Kwamba hupendi kuwekwa? Wewe ni mtanzania wa wapi..hahaha![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kusafiri
Asante kwa kweli yakijadiliwaga mambo ya ngono hata mimi huwa naona hayanihusu kabisa, si kwamba ni mtakatifu nina Dhambi zangu nyingine kama ulevi, ila hii ya uzinzi nashukuru imenipitia kushoto na imeniepusha na mengi [emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Classmate!!!!Nipo online now
Muache Mtoto tafadhali....Kwamba hupendi kuwekwa? Wewe ni mtanzania wa wapi..hahaha!
freedom ina make sense ila peace of mind sijaelewaFor my peace of mind and freedom
Haha, Maki huyu mtoto inabidi atoe siri ya mafanikio yake.Muache Mtoto tafadhali....
Hahaha yani kifupi sijawahi kuielewa hiyo 'raha'Kwamba hupendi kuwekwa? Wewe ni mtanzania wa wapi..hahaha!
Sijaona maana ya uzi wako,Ni kwa muda mrefu kiasi gani unaweza kukaa bila mpenzi ama kutojihusihsa na mapenzi?
Unafanya nini kistahimili mda mrefu?
Haha basi ukiielewa Hiyo ya freedom inatosha rafiki [emoji2][emoji2]freedom ina make sense ila peace of mind sijaelewa
Subiri matusi...Sijaona maana ya uzi wako,
Ukishajua itakusaidia nini?
Hayo ni mambo binafsi ya mtu.
Au mtu akisema hawezi kusubiri utamhudumia wewe?
aha, nimesha connect the dots....Haha basi ukiielewa Hiyo ya freedom inatosha rafiki [emoji2][emoji2]
Si huwa wanasema almost everything starts in your mindHaha, Maki huyu mtoto inabidi atoe siri ya mafanikio yake.
Hili swali uliulizwa unaweza kutoa jibu gani?[emoji16][emoji16]
Kwa hiyo huna hata kaboy?😁Hahaha yani kifupi sijawahi kuielewa hiyo 'raha'
Ghaiii kwani huu uFBI umeuanza lini [emoji23][emoji23]Kwa hiyo huna hata kaboy?[emoji16]
Manake kama kaboy kapo si unakatesa tu jamani...Ghaiii kwani huu uFBI umeuanza lini [emoji23][emoji23]
Kila kitu kinawezekana.ukiamuaMie naelekea 7 years