Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Have and haves not niliangalia nikaishia njiani aisee, Mr. Perry ana tatizo la kushindwa kuendeleza stori vizuri. Hapo kwa Adan Sandler tuko pamoja, Sandler bwana comedy sana kiasi nikimkuta kwa move za serious huwa nashindwa kumchukulia serious 😀

*Tunaipendea ile sex scene 😂
Haha wewe Tena kwa mambo Hayo..siku moja nikualike,just Netflix and chill,kuja na mabumunda tu
 
Haha wewe Tena kwa mambo Hayo..siku moja nikualike,just Netflix and chill,kuja na mabumunda tu
Mabumunda big or small? Au nije na 🌽 kabisa nipopolee huko? Au nyie wenzetu hammiliki jiko? Anyways in my home, ikija suala ka movie kila mtu ananitolea macho niwafanyie mabumunda, sad thing; kadri siku zinavyoenda movie za kuangalia kama familia zinazidi kuisha. 😔

Definitely a thing, Netflix and chill 😍
 
Manina hii kompetisheni ikihamia Tanzania na watu wanavyofukua mitaro, hawa matrans watakuwa wanaolewa na hakuna mtu anajua kuwa dume limeoa dume mwenzake siri ni yao wawili tu.

Hawa Marekani, Thailand huko wamejaa, na ni wazuri kuliko demu wa kawaida.

Mwanamke wa kaiwaida akifika umri fulani tu mwili unaanza kumshuka, mafuta yanajaa mwilini anaanza kuwa na shape mbovu, hawa sasa ni wanaume muscle zao zinawabeba na mafuta hayakai mwilini hovyo so wanamaintain muonekano wa kingono na kuvutia.

Ingia mtandaoni ukajionee aiseee mimi huwa nabakia kinywa wazi tu mzee.
 
Mabumunda big or small? Au nije na 🌽 kabisa nipopolee huko? Au nyie wenzetu hammiliki jiko? Anyways in my home, ikija suala ka movie kila mtu ananitolea macho niwafanyie mabumunda, sad thing; kadri siku zinavyoenda movie za kuangalia kama familia zinazidi kuisha. 😔

Definitely a thing, Netflix and chill 😍
Familia movies si uangalie Disney ??lol sound like we have a plan..Mara ya mwisho kuangalia movie na rafiki wa kike kipindi ile inatoka Finding Dory,with you msela wangu sijui itakua movie gani,

What about Sex Education hii Season 4 sijaangalia bado
 
Hii picha alivyokuwa dume
Screenshot_2024-03-29-15-16-25-246_com.android.chrome.jpg
 
Hii account ya insta,kwa wale matomaso kaangalie picha zaidi za kidume mwenzio mwenye papuchi fake[emoji23]
Screenshot_2024-03-29-15-18-42-531_com.instagram.android.jpg
 
Familia movies si uangalie Disney ??lol sound like we have a plan..Mara ya mwisho kuangalia movie na rafiki wa kike kipindi ile inatoka Finding Dory,with you msela wangu sijui itakua movie gani,

What about Sex Education hii Season 4 sijaangalia bado
Sasa hatutakiwi kuyajadili haya hapa! 😊
 
Huyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.

Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.

View attachment 2947534View attachment 2947535View attachment 2947536
Nimejifunza kitu kwa hii mada.

What is the surgery for transgender boys to girls?
During this procedure, a surgeon makes “like become like,” using parts of the original penis to create a sensate neo-vagina. The testicles are removed, through a procedure called orchiectomy. The skin from the scrotum is used to make the labia. The erectile tissue of the penis is used to make the neo-clitoris.

 
Nimegoogle na nimebaki kushangaa, haya nayo yashabisha hodi Afrika. Ndo mwamba mwenyewe huyu enzi zake
1711719382498.png
1711719465672.png
 
Naomba kuuliza Huwa wanakatwa kabisa alafu panatobolewa?na vipi kuhusu mfumo wao wa uzazi?
Mfumo wa uzazi ni wa kiume hauwezi kubadili. Kuhusu kukata ataamua yeye kutoa na kuwekewa maumbile ya kike ila mateso yake ni hatari.

Harufu kali kushinda ile ya kisamaki ya kwenu wanawake. Risk ya ule uwazi kujifunga kama hatofanya usafi na kurudi for check up kila baada ya muda fulani.

Kimsingi ni kazi aisee.
 
Back
Top Bottom