli....Zipo! Kabla hujaendelea na harakati za kuzitafuta, wanasema inapaswa apatikane mtu aliye timamu kimwili na mwenye vigezo vingine 'kiroho' wa kutolewa kafara kwa HIARI YAKE, ndio mizimu ya Kijerumani itakuachia Mali.
Mwanga Tena we Dada tumekukosea nini sisi.Ndio! Na alikua akimpigia simu ampeleke kwa mganga wake huko Upareni Mwanga
Alikua anamforce sababu ashajua siri yake
Mama yangu alibadili mpaka namba ya simu
Mwanga si ipo Upareni? Nilijua kupitia huyo mama wa kipareMwanga Tena we Dada tumekukosea nini sisi.
Hence proved. 🤣🤣"Au mbege imeshasambaa kichwani" to,,,,, nyoko😁😁😁😁
Ndio alie kama ng'ombe?? Na wana mabutcher ya kuuza nyama mjini huko!!Haiwezekani labda hilo tatizo la akili la huyo kijana linakuwa baya zaidi wakati giza linakaribia kuingia na kumpelekea kufanya hivyo?
Exactly japo hisia zinaweza kuwa sahihi au zisiwe sahihiKwa hiyo ni hisia tu?
Hilo tusi ulinifundisha wewe mbiguni zambi hiyo utabeba wewe🤣🤣🤣🤣🤣Hence proved. 🤣🤣
🤣🤣🤣Liishie huku huku. Kule nchini Mara watakuua Meku.Hilo tusi ulinifundisha wewe mbiguni zambi hiyo utabeba wewe🤣🤣🤣🤣🤣