Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Mfumo wa uzazi ni wa kiume hauwezi kubadili. Kuhusu kukata ataamua yeye kutoa na kuwekewa maumbile ya kike ila mateso yake ni hatari.

Harufu kali kushinda ile ya kisamaki ya kwenu wanawake. Risk ya ule uwazi kujifunga kama hatofanya usafi na kurudi for check up kila baada ya muda fulani.

Kimsingi ni kazi aisee.
Weee si ni mateso hayo
 
Weee si ni mateso hayo
Acha tu kuna account ipo Twitter ya jamaa anawahoji sana mashoga na hawa wanaume na wanawake wanaojibadili jinsia aisee utawaonea huruma namna wanalia na kujutia.

Wanawake huwa wanakata matiti na kujishona kifua kinakuwa flat kama cha kiume. Wanameza dawa za kuzima hormones za kike na kutumia dawa za kuongeza hormones za kiume ili waote ndevu na kupata sauti nzito.

Sasa balaa wengi wanalokutana nalo ni baada ya umri kwenda wanashindwa kupata partner ambaye watatulia na kufanya nae maisha sababu wanatakiwa kufanya majukumu ya kiume jambo ambalo ni gumu maana kiasili wao ni wanawake so wanaumia sana kumaintain uanaume maana hawauwezi wanamiss kuwa wanawake tena.

Halafu zile hormones kuna muda zinafika zinakataa dawa, sasa za kike zinarudi kwa nguvu za kiume zinashindwa kubalance unakuta analia tu, anaanza pata mawazo ya kujiua maana hakuna mwanamke anataka kukaa nae maana sio mwanaume natural, so wanakuwa wanatia huruma na majuto mengine sana.

Sasa mbaya zaidi ipo kwa wale Wanawake ambao wakibadili jinsia kutoka Ke kwenda Me wanafanya corrective surgery ya kutoa sehemu ya nyama za mwilini na kutengeneza uume feki ambao hauna kazi zaidi ya kutoa mkojo, ila hauna misuli kama uume wa kawaida, so linakuwa kama lisoseji limejiotea tu hapo, halafu wanashona uke so uke unakuwa kama haupo, na wengine watoa kabisa kizazi ili hormones zikibackfire wasipate hedhi huku uke umeshakuwa sealed kwa kushinwa kama kidonda au jeraha.


Aiseee i wish ningekuelezea kwa mdomo ungenielewa vema sana na ningekwambia vingi.
 
Acha tu kuna account ipo Twitter ya jamaa anawahoji sana mashoga na hawa wanaume na wanawake wanaojibadili jinsia aisee utawaonea huruma namna wanalia na kujutia.

Wanawake huwa wanakata matiti na kujishona kifua kinakuwa flat kama cha kiume. Wanameza dawa za kuzima hormones za kike na kutumia dawa za kuongeza hormones za kiume ili waote ndevu na kupata sauti nzito.

Sasa balaa wengi wanalokutana nalo ni baada ya umri kwenda wanashindwa kupata partner ambaye watatulia na kufanya nae maisha sababu wanatakiwa kufanya majukumu ya kiume jambo ambalo ni gumu maana kiasili wao ni wanawake so wanaumia sana kumaintain uanaume maana hawauwezi wanamiss kuwa wanawake tena.

Halafu zile hormones kuna muda zinafika zinakataa dawa, sasa za kike zinarudi kwa nguvu za kiume zinashindwa kubalance unakuta analia tu, anaanza pata mawazo ya kujiua maana hakuna mwanamke anataka kukaa nae maana sio mwanaume natural, so wanakuwa wanatia huruma na majuto mengine sana.

Sasa mbaya zaidi ipo kwa wale Wanawake ambao wakibadili jinsia kutoka Ke kwenda Me wanafanya corrective surgery ya kutoa sehemu ya nyama za mwilini na kutengeneza uume feki ambao hauna kazi zaidi ya kutoa mkojo, ila hauna misuli kama uume wa kawaida, so linakuwa kama lisoseji limejiotea tu hapo, halafu wanashona uke so uke unakuwa kama haupo, na wengine watoa kabisa kizazi ili hormones zikibackfire wasipate hedhi huku uke umeshakuwa sealed kwa kushinwa kama kidonda au jeraha.


Aiseee i wish ningekuelezea kwa mdomo ungenielewa vema sana na ningekwambia vingi.
Duh binadamu sisi mbona tuna kufuru kiasi hiki jamni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Coca au... Jamni weeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa mnaweweseka sana na mie? Muambie hata yeye anaweza kuniita, mbona sina kwere wala bayaa.

Mnajistukiaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila ujue nini.. mada kama hizi hunoga zaidi akiwepo coca..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
""Kwani wamewakosea nini "" cocas.' said
Bado hamjateseka, yaan mtateseka sana
[emoji2380][emoji304] 4reverrrrrrrr!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi ni watoto waliotelekezwa au kutupwa mitaani.....saa nyingine hawamjua hata Baba Mzazi.

Wengi wakikusimulia maisha yao utawaonea huruma na ndio maana wanaingia kwenye mtego huo ili Mkono uende kinywani.
Ndivyo mnavyo jidanganya huko mkikaa vijiweni kwenu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom